miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Huyu maisha yamemvuruga hata jipya cjui ni lyimo ipi ambayo huyu binti anatoka mana anatia aibu sana
kuna muheshiwiwa first class ndo anakula hiyo kitu
Mmmh aisee.basi wamtengeneze
miss chaga nawe unakubali wachaga hamna shape mae???
Hapana shepu ipo ila ya aina gani hapo ndo utofauti unaonekana
wachaga tuko vyema banaaa. daily wanatuongelea na wanatuoa kwa kasi ya ajabu. am proud to be chagga
mimi natamani niweke bango usoni niseme me mchaga i love ma self and been chagga... God bless chagga .god bless kilimanjaro amen
na huyo vipi?
Mzigo wa Shilole wacha tule tigo sie wowowo kama lile nanyonya tu Jr
kwa upande flani wema sepetu Sura hana !
Yule dada anashepu lakini sidiria zake zinamwangusha....bado anavaa mama nibebe.
na huyo vipi?
She still gorgeous and keep a low profile, anaonekana hana mashauzi pia maybe due to maturity.Mi namuona mzee; ambayo si mbaya unless kama amezeeka kabla ya wakati sababu ya mwili...
Bila kumsahau mbuta nanga
Bila kumsahau mbuta nanga
Hii ya mwanza ilikua inasoma saut iko poa sana