mwana wa Tanzania
Member
- Nov 27, 2019
- 35
- 146
Mkutano wa mwenyekiti wa Chadema FREEMAN MBOWE na waandishi wa habari unaotarajiwa kufanyika leo Februari 03, 2020 majira ya 5 asubuhi umejaa hadaa na upotoshaji kwa umma, nitafafanua kila jambo kwa hoja.
Kamati ya Maridhiano, MBOWE anapaswa kufahamu siku zote serikali imekuwa ikiwapa nafasi wananchi wote kushiriki shughuli za maendeleo bila kujali itikadi za vyama vya upinzani, dini, kabila n.k mara kadhaa tumemsikia Mhe. Rais akieleza yeye ni Rais wa wote. Tatizo lililopo ni kwa vyama vya upinzani kususisia kushirikiana na Serikali maridhiano ya KWELI yanapaswa kufanywa kwa vyama UPINZANI kuanza kushirikana na Serikali.
Tume huru ya uchaguzi, Tume inaweza kuwa na upungufu kama zilivyo za mataifa mengine, cha muhimu tukumbuke tume tulionayo ndio imeendesha uchaguzi wa 2015 na kupatikana kwa wabunge wengi wa upinzani tulionao Nchini akiwemo yeye, la muhimu Tume haiwezi kuisadia Chadema kushika dola bali Sera nzuri, Wanachama wengi na uzalendo kwa taifa.
Kuzuiliwa kusafiri Nje ya Nchi bila ya Kibali cha Mahakama, Mbowe anataka kutafuta huruma kwa masula ya kisheria, yeye na wenzake ni watuhumiwa, Mahakama imewapa dhamana kwa Masharti hivyo wanapaswa kuzingatia masharti hayo. Muhimu wajiepushe na ukiukwaji wa katiba na Sheria za nchi .
Marekebisho ya Katiba mataifa mbalimbali yamekuwa yakihusisha chanzo cha changamoto zinazowakabili na katiba, uhalisia ni kwamba Katiba PEKEE haiwezi kuwa mwarobaini wa matatizo yetu ya ukosefu wa huduma za kijamii kama elimu, afya na barabara n.k BALI viongozi imara, wazalendo, waadilifu, wachapa kazi kama Mhe. Rais Magufuli ndio watakaoleta maendeleo endelevu.
- Tume huru ya Uchaguzi.
- kamati ya Maridhiano
- Marekebisho ya katiba
- kuzuiwa kusafiri nje ya Nchi bila kibali cha mahakama
- kufutwa kwa uchaguzi wa Serikali za Mtaa
Kamati ya Maridhiano, MBOWE anapaswa kufahamu siku zote serikali imekuwa ikiwapa nafasi wananchi wote kushiriki shughuli za maendeleo bila kujali itikadi za vyama vya upinzani, dini, kabila n.k mara kadhaa tumemsikia Mhe. Rais akieleza yeye ni Rais wa wote. Tatizo lililopo ni kwa vyama vya upinzani kususisia kushirikiana na Serikali maridhiano ya KWELI yanapaswa kufanywa kwa vyama UPINZANI kuanza kushirikana na Serikali.
Tume huru ya uchaguzi, Tume inaweza kuwa na upungufu kama zilivyo za mataifa mengine, cha muhimu tukumbuke tume tulionayo ndio imeendesha uchaguzi wa 2015 na kupatikana kwa wabunge wengi wa upinzani tulionao Nchini akiwemo yeye, la muhimu Tume haiwezi kuisadia Chadema kushika dola bali Sera nzuri, Wanachama wengi na uzalendo kwa taifa.
Kuzuiliwa kusafiri Nje ya Nchi bila ya Kibali cha Mahakama, Mbowe anataka kutafuta huruma kwa masula ya kisheria, yeye na wenzake ni watuhumiwa, Mahakama imewapa dhamana kwa Masharti hivyo wanapaswa kuzingatia masharti hayo. Muhimu wajiepushe na ukiukwaji wa katiba na Sheria za nchi .
Marekebisho ya Katiba mataifa mbalimbali yamekuwa yakihusisha chanzo cha changamoto zinazowakabili na katiba, uhalisia ni kwamba Katiba PEKEE haiwezi kuwa mwarobaini wa matatizo yetu ya ukosefu wa huduma za kijamii kama elimu, afya na barabara n.k BALI viongozi imara, wazalendo, waadilifu, wachapa kazi kama Mhe. Rais Magufuli ndio watakaoleta maendeleo endelevu.