Masters zenye soko kwa mtu mwenye BAEd ni zipi?

Masters zenye soko kwa mtu mwenye BAEd ni zipi?

Nakushauri sana achana na hizo mambo kama huna target nayo and it seems huna, ila unataka masters tu, huu ni wakati wa kuzungusha hela, ikifeli unanyanyua tena, mambo za hadhi ya elimu na hela huna jau bro
 
Mimi nina BSC EDCTN ( MATHEMATICS and CHEMISTRY)
Nipige masters ipi EDCTN with ICT au Masters EDCTN with STATISTICS.
Je open university itanifaaa maana nataka nipige kimya kimya sidhan kama nitapata ruhusa kwa mwajiri figisu ni nyingi huku serikalini.
 
Mimi nina BSC EDCTN ( MATHEMATICS and CHEMISTRY)
Nipige masters ipi EDCTN with ICT au Masters EDCTN with STATISTICS.
Je open university itanifaaa maana nataka nipige kimya kimya sidhan kama nitapata ruhusa kwa mwajiri figisu ni nyingi huku serikalini.
Piga with ICT utapata nafasi kwenye Makampuni mengi
 
Masters zote zina soko sana tatizo wengi hawajui jinsi ya kuitengenezea fedha

Wengi wanasoma masters ili wakapate ajira na vyeo

Dunia ya sasa ni dunia ya utafiti, fanya masters upate taaluma ya kufanya tafiti

Unadhan kwanini ma Prof na wana Taaluma wengi wa SUA na MUHAS hawajikombi kombi kwa wanasiasa? Kule wengi wako busy na research na wanapata sana pesa
Unapataje connection ya kufanya research za kukuingizia pesa mkuu?
 
Dunia ya sasa ni dunia ya utafiti, fanya masters upate taaluma ya kufanya tafiti

Unadhan kwanini ma Prof na wana Taaluma wengi wa SUA na MUHAS hawajikombi kombi kwa wanasiasa? Kule wengi wako busy na research na wanapata sana pesa
Hii point ni strong sana aisee. I like it
 
Back
Top Bottom