Masoud Kipanya na kifo cha imani ya msalaba

Masoud Kipanya na kifo cha imani ya msalaba

Massoud Kipanya anatukosea wakristo. Yeye ni Muslim. Bible inasema, ya kaisari mwachie kaisari. Ndio mkuu wa KKT alidhibitisha. Kuja na katuni kama hiyo ni kwenda kunyume na biblia. Wakristo wote wanaohijua kweli huwa hawapambani na kaisari. Kipanya kabla ya kutoa katuni awaulize wakristo wa kweli.
Usipotoshwe na mleta mada, Masud ana series yake ya kifo cha mabasi ya mwendokasi
 
Massoud Kipanya anatukosea wakristo. Yeye ni Muslim. Bible inasema, ya kaisari mwachie kaisari. Ndio mkuu wa KKT alidhibitisha. Kuja na katuni kama hiyo ni kwenda kunyume na biblia. Wakristo wote wanaohijua kweli huwa hawapambani na kaisari. Kipanya kabla ya kutoa katuni awaulize wakristo wa kweli.
Kwani wapi ametaja KKKT kwani ni haramu kwa muislamu kuchora msalaba?
 
Achore na mambo ya wakata suruali basi tuone!

Je suis Charlie!
 
Back
Top Bottom