Affet
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,189
- 1,672
Halafu anatoka mpuuzi mmoja anasema wazungu hawapendi mizigo waafrika tu ndio tunahangaika nayo kipengele hk wakubali tu tumwapiga bao kuna mitoto hku uswahilini hyo minaj wenu afanye upasuaji mara 100 haingii!Bora sie wa Africa tuna maumbo ya asili hatuhitagi kuwa botched ka ni hips la asili au mswabanda tunao, pole yao jinsi hzo operation zilivo yataka moyo. Wabantu oyeeeee