Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Sawa Mr.MuhuniNasema hiv hatutocha kwenda ata iweje
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mr.MuhuniNasema hiv hatutocha kwenda ata iweje
"Kacheza kama pele"Kuna dada mmoja aligundua mume wake ni mteja mzuri wa massage parlour, alichofanya kwa siri alikwenda kuomba kazi lakini alikua mkweli alisema hana experience. Walimpa wiki moja ya training baada ya raining hakurudi tena alianza kumfanyia mume wake nyumbani.
Kuna dada mmoja aligundua mume wake ni mteja mzuri wa massage parlour, alichofanya kwa siri alikwenda kuomba kazi lakini alikua mkweli alisema hana experience. Walimpa wiki moja ya training baada ya training hakurudi tena alianza kumfanyia mume wake nyumbani.
Kuna dada mmoja aligundua mume wake ni mteja mzuri wa massage parlour, alichofanya kwa siri alikwenda kuomba kazi lakini alikua mkweli alisema hana experience. Walimpa wiki moja ya training baada ya training hakurudi tena alianza kumfanyia mume wake nyumbani.
Mkuu wale pale uhindini au wap??eti happy ending ...kuna wengine wako dodoma aisee wale ndo balaaa....sitokuja kwenda kule tena.....Yani unatengenezewa mazingira ya kushawishika....
kwanza picha la kikorea linaanza kabla hata ya kuvua nguo wanajipanga mabinti 6 eti uchague wa kukufanyia massage ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....Aiseee hii dunia hapana
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Watu mnachelewa kweli kufanya dhambi. Hivi vitu ni vya siku nyingi sana.
Nipe link mkuu niko capital city hapa nina maumivu makali ya Mgongo wakaninyoshe.eti happy ending ...kuna wengine wako dodoma aisee wale ndo balaaa....sitokuja kwenda kule tena.....Yani unatengenezewa mazingira ya kushawishika....
kwanza picha la kikorea linaanza kabla hata ya kuvua nguo wanajipanga mabinti 6 eti uchague wa kukufanyia massage ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....Aiseee hii dunia hapana
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
HahahaWatu mnachelewa kweli kufanya dhambi. Hivi vitu ni vya siku nyingi sana.
Uhindini sehemu gani mkuu. Nipe location na price distribution.Mkuu wale pale uhindini au wap??
Uhindini naenda Sana ndiyo Chimbo langu
Napewa huduma nzur sana pale
[emoji23].. aiseee ni balaaaSita tu?
Mzee kuna chimbo ukiingia mida mizuri unakuta mabinti 20 hivi wanakurembulia uchague. Kila sampuli. Unaweza fia pale.
Wanaweza kukuambukiza kwa makusudi?ni danguro kabisa, ajabu yake ni kwamba, wale wanaofanyia watu massage asilimia 70 wameathirika na wamejizila. na hawatumii groves. na ukiomba happy endings wanakupa. upo hapo? ni watu hatari sana hao na wakimbie kwa mbio zote.
hao mm sijui ofisi zao ila wanafanya mobile massage wanakuja lodge mpka geto kwako.... Yani hata ukiwa ndinchi wanakutumia picha za warembo kadhaa unachagua anakuja unafanyiwa massage ...Mkuu wale pale uhindini au wap??
Uhindini naenda Sana ndiyo Chimbo langu
Napewa huduma nzur sana pale
ubuntu_botho au ubuntu linux?Duuu wameongez Ubuntu wa biashara kwa kijanja saan
Hii ndio akili kubwa sasa.Kuna dada mmoja aligundua mume wake ni mteja mzuri wa massage parlour, alichofanya kwa siri alikwenda kuomba kazi lakini alikua mkweli alisema hana experience. Walimpa wiki moja ya training baada ya training hakurudi tena alianza kumfanyia mume wake nyumbani.