Masoudy kipanya Vs Hassan mpangala

Masoudy kipanya Vs Hassan mpangala

Masoud Kipanya ni habari nyingine. Mshindanishe Kipanya na heavyweight wenzake waliobobea kwenye uchoraji wa katuni za siasa. Mfananishe Kipanya na wachoraji kama Godfrey Mwampembwa aka Gado. Huyu ni mtanzania mchora katuni wa gazeti la The Guardian huko Nairobi Kenya. Zifuatazo ni baadhi ya kazi zake.
FB_IMG_1483277557841.jpg
FB_IMG_1483277627693.jpg
600x400.jpg
Gado-DW-cartoon.jpg
141234_600.jpg
gado.jpg
Dec-15-16-Mary-Joseph-the-Doctors-strike-595x450.jpg
 
Back
Top Bottom