Massage ni danguro lililochangamka

Wapenzi fanyianeni massage,Kama hamjui jinsi ya kufanya kajifunzeni kwenye akaunt ya jando na unyago.
 
Safi sana..
 
Inabd wanawake wajifunze tunaingia sana majarbun
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukome
 
Noma sana hio kitu! Ni full Vishawishi. B2B nadhani zote huwa ni mahali pengne sio ndani ya saluni. Na B2B 99% huwezi kutoka salama.
Ila sijui kama hawa wadada wa hizi barber shop wengi huwa wana wanaume zao permanent sababu hakuna mwanaume atakayekubali mwanamke wake Afanye kazi saluni ya kiume.
 
Maeneo gani hayo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…