Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wapi?ww boya wapokibao
Ni kweli kabisaWanawake wanaweza tusemea hilo maana ndio wanalala nae
mbona kinyaiya anaskendo...Kashfa
Mastaa ni wepi sasa!!hawa nao ni mastaa kumbe?
karibia wote hapo wanakashfa ya kumegwaKashfa
Nani anamshikisha!!Ben kinyaiya si wanasema anashikaga UKUTA?
af hicho kijamaa mwishon mbona kama ki bwabwa hvKashfa
??na benUle wimbo tu ulikua ni kukamilisha mashairi!! ....labda kama kuna wanawake waliodate nao ndio wanaweza thibitisha
Unamjua au unajudge by appearanceaf hicho kijamaa mwishon mbona kama ki bwabwa hv
English figure hiyo,haitoi jasho.Unakikunja unavyotaka kudadadadadadeki.
jide profesa yangkila jumanature dullsaksi nkKama wapi?
Kwa kuongea kinyume hujamboHawa ni Mastaa wa bongo wasio na skendo chafu yeyote
1.Hemed PhD
View attachment 407342
2.Vicent kigosi
View attachment 407343
3.Tino (bongo movie)
View attachment 407344
4.Daxx Cruz (Model)
View attachment 407345
5.Ommy Dimpoz (music)
View attachment 407347
6.Benny Kinyaiya
View attachment 407348
7.Prience fey (team wema)
View attachment 407346
Kama unabisha njoo hapa!! Ukabushe!!