Mastaa ndani ya JF

ha ha ha mkuu
 
Wanasiasa wengi humu wako verified japo wana id nyingine lakini wanamuziki na waigizaji wengi wako kwa id ambazo haziko verified.
Nadhani wanaogopa vibano kutoka kwa wana jf maana watu wakikuamulia humu lazima uisome.
Uishi milele jf
 

Kwenye hiyo list kuna mastaa na mastafeli
 
lol si kwa majibu haya😀😀 nipo hapa star Cajojo ze Jojo
 
Hahahahahaha! Nimejikuta nacheka kwa sauti kwa baadhi ya coment za wachangiaji duuuu! Kweli Jfm kiboko ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…