itakuwa ni chuo kidogo mithili ya sekondari za kata. Chuo hata hakijulikani, bora udsm au udom wangemtunukia ingeonekana afadhaliTz kuna vyuo vingi, sijawahi kijua hiki wallah.
Mnijuze, kipo maeneo gani?
Angalau hii ni halali kabisaAfisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.
View attachment 3171410
Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412
Hongera sana Masoud Kipanya.
Wavaa kobazi wana akili sana na wabunifu hasa Nyerere aliwanyoma nafasi kwa udini wakeAfisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.
View attachment 3171410
Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412
Hongera sana Masoud Kipanya.
samia anamfukuzia tibaijuka ,japo tibaijuka hakuwa anazinunuaYeye na Saa100 ni sawa sawa sasa?
Anavyo walabu za uso wale washenzi nampa maua yake bila unaa kama wa wale wakupewa ofa za kuwapofusha.Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.
View attachment 3171410
Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412
Hongera sana Masoud Kipanya.
Huwa haziitwi PhD (Doctor of Philosophy). Ni degree za heshima "kutambua mchango" wa mhusika. Neno "philosophy" halimo kwenye hizo titles! Rather, utasikia Doctor of Letters (Honoris Causa) and similar titles; not a PhD.Mtangazaji Maarufu nchini Mh Masoud Kipanya ametunukiwa PhD ya Heshima kutokana na Ubunifu wake wa kisayansi
Ahsanteni Sana π
Sema, Hongera sana Dr. Masoud Rodent.Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.
View attachment 3171410
Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412
Hongera sana Masoud Kipanya.
Kiko posta kwenye sanamu ya askari jengo la PPFTz kuna vyuo vingi, sijawahi kijua hiki wallah.
Mnijuze, kipo maeneo gani?
genius .....natamani arudishe maisha plusHuyu brother anajua sana akili kubwa mno[emoji848]
Tale Tale, Msukuma, KishimbaKwa hiyo sasa ni Dr Masoud Kipaya au?
Wee sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]Tena kinatoa PhD[emoji1787]
Yaan nimeshangaa mno,Me mwenyewe ndio nimesoma hapa sasa hivi nilikuwa sijui kama Kuna chuo hicho
Kwa kweli.itakuwa ni chuo kidogo mithili ya sekondari za kata. Chuo hata hakijulikani, bora udsm au udom wangemtunukia ingeonekana afadhali