Master J: 99% ya wasanii wa bongo ni 'mateja'

...kuna Bhangi..
...kuna Unga Cocaine..
...kuna Pombe

Kizazi cha bongo flavor kiko hatarini...kampeni ianzishwa kupinga matumizi hayo kwa wasaniii
 
...kuna Bhangi..
...kuna Unga Cocaine..
...kuna Pombe

Kizazi cha bongo flavor kiko hatarini...kampeni ianzishwa kupinga matumizi hayo kwa wasaniii
Kweli kabisa mkuu. Bila kufanya hivyo taifa litaangamia muda si mrefu
 
wana sniff na kusmoke kwasababu ya stress za maisha(kunyonywa na mabosi zao),wanafanya kazi kubwa kimuziki alafu kipato kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…