Ni Mtanzania anaeweza kuthubutu kufanya Jambo na likafanikiwa. Ana confidence. Ana uelewa Mpana katika masuala mbalimbali n.k
Mwenye kujua historia yake hasa kuhusu masuala ya elimu, ujuzi, vyuo alivyopitia, kampuni alizowahi kufanya kazi n.k atujuze tafadhali.
Mwenye kujua historia yake hasa kuhusu masuala ya elimu, ujuzi, vyuo alivyopitia, kampuni alizowahi kufanya kazi n.k atujuze tafadhali.