Masoud Masoud, Manju wa muziki ni nani?

Masoud Masoud, Manju wa muziki ni nani?

Huyu anajuwa miziki

Nilimsikiliza siku moja anakuambia

Kwanini wasanii wa tz hawawezi kushiriki tuzo za grammies

Ova
 
Huyu mwamba ametisha sana akuna wa kumkaribia hata chembe.
Kuna bwana mmoja anaitwa Miguel Suleiman. Alikuwa akiandika makala za muziki katika gazeti la The Guardian, Nipashe na mengine ya IPP.

Pia alikuwa akialikwa Radio One miaka ya nyuma kuchambua Muziki.

Huyu hata Masoud Masoud anamjua. Ni gwiji wa muziki ambaye ameufanyia tafiti katika sehemu kadhaa duniani.

Kwa sasa sijui yupo wapi. Ila kwangu Huyu ndiye Hana mpinzani. Wengi nadhani hawamjui.

Aliwahi kufundisha Somo la lugha ya kifaransa katika shule ya sekondari Forodhani miaka ya nyuma.

Shule ya Forodhani wanaijua wahenga wenzangu tu.
 
Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.

Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.

Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka.

Ukifuatia simulizi zake kimuziki sio tu zina mizania ya kimantiki bali pia zina mtiririko kama movie fulani hivi inayokushawishi kuendelea kuitazama uone mwisho wake.

Masoud Masoud ni nani?

Uzi tayari
Kipindi chake kipo muda Gani?
 
Ukiwaambia vijana wafanye specialization ya Music na kuwa proffessional hawataki na hawana Interest wao wanapenda kuchukuliwa na Upepo, ikija Amapiano twende, ikija nini twende, yani mwendo wa kutoa Copy tuu... Aliwa kusema huyu Manju wa Music ukiuliza sisi Mziki wetu ni upi wala hutapata jibu.. anaeleza Music wa Nchi ya Congo umepata hadhi na UNESCO kupewa hadhi ya Urithi wa Africa, sasa sisi sijui... Bongo fleva, Taarabu, Singeli, Mziki wa Dansi bado hakuna wa kuundeleza...
Machinga uenda na upepo kuwahi pesa.
Soko ndilo uamua aina ya muziki
 
Saa ngapi kipindi chake,?

IMG_4099.png

Nime set kabisa reminder kila Thursday saa 8 mchana nakua namsikiliza wakati napata msosi

Marudio ni saa 6 mchana jumapili

Kipindi cha mwisho kumsikiliza alimchambua Marehemu Zahara na Loliwe yake yaani ikawa ni kama naangalia movie vile

Masoud ni bonge moja la narrator
 
Kuna bwana mmoja anaitwa Miguel Suleiman. Alikuwa akiandika makala za muziki katika gazeti la The Guardian, Nipashe na mengine ya IPP.

Pia alikuwa akialikwa Radio One miaka ya nyuma kuchambua Muziki.

Huyu hata Masoud Masoud anamjua. Ni gwiji wa muziki ambaye ameufanyia tafiti katika sehemu kadhaa duniani.

Kwa sasa sijui yupo wapi. Ila kwangu Huyu ndiye Hana mpinzani. Wengi nadhani hawamjui.

Aliwahi kufundisha Somo la lugha ya kifaransa katika shule ya sekondari Forodhani miaka ya nyuma.

Shule ya Forodhani wanaijua wahenga wenzangu tu.
heshima kwake🙏.
huyo ana kipaji cha juu,ingawa sio maarufu lakini mimi huwa naamini maneno ya wahenga.
 
Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.

Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.

Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka.

Ukifuatia simulizi zake kimuziki sio tu zina mizania ya kimantiki bali pia zina mtiririko kama movie fulani hivi inayokushawishi kuendelea kuitazama uone mwisho wake.

Masoud Masoud ni nani?

Uzi tayari

View: https://www.youtube.com/watch?v=lBz6v8evdQM
 
View attachment 2875772
Nime set kabisa reminder kila Thursday saa 8 mchana nakua namsikiliza wakati napata msosi

Marudio ni saa 6 mchana jumapili

Kipindi cha mwisho kumsikiliza alimchambua Marehemu Zahara na Loliwe yake yaani ikawa ni kama naangalia movie vile

Masoud ni bonge moja la narrator
hawa tbc siwapati kabisa online sijajua kama unatumia njia gani mkuu
 
.
Mshawishini awemo humu,,tumuhoji,,,tutapata meeengi ambayo yatahifadhika humu,SI unajua kila nafsi inakaburi lake.
Angalia post ya juu, au nenda YouTube. Alishaelezea mengi kuhusu maisha yake. Huyu ni raslimali ya Taifa letu. Siyo hawa washenzi kina Kitenge, wanaongeoa kama cherehani lakini hakuna cha maana.
 
Huyu Bwana kama angepata wadhamini au Serikali ikamsaidia kutekeleza Mawazo yake hasa tungeweza kuwa na pakuanzia, Wizara ya Utamaduni wangeona ni wapi huyu bwana anaweza kufiti na kuanzisha vionjo vya Music wa Tanzania
Ndugu yangu hii nchi viongozi wengi wanapata nafasi zao kwa kubebwa au awe Chawa,kwa Aina hiyo hatuwezi Pata kiongozi mwenye maono ya mbali kabisa kwa nchi hii
 
Back
Top Bottom