cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ahsante kwa kunijuza, [emoji120][emoji120]Kiko posta kwenye sanamu ya askari jengo la PPF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa kunijuza, [emoji120][emoji120]Kiko posta kwenye sanamu ya askari jengo la PPF
chawa kama mwijakuAnastahili sana.
Kizuri zaidi yeye sio chawa kama chawa wengine
Big up brother Kipanya you deserve it [emoji122]Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni Mtangazaji kutoka kituo cha Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima katika kutambua mchango wake kwa Jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and Social Impact.
View attachment 3171410
Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of Project Management), Jijini Dar es salaam.
View attachment 3171412
Hongera sana Masoud Kipanya.
Anastahili..Kwakuwa ni mafanikio mjadala umepoa sana ila ingekuwa ni kashfa muda huu uzi ungeshatembea mbali sana
Na mimi huwa wananiudhi sana kuilinganisha PhD na mambo ya ujinga.Huwa haziitwi PhD (Doctor of Philosophy). Ni degree za heshima "kutambua mchango" wa mhusika. Neno "philosophy" halimo kwenye hizo titles! Rather, utasikia Doctor of Letters (Honoris Causa) and similar titles; not a PhD.