Master J awakataza mabinti zake kujihusisha na muziki

Master J awakataza mabinti zake kujihusisha na muziki

Desire Dizaya

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2015
Posts
6,476
Reaction score
11,659
Akiongea na Millard Ayo baba huyo wa mabinti watatu alitoa sababu kwanini hataki wajihusishe na mziki. "Unajua binti kupitia kwenye mziki hadi aje kufanikiwa lazima apitie mengi. Mimi naongea hivi sababu nina uzoefu wa miaka mingi kwenye industry so mabinti huwa wanatumika sana hadi watoke"

Aidha kuna baadhi ya mashabiki walokua wakimponda kutoka katika mitandao tofauti wakidai Master J alichezea sana mabinti waliokuwa wakija kwake kama producer na sasa anaogopa mabinti zake kufanyiwa aloyafanya.
 
Akiongea na Millard Ayo baba huyo wa mabinti watatu alitoa sababu kwanini hataki wajihusishe na mziki. "Unajua binti kupitia kwenye mziki hadi aje kufanikiwa lazima apitie mengi. Mimi naongea hivi sababu nina uzoefu wa miaka mingi kwenye industry so mabinti huwa wanatumika sana hadi watoke"

Aidha kuna baadhi ya mashabiki walokua wakimponda kutoka katika mitandao tofauti wakidai Master J alichezea sana mabinti waliokuwa wakija kwake kama producer na sasa anaogopa mabinti zake kufanyiwa aloyafanya.
Upload tena hiyo attachment ili watu waione
 
huyu hapa akiwa na mabinti zake wawili wakubwa mapacha na mdogo wa mwisho.
1474262107895.jpg
 
utachofanyia wenzako,ndicho utachofanyiwa.
labda akatubu kabisa mbele ya hadhira ya watu.
 
utachofanyia wenzako,ndicho utachofanyiwa.
labda akatubu kabisa mbele ya hadhira ya watu.
kama namuona vile..akiwaangalia wanae na urembo huo anakosa amani...yani kama anaona kabisa vile watavyogombaniwa na wavaa milegezo
Ajiandae tu kisaikolojia.. Hamna namna mla huliwa!
 
aache roho mbaya mbona amshauri Shaa aache Muziki?!
shaa ni mmama wa zaidi ya miaka 30 so kashayapitia haya na huwez kumrubuni kwa ngono ili upige wimbo wake...ila hawa ni vigoli ndo kwanza chuchu zimesimama..wataharibika wakiingia huko na kuna magonjwa kemkem
 
Akiongea na Millard Ayo baba huyo wa mabinti watatu alitoa sababu kwanini hataki wajihusishe na mziki. "Unajua binti kupitia kwenye mziki hadi aje kufanikiwa lazima apitie mengi. Mimi naongea hivi sababu nina uzoefu wa miaka mingi kwenye industry so mabinti huwa wanatumika sana hadi watoke"

Aidha kuna baadhi ya mashabiki walokua wakimponda kutoka katika mitandao tofauti wakidai Master J alichezea sana mabinti waliokuwa wakija kwake kama producer na sasa anaogopa mabinti zake kufanyiwa aloyafanya.
Heheheheheheh mwambie uchungu wa marehem mzee wake alie taman awe Eng yeye akaenda kwa mziki na yeye lazima umpate...... Hehehehe
 
Baba alitaka awe Eng yeye akaenda kwa mziki..... Je ataweza kufanikiwa kwa watoto wake wasiwe wanamuziki? Sina uwakika nadhani kama alivyo muacha baba mdomo waz baada yakugunduwa mtoto hasomei kile aliuahidi na yeye lazima auonje...
 
Back
Top Bottom