Ni hv wanaume wa sasa tunapenda kuwa na wanawake zaid ya wawil lakin sio mpaka kufunga ndoaSoma comment za wadau mkuu. Kwanza kwa mwanaume kuwa na zaidi ya mwanamke mmoja ni nature, wengine tunafungwa na imani tu ila ukweli mke mmoja ni miyeyusho sana
Tunaishi kwa kudanganya jamii. Eti uonekani una mke mmoja, huku nje umezaa na michepuko na una vimada kibao.Uki soma vitabu vya Mfalume Suleiman uta ana sema kabisa yote aliyo fanya ni "utupu na kujilisha upepo" yani ana juta, ana hakuona faida yoyote ya kua na wake wengi.
Kwenye ulimwengu wa kistaarabu tu kuwa na wanawake wanne ni ubatili. Yani hisia zime zidi ufahamu wako ama zime kutawala.
hivi unajua kumfikisha kileleni mwanamke mmoja tu ni kazi sembuse 5Unatamani iwe kweli [emoji1787][emoji1787]
Nani kakwambia kumfikisha mwanamke kileleni ni kazi sana? Mwanamke kuliwa nje ni aamue tu au tuseme ni tabia ila kama ni kukojozwa hata wawe 10 kazi inapigwa tu wanaume tunasimamisha mbo.o 24/7hivi unajua kumfikisha kileleni mwanamke mmoja tu ni kazi sembuse 5
yaani hapo piga ua galagaza kuchapiwa sio jambo la kuuliza.... inatia hasira ila ndio ukweli wenyewe!!!!
Pj na Hando ukiwaona tu unajua hawa walevi wakubwa..Ukiwa financial upo vizuri, unafanya mazoezi, utumii pombe wala sigara, na unakula vizuri kwa kuzingatia mlo kamili basi huwezi kuchakaa.
Ndio siri ya Masoud Kipanya, na ukitaka kuprove ulevi unachosha miili yetu muangalie Gerlad Hando na Paul James PJ.
Mimi Rais wa wapiga deki Tanzania nasema hiyo ni kazi ndogo sana kwetu.hivi unajua kumfikisha kileleni mwanamke mmoja tu ni kazi sembuse 5
yaani hapo piga ua galagaza kuchapiwa sio jambo la kuuliza.... inatia hasira ila ndio ukweli wenyewe!!!!
kusimamidha dushe sio kumfikisha mwamke.....Nani kakwambia kumfikisha mwanamke kileleni ni kazi sana? Mwanamke kuliwa nje ni aamue tu au tuseme ni tabia ila kama ni kukojozwa hata wawe 10 kazi inapigwa tu wanaume tunasimamisha mbo.o 24/7
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mimi Rais wa wapiga deki Tanzania nasema hiyo ni kazi ndogo sana kwetu.
Labda useme tu unataka kupanda mlima mara ngapi.[emoji3531][emoji3531]
Kudindisha ni sehemu mojawapo ya kukojoza.kusimamidha dushe sio kumfikisha mwamke.....
Cha kufurahisha wenye wake wengi Wana hela kuliko wasio na mke na walio single sijui shida ni nn? HapaHalafu tunalalamika kwanini Sisi ni maskini.
Kha😀Ana tako kubwa??
Hivi unajua kuwa mataifa 12 ya wana wa Israeli (Yakobo) yametokana na mama wanne?.Utafiti wako unaweza anzia hapo sasa.[emoji16][emoji16][emoji16]Kasema hivii hutosheki na mmoja,una uhakika ukipewa 10 utatosheka?.. ndoa sio sex peke yake, ndoa ipo kuanzisha familia, kuanzisha familia na wake wanne utapata wapi nafasi ya kulea wanao vyema? ,,,ningekua nina akili za kusoma ningependa kujua watoto wa ndoa za mitala malezi yao yanakuwaje? Je hawaathiriki kisaikolojia na huu mfumo?
Wewe hupo peke yako lakini ni msaada wa wanaume wengine.Usipotambua kuwa thamani yako wewe mwanamke ni huo uchi wako,utapigwa sana hata kama unandoa ya peke yako.Mmh tusidanganyane kuwahudumia wanawake wote ipasavyo sio rahisi.Lazima kuna watakaokuwa hawapew kipaumbele na kama hapewi kipaumbele it means kuna watu watakuwa wanasaidia hapo kati.Mke wa kwanza J3 Mke wa pili J4 mke wa tatu J5 mke wa nne Alhamis[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]so kwa wastan kila mke once per week na wanawake hao ni watu wazima damu ni za moto mmmh!
Tangu lini gunia la mazoezi likashindwa kuhimili ngumi nyingi?.Wenzio siyo gunia la mazoezi bali ni mali inayolidhika na bei iliyopo.Wewe mbona mkali.
Mwanamke ana haki ya kuchagua. Unaweza ku share mume au la.
Msitulazimishe tukubali sote tumeumbwa tofauti.
Sasa ukute muoaji mwenyewe tia maji tia maji kamoja tu chaliii afu ka kutafuta kweli japo kamoja kwa wiki.
Afu anaenda kuoa.
😁😁😁😁🤣🤣🤣Hivi unajua kuwa mataifa 12 ya wana wa Israeli (Yakobo) yametokana na mama wanne?.Utafiti wako unaweza anzia hapo sasa.[emoji16][emoji16][emoji16]
wake wanne sio mchezo inabidi ule nguna na kushiba vyema la sivyo unatafuta balaa na wazinziWengi humfahamu kwa jina la Masoud Kipanya, lakini hilo si jina lake halisi, tunaweza kusema hilo ni jina lake la sanaa kwani limetokana na na katuni za Kipanya ambazo huwa anachora.
Jina lake ni Ali Masoud, jina la Kipanya ni matokeo ya katuni ya Kipanya aliyoibuni zaidi ya miaka 28 iliyopita. Alizaliwa tareha 23 Juni 1972 jijini Dar es salaam.
Kipanya alianza kuchora katuni akiwa darasa la pili, na alianza kwa kuiga tu katuni za ndani na za nje kama ilivyo kawaida kwa yoyote anayeanza kufanya kitu, ila ‘professionally’ alianza rasmi mwaka 1988, huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.
Hatimaye kapata mke wa nne
View attachment 2091463
View attachment 2091464
View attachment 2091465
View attachment 2091466
Uaminifu nje ya ucha Mungu haupo.Mwanaume muumini wa Kiislamu uoa wanawake waumini wa Kiislamu na siyo wanawake waislamu.Usipolielewa hilo,utaendelea kupiga kwata sana.Ni changamoto. Ila kama ukiwawezesha kwa miradi ambayo wanakuwa busy sana, na wajue kwamba uaminifu ni muhimu... kwa kuwapata ambao ni waaminifu.. naamini inawezekana.
Hivi mnaishi nchi gani?.Ebu nenda usukumani tu hapo uone kama wasukuma wanaishi na kimke kimoja!.Ni kweli lakini kumbuka mazingira yamebadilika sio kama ya wakati huo. Leo hii warabu wengi ambao ni waisalam wanaoa mwanamke mmoja tu vp hujiulizi ni kwa nini? Nyakati za manabii wanawake walikua ni kwa ajili ya kuwahudumia wanaume wao tu na kipindi hicho mfumo dime tu ndo ilikuwepo lakini Leo hii Kuna kitu kinaitwa haki sawa vipi huoni ni kutafuta matatizo tu?