Masoud Kipanya atunukiwa Shahada ya Heshima (Vanguard Honorary Degree for Creativity)

Shahada ya uvumilivu na ustahimilivu...navumilia mengi sana ipo siku na mimi. Hongera sana kp huwa unapata shida pale power breakfast watangazaji wenzako kukuelewa unachomaanisha.
 
Hizi shahada za heshima zitolewe na vyuo vikuu vinavyotambulika kimataifa itakuwa heshima zaidi. Isiwe kila chuo tu kikiamua kumpa mtu hadhi hiyo kinampa. Vyuo vingine ni vituko tu vinashusha hadhi shahada hizo
 
Big up brother Kipanya you deserve it [emoji122]
 
Huwa haziitwi PhD (Doctor of Philosophy). Ni degree za heshima "kutambua mchango" wa mhusika. Neno "philosophy" halimo kwenye hizo titles! Rather, utasikia Doctor of Letters (Honoris Causa) and similar titles; not a PhD.
Na mimi huwa wananiudhi sana kuilinganisha PhD na mambo ya ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…