Masters voice prophecy: Mtumishi wa Mungu wa kike wa USA ameoneshwa na Mungu kuwa USA itapingwa na Urusi


Hilo jina lake umeliandika kwa usahihi? Mtu aki google hilo jina tutapata taarifa zake?
 

Mbona anasoma sasa au ameandikiwa hiyo barua ... hizi logic za uongo ndio alitumia Mtume Mohamed hadi leo hajaeleweka kama aliambiwa na Jibreel asome kitabu ambacho hakikuwepo before au aliambiwa atamke maneno yaliyo kwenye Quran(recite) ambayo hakuwahi yasikia before na akawa mkaidi akisema hajui kusoma! enzi hizi hamna wajinga tena sasa mistake za watabiri zinaendelezwa kwa aina ya ujinga ujinga tu.. fake prophets hawa..
 

View: https://vm.tiktok.com/ZMrhbaw4G/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…