umeniuliza swali kweli wewe ama ulikua wasimanga na kupondaNijibu vipi swali wakati swali langu la awali halijajibiwa?
Uungwana ni kujibu swali uliloulizwa kisha uulize pia, how comes u answer qns by qns?
Lengo langu tangu mwanzoni sio kuwaponda wakenya wala kuiponda kenya...hayo yote wameanzisha nyang'au wenye dharau na kauzibe kwa watz.umeniuliza swali kweli wewe ama ulikua wasimanga na kuponda
wajua kinachonishangaza ni vile wasema malls zimejaa tu kwa mitaa ya matajiri...."wazungu",kama vile unavyosema wakati ukihesabu hizo malls kwa hiyo mitaa ni kidogo sana.malls zimejaa thika road,embakasi,westlands,eastleigh,mombasa road,nyali mombasa,machakos langata road...yani hizo zote zimejengwa na wazunguLengo langu tangu mwanzoni sio kuwaponda wakenya wala kuiponda kenya...hayo yote wameanzisha nyang'au wenye dharau na kauzibe kwa watz.
Btw, kuna mshkaji s'body 1Africa ndiye hasaa hayo maswali yalimwangukia ili nami nijibu yake.
Whites account for less than 0.2% of Kenya's population. So please, give me a break.Usinitupie mpira mkuu, tuwekee ushahidi kuwa hizo Malls na maeneo ya lavington, Karen,Muthaiga na hurlingham yanamilikiwa na wananchi weusi/Raia wa kawaida wa kenya.
Baada ya hapo mimi nitakutajia kwa ushahidi Malls za Kenya zinazomilikiwa na Wawekezaji wa Asia na mwingine Qatar ila wanawatumia local Kenyans.
Go ahead,
Serikali yenyu sarakasi,Wanavopiga kelele kama peponi huko ukifika kumbe shida tupu watu wenyewe hadi nchi yao wenyewe wameichoka
Wakenya madada umbea kipaumbele cha maisha yenu fateni wanaume walipo mvalishwe shela mmechoka na maisha ya kwenu mmekuja kutafuta mabwana kwa lazima huku ila jueni tu hatuwahitaji hata kama mna force na kujipendekeza sie sio hao wazungu wenu mliozoea kuwalamba miguu tutawafanya zaid ya wanachowafanya huko mombasaSerikali yenyu sarakasi,
wananchi wenu pimbi,
Nchi yenyu shamba la bibi,
Kejof ni kiazi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaa ukichoka kale githeri ulale siez toka home niende mall kununua unga au mchele wakati magetoni nina magunia kibao najisevia mwenyewe tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawashangaa wote mnaopiga mikelele juu ya shopping malls. Na ninyi wote Ni watoto WA wakulima isitoshe shopping zenu Ni kiosk Kenya and kwa mangi Bongo. Ongeleani mambo ya tija. Acheni upuuzi WA kushi danisha mali za wazungu Na wahindi Kenya, bongo mafasidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AiseeWabongo kwa kujipa moyo baada ya kupitwa ingekuwa hzo zipo TZ ungesikia HAPA KAZI TU!
kama umepitwa umepitwa tu ata muendelee kufanya maigizo vipi mtapitwa tu
acheni kupiga kelele hivyo vitu tunavyokitambo sana sema sisi hatupigagi makelele wewe ndo inajengwa sisi tunayo tayari na ndio mall kubwa kuliko zote afrika masharika ipo mwanza Tanzania inaitwa rockcity mall