Massive Two Rivers mall in Nairobi aggressively conquers East & Central Africa shopping experience

Massive Two Rivers mall in Nairobi aggressively conquers East & Central Africa shopping experience

Yaani wabongo ni longolongo na bongolala tu!!
Bro povu kibao weka nguvu zako usije ukadundwa na mkeo mwanaume sio vizuri kwenda kulialia kwenye kibaraza cha kidume mwenzio kila siku kama huna kwenu
 
Bro povu kibao weka nguvu zako usije ukadundwa na mkeo mwanaume sio vizuri kwenda kulialia kwenye kibaraza cha kidume mwenzio kila siku kama huna kwenu
Bongo kazi yenu hiyo tu-vibarazani- hamna cha muhimu cha kufanya.
 
Bongo kazi yenu hiyo tu-vibarazani- hamna cha muhimu cha kufanya.
Ungekua na cha muhimu cha kufanya ungeibuka hapa? Au mliletewa kadi ya mualiko? Au ndo hulka zenu za kike na umbea zikawaleta humu
 
Ungekua na cha muhimu cha kufanya ungeibuka hapa? Au mliletewa kadi ya mualiko? Au ndo hulka zenu za kike na umbea zikawaleta humu

bro ulijishugulisha kusoma mada ya hichi kitengo ama ndicho mlitengeneza kufanya udaku humu Kenya news and politics saa we ndo sijui kazi yako hapa ipi
 
Ungekua na cha muhimu cha kufanya ungeibuka hapa? Au mliletewa kadi ya mualiko? Au ndo hulka zenu za kike na umbea zikawaleta humu

bro ulijishugulisha kusoma mada ya hichi kitengo ama ndicho mlitengeneza kufanya udaku humu Kenya news and politics saa we ndo sijui kazi yako hapa ipi
 
bro ulijishugulisha kusoma mada ya hichi kitengo ama ndicho mlitengeneza kufanya udaku humu Kenya news and politics saa we ndo sijui kazi yako hapa ipi
Bado mpo wengine au ndo walewale bas kama wewe mpya tulishakwambia humu ni nyumba kubwa na upande huu ni wakufugia kuku na bata so huwezi mzuia mwenye nyumba kwenda atakapo ndani ya nyumba yake kama umechoka kua bata humu rudi porini ukawe huru huko ulipotokea nyie bana kimbelembele kwenye anga za wenzenu mtakuja kufanywa kama wale anaowazuia makonda
 
yaani hii two rivers imemanage kufika 19 threads, ehh, kweli ni kubwa hii mall
 
wacha feelings brathe.
Bado mpo wengine au ndo walewale bas kama wewe mpya tulishakwambia humu ni nyumba kubwa na upande huu ni wakufugia kuku na bata so huwezi mzuia mwenye nyumba kwenda atakapo ndani ya nyumba yake kama umechoka kua bata humu rudi porini ukawe huru huko ulipotokea nyie bana kimbelembele kwenye anga za wenzenu mtakuja kufanywa kama wale anaowazuia makonda
hahaaaaa dah...nmecheka hadi bac, nini hiii!!
 
Kenya tunayo ama hatuna........TUNAYO!!!!! Huge and prestigious Mall almost complete.
28568335845_1613bb55b7_b.jpg
13770512_924660100977118_8100536763796550887_n.jpg

NOW THIS IS THE FINISHED PRODUCT
bcfvehoxa6cd55d239748f908.jpg
Z18Pugy.jpg
 
Back
Top Bottom