Masters voice prophecy: Mtumishi wa Mungu wa kike wa USA ameoneshwa na Mungu kuwa USA itapingwa na Urusi

Masters voice prophecy: Mtumishi wa Mungu wa kike wa USA ameoneshwa na Mungu kuwa USA itapingwa na Urusi

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema ameoneshwa na Mungu kua Urusi akishirikiana na china wataipiga Marekani kwa mapigo ya kushitukiza kutokea baharini,angani na nchi kavu.
Mtabiri huyo anaendelea kusema kua Mifumo ya ulinzi dhidi ya makombora ya Marekani haitaweza kufanya kazi kabisa dhidi ya mashambulio hayo ambayo yatafanywa bila hata Urusi na china kuichokozwa,wala taarifa au onyo.
Mashambulizi hayo yatalenga kwa ukamulifu kabisa na kupiga shabaha katika maeneo muhimu sana ya kijeshi ya Marekani yaliyokusudiwa kupigwa kiasi jeshi la Marekani halitakua na uwezo wa kujitetea na Kupelekea majeshi hayo kuangukia mikononi mwa majeshi ya Urusi.
Mtabiri anasisistiza kua majeshi ya Urusi yatavinjari ndani ya ardhi ya USA kibabe sana.
Matabiri alieoneshwa na Mungu hakuishia hapo Bali anasema kipigo atakachokua akipewa USA hata washirika wake wa ulaya watashuhudia Kwa macho Yao lakini hawatakua na uwezo wa kumsaidia Marekani,hawataweza kumsaidia kwa sababu uwezo huo hawatakua nao.
Mtabiri anaongeza kua Dunia nzima itashubudia mashambulizi hayo ya kibabe sana atakayokua anapewa USA.
Mtumishi wa Mungu dada huyo wa kimarekani mwenye asili ya Afrika Cerestrial anasema kaoneshwa na Mungu kuhusu jambo hili sio mara moja wala mara mbili Bali mara nyingi kua Mungu mwenyewe ameamua Marekani ipigwa kwa kua imekua kitovu Cha dhambi na uonevu.
Anaendelea kusema kua mamlaka za Marekani wala hazijashituka kwani hawaoni kitisho chochote.
Anasema huo ndio utakavyokua mwisho wa Atlantis.
Atlantis inaenda kuanguka kama zilivyoangua Dola nyingine kama Rumi,egypt,etc.
Anasema kipigo hicho ni Cha kweli na kitatokea muda mfupi ujao sio miaka Bali ni wakati wowote kuanzia Leo.

Angalizo.:
Nimejaribu kutafasiri kwa kiswahili ingawa Mimi sio mtaalamu wa mambo ya lugha.

Mwanadada anapatikana tik tok live unaweza kumsikia na kumuona,

Ametqbiri mambo mengi TU ya kiroho na kijamii na yametokea,

Ametqbiri vifo vya Viongozi wa Dunia mqpinduzi,kupanda na kushuka kwa watu mashuhuri na imetokea,

Ametabiri maisha ya wanamuziki wa USA na nje ya USA kuhusu kupanda ama kushuka kwao na imetokea .
Na ametabiri Kila aina ya utabiri na vimetokea.

Naomba nisishambuliwe Mimi binafsi kwani Mimi nimeleta kama ninavyomfatiliaga.
Ukigoogle unaweza kumpata kwa jina la "Masters voice prophecy "

Kila nikijarubu kuweka video zake nashindwa,kama Kuna mtu anamfatilia na ana uwezo wa kuweka atuwekee,Sina vifaa wala utaalamu wa kuzipandisha.



View: https://vm.tiktok.com/ZMrhfjSr3/




View: https://vm.tiktok.com/ZMrhbaw4G/





View: https://vm.tiktok.com/ZMrhbRC1C/


Hii sijui ilikua ya mwaka gani


View: https://vm.tiktok.com/ZMrkpc1yK/


Kenya

View: https://vm.tiktok.com/ZMrBh18aw/
 
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema ameoneshwa na Mungu kua Urusi akishirikiana na china wataipiga Marekani kwa mapigo ya kushitukiza kutokea baharini,angani na nchi kavu.
Mtabiri huyo anaendelea kusema kua Mifumo ya ulinzi dhidi ya makombora ya Marekani haitaweza kufanya kazi kabisa dhidi ya mashambulio hayo ambayo yatafanywa bila hata Urusi na china kuichokozwa,wala taarifa au onyo.
Mashambulizi hayo yatalenga kwa ukamulifu kabisa na kupiga shabaha katika maeneo muhimu sana ya kijeshi ya Marekani yaliyokusudiwa kupigwa kiasi jeshi la Marekani halitakua na uwezo wa kujitetea na Kupelekea majeshi hayo kuangukia mikononi mwa majeshi ya Urusi.
Mtabiri anasisistiza kua majeshi ya Urusi yatavinjari ndani ya ardhi ya USA kibabe sana.
Matabiri alieoneshwa na Mungu hakuishia hapo Bali anasema kipigo atakachokua akipewa USA hata washirika wake wa ulaya watashuhudia Kwa macho Yao lakini hawatakua na uwezo wa kumsaidia Marekani,hawataweza kumsaidia kwa sababu uwezo huo hawatakua nao.
Mtabiri anaongeza kua Dunia nzima itashubudia mashambulizi hayo ya kibabe sana atakayokua anapewa USA.
Mtumishi wa Mungu dada huyo wa kimarekani mwenye asili ya Afrika Cerestrial anasema kaoneshwa na Mungu kuhusu jambo hili sio mara moja wala mara mbili Bali mara nyingi kua Mungu mwenyewe ameamua Marekani ipigwa kwa kua imekua kitovu Cha dhambi na uonevu.
Anaendelea kusema kua mamlaka za Marekani wala hazijashituka kwani hawaoni kitisho chochote.
Anasema huo ndio utakavyokua mwisho wa Atlantis.
Atlantis inaenda kuanguka kama zilivyoangua Dola nyingine kama Rumi,egypt,etc.
Anasema kipigo hicho ni Cha kweli na kitatokea muda mfupi ujao sio miaka Bali ni wakati wowote kuanzia Leo.

Angalizo.:
Nimejaribu kutafasiri kwa kiswahili ingawa Mimi sio mtaalamu wa mambo ya lugha.

Mwanadada anapatikana tik tok live unaweza kumsikia na kumuona,

Ametqbiri mambo mengi TU ya kiroho na kijamii na yametokea,

Ametqbiri vifo vya Viongozi wa Dunia mqpinduzi,kupanda na kushuka kwa watu mashuhuri na imetokea,

Ametabiri maisha ya wanamuziki wa USA na nje ya USA kuhusu kupanda ama kushuka kwao na imetokea .
Na ametabiri Kila aina ya utabiri na vimetokea.

Naomba nisishambuliwe Mimi binafsi kwani Mimi nimeleta kama ninavyomfatiliaga.
Ukigoogle unaweza kumpata kwa jina la "Masters voice prophecy "

Kila nikijarubu kuweka video zake nashindwa,kama Kuna mtu anamfatilia na ana uwezo wa kuweka atuwekee,Sina vifaa wala utaalamu wa kuzipandisha.

Mhuuu, hamna kitu kama hicho MUNGU hajawai kudanganya, marekani ni superpower
 
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema ameoneshwa na Mungu kua Urusi akishirikiana na china wataipiga Marekani kwa mapigo ya kushitukiza kutokea baharini,angani na nchi kavu.
Mtabiri huyo anaendelea kusema kua Mifumo ya ulinzi dhidi ya makombora ya Marekani haitaweza kufanya kazi kabisa dhidi ya mashambulio hayo ambayo yatafanywa bila hata Urusi na china kuichokozwa,wala taarifa au onyo.
Mashambulizi hayo yatalenga kwa ukamulifu kabisa na kupiga shabaha katika maeneo muhimu sana ya kijeshi ya Marekani yaliyokusudiwa kupigwa kiasi jeshi la Marekani halitakua na uwezo wa kujitetea na Kupelekea majeshi hayo kuangukia mikononi mwa majeshi ya Urusi.
Mtabiri anasisistiza kua majeshi ya Urusi yatavinjari ndani ya ardhi ya USA kibabe sana.
Matabiri alieoneshwa na Mungu hakuishia hapo Bali anasema kipigo atakachokua akipewa USA hata washirika wake wa ulaya watashuhudia Kwa macho Yao lakini hawatakua na uwezo wa kumsaidia Marekani,hawataweza kumsaidia kwa sababu uwezo huo hawatakua nao.
Mtabiri anaongeza kua Dunia nzima itashubudia mashambulizi hayo ya kibabe sana atakayokua anapewa USA.
Mtumishi wa Mungu dada huyo wa kimarekani mwenye asili ya Afrika Cerestrial anasema kaoneshwa na Mungu kuhusu jambo hili sio mara moja wala mara mbili Bali mara nyingi kua Mungu mwenyewe ameamua Marekani ipigwa kwa kua imekua kitovu Cha dhambi na uonevu.
Anaendelea kusema kua mamlaka za Marekani wala hazijashituka kwani hawaoni kitisho chochote.
Anasema huo ndio utakavyokua mwisho wa Atlantis.
Atlantis inaenda kuanguka kama zilivyoangua Dola nyingine kama Rumi,egypt,etc.
Anasema kipigo hicho ni Cha kweli na kitatokea muda mfupi ujao sio miaka Bali ni wakati wowote kuanzia Leo.

Angalizo.:
Nimejaribu kutafasiri kwa kiswahili ingawa Mimi sio mtaalamu wa mambo ya lugha.

Mwanadada anapatikana tik tok live unaweza kumsikia na kumuona,

Ametqbiri mambo mengi TU ya kiroho na kijamii na yametokea,

Ametqbiri vifo vya Viongozi wa Dunia mqpinduzi,kupanda na kushuka kwa watu mashuhuri na imetokea,

Ametabiri maisha ya wanamuziki wa USA na nje ya USA kuhusu kupanda ama kushuka kwao na imetokea .
Na ametabiri Kila aina ya utabiri na vimetokea.

Naomba nisishambuliwe Mimi binafsi kwani Mimi nimeleta kama ninavyomfatiliaga.
Ukigoogle unaweza kumpata kwa jina la "Masters voice prophecy "

Kila nikijarubu kuweka video zake nashindwa,kama Kuna mtu anamfatilia na ana uwezo wa kuweka atuwekee,Sina vifaa wala utaalamu wa kuzipandisha.
Na wewe umenunuliwa na Msigwa kwenda ccm
 
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema ameoneshwa na Mungu kua Urusi akishirikiana na china wataipiga Marekani kwa mapigo ya kushitukiza kutokea baharini,angani na nchi kavu.
Mtabiri huyo anaendelea kusema kua Mifumo ya ulinzi dhidi ya makombora ya Marekani haitaweza kufanya kazi kabisa dhidi ya mashambulio hayo ambayo yatafanywa bila hata Urusi na china kuichokozwa,wala taarifa au onyo.
Mashambulizi hayo yatalenga kwa ukamulifu kabisa na kupiga shabaha katika maeneo muhimu sana ya kijeshi ya Marekani yaliyokusudiwa kupigwa kiasi jeshi la Marekani halitakua na uwezo wa kujitetea na Kupelekea majeshi hayo kuangukia mikononi mwa majeshi ya Urusi.
Mtabiri anasisistiza kua majeshi ya Urusi yatavinjari ndani ya ardhi ya USA kibabe sana.
Matabiri alieoneshwa na Mungu hakuishia hapo Bali anasema kipigo atakachokua akipewa USA hata washirika wake wa ulaya watashuhudia Kwa macho Yao lakini hawatakua na uwezo wa kumsaidia Marekani,hawataweza kumsaidia kwa sababu uwezo huo hawatakua nao.
Mtabiri anaongeza kua Dunia nzima itashubudia mashambulizi hayo ya kibabe sana atakayokua anapewa USA.
Mtumishi wa Mungu dada huyo wa kimarekani mwenye asili ya Afrika Cerestrial anasema kaoneshwa na Mungu kuhusu jambo hili sio mara moja wala mara mbili Bali mara nyingi kua Mungu mwenyewe ameamua Marekani ipigwa kwa kua imekua kitovu Cha dhambi na uonevu.
Anaendelea kusema kua mamlaka za Marekani wala hazijashituka kwani hawaoni kitisho chochote.
Anasema huo ndio utakavyokua mwisho wa Atlantis.
Atlantis inaenda kuanguka kama zilivyoangua Dola nyingine kama Rumi,egypt,etc.
Anasema kipigo hicho ni Cha kweli na kitatokea muda mfupi ujao sio miaka Bali ni wakati wowote kuanzia Leo.

Angalizo.:
Nimejaribu kutafasiri kwa kiswahili ingawa Mimi sio mtaalamu wa mambo ya lugha.

Mwanadada anapatikana tik tok live unaweza kumsikia na kumuona,

Ametqbiri mambo mengi TU ya kiroho na kijamii na yametokea,

Ametqbiri vifo vya Viongozi wa Dunia mqpinduzi,kupanda na kushuka kwa watu mashuhuri na imetokea,

Ametabiri maisha ya wanamuziki wa USA na nje ya USA kuhusu kupanda ama kushuka kwao na imetokea .
Na ametabiri Kila aina ya utabiri na vimetokea.

Naomba nisishambuliwe Mimi binafsi kwani Mimi nimeleta kama ninavyomfatiliaga.
Ukigoogle unaweza kumpata kwa jina la "Masters voice prophecy "

Kila nikijarubu kuweka video zake nashindwa,kama Kuna mtu anamfatilia na ana uwezo wa kuweka atuwekee,Sina vifaa wala utaalamu wa kuzipandisha.
Na wewe umenunuliwa na Msigwa kwenda ccm
Watanzania hua tunshindwa mitihani kwa kutikusoma instructions TU.
Nimesema hivi,sio Mimi ninaetabiri,Bali ni mtu mwingine ambae ni raia wa Marekani.
Soma andiko mipaka mwisho ndugu.
Nimekaa USA miaka 3 miaka ya nyuma. Kuna machizi na uhuru wa kuongea Ila akili yako tu kama kikwete alivosema changanya na za kwako.
 
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema ameoneshwa na Mungu kua Urusi akishirikiana na china wataipiga Marekani kwa mapigo ya kushitukiza kutokea baharini,angani na nchi kavu.
Mtabiri huyo anaendelea kusema kua Mifumo ya ulinzi dhidi ya makombora ya Marekani haitaweza kufanya kazi kabisa dhidi ya mashambulio hayo ambayo yatafanywa bila hata Urusi na china kuichokozwa,wala taarifa au onyo.
Mashambulizi hayo yatalenga kwa ukamulifu kabisa na kupiga shabaha katika maeneo muhimu sana ya kijeshi ya Marekani yaliyokusudiwa kupigwa kiasi jeshi la Marekani halitakua na uwezo wa kujitetea na Kupelekea majeshi hayo kuangukia mikononi mwa majeshi ya Urusi.
Mtabiri anasisistiza kua majeshi ya Urusi yatavinjari ndani ya ardhi ya USA kibabe sana.
Matabiri alieoneshwa na Mungu hakuishia hapo Bali anasema kipigo atakachokua akipewa USA hata washirika wake wa ulaya watashuhudia Kwa macho Yao lakini hawatakua na uwezo wa kumsaidia Marekani,hawataweza kumsaidia kwa sababu uwezo huo hawatakua nao.
Mtabiri anaongeza kua Dunia nzima itashubudia mashambulizi hayo ya kibabe sana atakayokua anapewa USA.
Mtumishi wa Mungu dada huyo wa kimarekani mwenye asili ya Afrika Cerestrial anasema kaoneshwa na Mungu kuhusu jambo hili sio mara moja wala mara mbili Bali mara nyingi kua Mungu mwenyewe ameamua Marekani ipigwa kwa kua imekua kitovu Cha dhambi na uonevu.
Anaendelea kusema kua mamlaka za Marekani wala hazijashituka kwani hawaoni kitisho chochote.
Anasema huo ndio utakavyokua mwisho wa Atlantis.
Atlantis inaenda kuanguka kama zilivyoangua Dola nyingine kama Rumi,egypt,etc.
Anasema kipigo hicho ni Cha kweli na kitatokea muda mfupi ujao sio miaka Bali ni wakati wowote kuanzia Leo.

Angalizo.:
Nimejaribu kutafasiri kwa kiswahili ingawa Mimi sio mtaalamu wa mambo ya lugha.

Mwanadada anapatikana tik tok live unaweza kumsikia na kumuona,

Ametqbiri mambo mengi TU ya kiroho na kijamii na yametokea,

Ametqbiri vifo vya Viongozi wa Dunia mqpinduzi,kupanda na kushuka kwa watu mashuhuri na imetokea,

Ametabiri maisha ya wanamuziki wa USA na nje ya USA kuhusu kupanda ama kushuka kwao na imetokea .
Na ametabiri Kila aina ya utabiri na vimetokea.

Naomba nisishambuliwe Mimi binafsi kwani Mimi nimeleta kama ninavyomfatiliaga.
Ukigoogle unaweza kumpata kwa jina la "Masters voice prophecy "

Kila nikijarubu kuweka video zake nashindwa,kama Kuna mtu anamfatilia na ana uwezo wa kuweka atuwekee,Sina vifaa wala utaalamu wa kuzipandisha.
Mimi pia nimeoteshwa Tanzania tutaipiga China within these two weeks.
 
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi ikishirikia a na china na kuanguka mazima.
Mtabiri huyo mwana dada Mmarekani mweusi anasema ameoneshwa na Mungu kua Urusi akishirikiana na china wataipiga Marekani kwa mapigo ya kushitukiza kutokea baharini,angani na nchi kavu.
Mtabiri huyo anaendelea kusema kua Mifumo ya ulinzi dhidi ya makombora ya Marekani haitaweza kufanya kazi kabisa dhidi ya mashambulio hayo ambayo yatafanywa bila hata Urusi na china kuichokozwa,wala taarifa au onyo.
Mashambulizi hayo yatalenga kwa ukamulifu kabisa na kupiga shabaha katika maeneo muhimu sana ya kijeshi ya Marekani yaliyokusudiwa kupigwa kiasi jeshi la Marekani halitakua na uwezo wa kujitetea na Kupelekea majeshi hayo kuangukia mikononi mwa majeshi ya Urusi.
Mtabiri anasisistiza kua majeshi ya Urusi yatavinjari ndani ya ardhi ya USA kibabe sana.
Matabiri alieoneshwa na Mungu hakuishia hapo Bali anasema kipigo atakachokua akipewa USA hata washirika wake wa ulaya watashuhudia Kwa macho Yao lakini hawatakua na uwezo wa kumsaidia Marekani,hawataweza kumsaidia kwa sababu uwezo huo hawatakua nao.
Mtabiri anaongeza kua Dunia nzima itashubudia mashambulizi hayo ya kibabe sana atakayokua anapewa USA.
Mtumishi wa Mungu dada huyo wa kimarekani mwenye asili ya Afrika Cerestrial anasema kaoneshwa na Mungu kuhusu jambo hili sio mara moja wala mara mbili Bali mara nyingi kua Mungu mwenyewe ameamua Marekani ipigwa kwa kua imekua kitovu Cha dhambi na uonevu.
Anaendelea kusema kua mamlaka za Marekani wala hazijashituka kwani hawaoni kitisho chochote.
Anasema huo ndio utakavyokua mwisho wa Atlantis.
Atlantis inaenda kuanguka kama zilivyoangua Dola nyingine kama Rumi,egypt,etc.
Anasema kipigo hicho ni Cha kweli na kitatokea muda mfupi ujao sio miaka Bali ni wakati wowote kuanzia Leo.

Angalizo.:
Nimejaribu kutafasiri kwa kiswahili ingawa Mimi sio mtaalamu wa mambo ya lugha.

Mwanadada anapatikana tik tok live unaweza kumsikia na kumuona,

Ametqbiri mambo mengi TU ya kiroho na kijamii na yametokea,

Ametqbiri vifo vya Viongozi wa Dunia mqpinduzi,kupanda na kushuka kwa watu mashuhuri na imetokea,

Ametabiri maisha ya wanamuziki wa USA na nje ya USA kuhusu kupanda ama kushuka kwao na imetokea .
Na ametabiri Kila aina ya utabiri na vimetokea.

Naomba nisishambuliwe Mimi binafsi kwani Mimi nimeleta kama ninavyomfatiliaga.
Ukigoogle unaweza kumpata kwa jina la "Masters voice prophecy "

Kila nikijarubu kuweka video zake nashindwa,kama Kuna mtu anamfatilia na ana uwezo wa kuweka atuwekee,Sina vifaa wala utaalamu wa kuzipandisha.
Mjumbe hauwawi au sio
 
Hawa sio ndio kama kina John na Paul waliandika miaka 70 kabla ya kuja Mtume Mohammad, na miaka 450 baada ya Yesu.

John aliandika kitabu kinachoitwa John tazama ( Anti-Christ ) kwenye kitabu chake.

Waarabu walitamani sana kujua mawazo hayo, ambapo John alidai nabii wao atarudi badala ya Yesu

Prophet Muhammad alikuja na akawa Mtume wa mwisho.

Kwa hivyo sasa walio yakusudia kuhusu dijjal ( Ant Christ) IlIonekana si kweli, na ili mkasirisha John, ambapo upande wa pili, Wayahudi walifurahi kwa sababu walipinga fikra hizo.

Wote warabu na wayahudi walimuuliza Mtume Muhammad kuhusu fikra hizo za John.

Mtume Muhammad alikuwa hajui chochote kuhusu mambo ya mbele isipokuwa kile ambacho Mwenyezi Mungu anamwambia.


Hakuna mahali popote katika Qur'an Mwenyezi Mungu alimtaja Dajjal (Anti Christ) Hiyo point ya John ilikuwa ni fikra ya kishetani tu.

Kama yule fake Muslim Bukhari na hadith zake kama kina Paulo na John ndio huyo alie dai kaonyeshwa na Mungu, eti Mrusi atampiga America, mbona hio inajulikana wazi lazima mmoja atamtandika mwenzake😄
 
Back
Top Bottom