ha ha ha mkuuwe jamaa big up naona wengine hawataki kukubaliana na ukweli mwingine anapanik et hakuna staa humu,mwingine anamuhusisha mpaka Mungu humu.kama we we sio staa hata kwa demu wako tulia tu.no matter where ua kwenye wengi lazima kunakua na wale watu mashuhuri,hata humu JF kuna mastaa wake bhana ambao ukisema tu kila MTU anamjua kama kina joseverest nk take it easy pipo [emoji23]
Tundu Lissu, Mnyika, Mwigulu Nchemba, Bashite, Kitila Mkumbo, Zitto Kabwe wote hao ni mastaa na wamo Jf wapo wengine wana akaunti feki wanachungulia tu na kuondoka mfano Diva wa ala za roho huwa analalamikiwa kucopy baadhi ya post huku na kuzitumia kwenye kipindi chake mnadhani anaonaje bila kuingia huku kwa siri?
Mkuu 'dawa' kila jukwaa upo !Star / Celeb ni Mwenyezi Mungu peke yake.