Mastaa wenye mvuto zaidi kwenye Jamii

Bila shaka hawa ni wasanii wanaotokea sana kwenye Magazeti ya Global Publisher wenye viskendo skendo
 
warumi hii ni orodha ya masuper star au Bongo movie?

Diamond na jide wapo bongo movies?? Wengi niliowataja wapo bongo movies , kwan hawafai kaka??
 
Last edited by a moderator:
Diamond na jide wapo bongo movies?? Wengi niliowataja wapo bongo movies , kwan hawafai kaka??

Kukubali kukosea ni uungwana Bongo hakuna superstar wa kumzidi Okwi, Samatta na Ngasa, hao uliorodhesha hakuna mwenye uwezo wa kuujaza uwanja wa Taifa.

sina nia ya kukukatisha tamaa ila next time wapange kwa category.
 
Me hapo namjua jay dee na jb,hao wengine hata siwajui.
 
I think ther'z a great need of research....ingawa orodha ina uhalisia kwa asilia kubwa 2
 
Kukubali kukosea ni uungwana Bongo hakuna superstar wa kumzidi Okwi, Samatta na Ngasa, hao uliorodhesha hakuna mwenye uwezo wa kuujaza uwanja wa Taifa.

sina nia ya kukukatisha tamaa ila next time wapange kwa category.

Mmh, sijakuelewa , ila kumbuka hawa ni mastaa wa bongo nazungumzia sasa sielewi hao wakina okwi wamekujaje.

Ni wasanii gani hapa Om ambao unadhan wana mvuto kuliko hawa niliowataja?? Hili ndo la muhimu
 
Mmh, sijakuelewa , ila kumbuka hawa ni mastaa wa bongo nazungumzia sasa sielewi hao wakina okwi wamekujaje.

Ni wasanii gani hapa Om ambao unadhan wana mvuto kuliko hawa niliowataja?? Hili ndo la muhimu
sasa nimekuelewa ni wasanii.
 

UMEFANYa makosa kumsahau KING MAJUTO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…