Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
yani balaa.., nilisikia now days eminem ndio anamfaidi baada ya kuzinguana na meekmill. anafaidi sana aiseeOk...afuu ana ngozi soft balaa...yuko vizuri Nick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani balaa.., nilisikia now days eminem ndio anamfaidi baada ya kuzinguana na meekmill. anafaidi sana aiseeOk...afuu ana ngozi soft balaa...yuko vizuri Nick
Duuuh...Eminem tena?yani balaa.., nilisikia now days eminem ndio anamfaidi baada ya kuzinguana na meekmill. anafaidi sana aisee
eeeh yule anapenda sana wanyamwezi. wanaume wazuri afagilii kabisaDuuuh...Eminem tena?
Nick anapenda vichaa[emoji23]
Sana....kawa mbayaaKim alibadili kabisa uso wote hiyo sio sura yake
Tonto?Nampenda Coco Austin (mrs Ice T) na mambo yake yootee... mbona hujamweka Tonto???
Yes kafanya huu mwaka cosmetic surgeryTonto?
Tonto dikey?? Yule mpopo?
Ooh mavidonge ya weupe sio....bado tako naona pasi bado!Yes kafanya huu mwaka cosmetic surgery
Lile la Vera hadi naliogopa....yaan lake na la mama ubaya ufake muchVp Vera naye mbona hajawekwa maana ya kwake ndo kibokooo hahahha
Hayupo studio au Coastal Union FC? [emoji53]alikiba mbona hayupo
eeeh yule anapenda sana wanyamwezi. wanaume wazuri afagilii kabisa
Ukiniletea huyo Nicki Minaj wa 2006 hata sipotezi vocha yangu kimtongoza... Kweli dhambi inafuata pesa ilipo[emoji53]