Masoud Kipanya atunukiwa Shahada ya Heshima (Vanguard Honorary Degree for Creativity)

Masoud Kipanya atunukiwa Shahada ya Heshima (Vanguard Honorary Degree for Creativity)

Njia nyeupe akagombee ubunge kwao anakotoka, tayari ni doctor, vipi doctorate inajumuisha ubunifu wake wa katuni au ni gari zake tu?
 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.

View attachment 3171410

Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412

Hongera sana Masoud Kipanya.
Angalau hii ni halali kabisa
 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.

View attachment 3171410

Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412

Hongera sana Masoud Kipanya.
Wavaa kobazi wana akili sana na wabunifu hasa Nyerere aliwanyoma nafasi kwa udini wake
 
Kama ni katuni tu mbona kuna wachora katuni wenzake kina nathan, king kinya, moh'd, sammy na wengine wengi wachora katuni za kisiasa (editorial political cortoon) hatusomi nao watunukiwe hizo shahada za heshima? Hawa wote walikuwa kundi moja pale business times na kuna kundi lingine la makatunisti lipo the guardian vilevile ni wabunifu kitambo sana
 
Kwa hiyo kuanzia jumatatu ijayo kwenye kipindi chao cha PB atakuwa anaitwa dokta masoud badala ya KP au ataitwa Dr. KP?
 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.

View attachment 3171410

Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412

Hongera sana Masoud Kipanya.
Anavyo walabu za uso wale washenzi nampa maua yake bila unaa kama wa wale wakupewa ofa za kuwapofusha.
 
Mtangazaji Maarufu nchini Mh Masoud Kipanya ametunukiwa PhD ya Heshima kutokana na Ubunifu wake wa kisayansi

Ahsanteni Sana 😂
Huwa haziitwi PhD (Doctor of Philosophy). Ni degree za heshima "kutambua mchango" wa mhusika. Neno "philosophy" halimo kwenye hizo titles! Rather, utasikia Doctor of Letters (Honoris Causa) and similar titles; not a PhD.
 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.

View attachment 3171410

Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412

Hongera sana Masoud Kipanya.
Sema, Hongera sana Dr. Masoud Rodent.
 
TIPM😚😂😂
Kila mtu ni kujipakulia tu minyama saiz,

KP akitaka kuitwa Dr akasome tu hana namna 😂😂, hiz bla bla za kitoto hazimfikish popote 😂
 
Back
Top Bottom