Hahaha kwa hiyo CEO akasema "Laura take care of THIS young boys" au siyo?
Na nyinyi mlikua wawili? Halafu ni "... THIS young boys"
Maswahibu yanayomkuta Halima Mdee yalinikuta na mimi, tofauti tu yeye ni Senior na mimi nilikuwa Junior. (Soma kisa changu hiki cha ukweli kwa ufupi kabisa)
Baada tu ya kuhitimu chuo nje ya nchi miaka hiyo ya juzi kati nilirudi nchini na kupata kazi bila kuchelewa katika kampuni binafsi ya Technohama (Information Technology) katika idara ya Ufundi ( Technical Department)
Baada tu ya kukamilisha miezi sita ya uangalizi kazini na kupata barua rasmi ya kuajiriwa kuna siku katika kutimiza majukumu yangu nikakutana na mteja (CEO wa kampuni moja) akapenda sana technologia yetu na kutaka kuitumia kwenye kampuni yake, akanipa miadi niende ofisini kwake ili nimweleze vizuri namna Technologia yetu inavyofanya kazi.
Nilirudi ofisini kwetu nilimshirikisha mwenzangu tulie ajiriwa naye siku moja ili tuwe wawili tukasaidiane kumdadavulia nondo CEO huyo wa kampuni kubwa ( Ipo hadi leo); Mwenzangu akakubali. Kesho yake asubuhi tulifika ofisini kwa CEO huyo tukapokelewa vizuri na kupelekwa kwa Katibu muhtasi wake ambaye naye akatupeleka hadi ofisini kwa bosi wake. Ofisi kubwa nzuri ambayo sikuwahi kufikiri naweza kuingia, basi tukamweleza vizuri mno namna Technologia yetu inavvyofanya kazi na namna anaweza kuitumia, maana alikuwa na office Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda na Burundi. Akatuambia amepanga kutumia kama dola laki mbili kufanikisha hilo ambapo ni kama mil 460 na ushee kwa hivi kwa sasa, akatuambia tukacheki na CEO wetu ama muhusika yeyote ofisini kwetu ili aje kupanga hilo deal.
Tuliagana, akatutoa ofisini kwake hadi kwa katibu muhtasi wake na kumwambia atuangalie.... nanukuuu " Laura , Please take care of these young boys.." akafunga mlango wake akatuacha sisi na dada Laura... huku tukitaka kutoka dada Laura akafungua fridge akatupatia soda moja moja kila mtu kwa chaguo lake na tulivyomaliza akatupatia barua, kila moja ya kwake... tukashukuru tukaondoka..huku atuamini kama haya yanayotokea ni yetu sisi ama tunaota.
Tulipofika nje tuliangaliana na kuangusha kutabasamu kali kwa pamoja, nilifungua barua yangu aisee nikakuta wekundu kadhaa wamejipanga halikadhalika na rafiki yangu na yeye hivyo hivyo.... nikajua fikakwamba sasa maisha yanakwenda kutunyookea, tunapeleka dili la dola laki mbili ofisini? kweli?.... Mungu si athumani aisee.
Tulipofika ofisini moja kwa moja kwa CEO wa kampuni yetu uzuri tulimkuta- ilikuwa huwezi kuingia hovyo hovyo ila tuliweza kwa sababu CEO huyo alikuwa mtu wa kujichanganya na staff hasa vijana - tulimwomba masijala bayana wake na akaturuhusu, tukagonga tukaingia tukamwambia kuhusu deal hilo - alifurahi saana na kutuambia muda wowote tumlete mteja huyo.
Tulimpigia mteja wetu na kumwambia CEO kashakubali hivyo kesho saa tatu afike ofisini kwa ajili ya mazungumzo - kweli Kesho yake asubuhi akafika ofisini kwetu akiwa pale reception akanipigia simu, nikiwa na rafiki yangu tukashuka chini tukampokea mteja wetu na kwenda moja kwa moja ofisini kwa CEO.
Tulifika ofisi ya Masijala Bayana alituashiria kwamba twende moja kwa moja maana bosi kubwa alikuwa anatusubiria....nikiwa nimetangulia nilifungua mlango na kukutanisha macho na CEO huku nikiachia tabasabu kubwa na yeye pia.... akatupokea wote watatu tukaketi - nilifanya utambulisho mfupi kwake na baadaye mteja wetu naye alitushukuru mimi na mwenzangu kwa ufafanuzi mzuri wa namna Techologia yetu inavyofanya kazi, CEO wetu alitushukuru sisi yaani mimi na mwenzangu, akatuomba tuondoke ili sasa yeye aongee vizuri na mwenyeji wake, tulisimama tukatabasamu na kutoka ofisini kwake.
Waliongea humo kwa takibani dk 20 hivi baadaye tukamwona mgeni wetu akitoka wakiwa na CEO na kutupungia sign na dole gumba ( ofisi ya CEO ipo pembeni mwa department ya Ufundi) baada ya kama dakika tatu nikapata message toka wa mteja wetu akisema " Mr X deal done) huku X akitaja jina langu.
Nilifurahi mno mno, nikamuonyesha message rafiki yangu, aisee nikajua sasa natoka kimaisha nikiwa ningali kijana mdogo ( wakati huo nilikuwa na miaka 26 tu) maana nilijua watu wa sales huwa wakileta wateja huwa wanapata 10% ya deal zima. Nikapiga hesabu za haraka haraka nikajua tuna kama 46m commission mbele yetu ... Mungu akupe nini...
.....itaendelea baadaye.. usikose kujua nini kilifuatia kesho yake.......
ilipofika saa 11 kasoro siku hiyo hiyo kabla tu sijatoka ofisini nikapata email toka kwa Operation Manager kwamba ananiomba kuwa na mkutano naye kesho yake saa tatu kabla ya kwenda site. Nilikubali mwaliko huo kwa njia ya email. Nilimuuliza na mwenzangu na yeye akawa kapata pia email hiyo kwa hiyo tukajua kabisa kwamba sisi wote wawili tunahitajika kwa line Manager wetu hiyo saa tatu asubuhi kesho yake. hatukuwa na wasiwasi tukajua kabisa sasa mambo yameiva.... tukajua yawezekana tukaambiwa sisi ndiyo tusimamie hiyo installation yote Rwanda, Kenya, Burundi na Uganda..... nikahisi Mungu kafungua mbingu, neema imetushukia....
Saa tatu kamili tuliingia chumba cha mkutano, tukamkuta Sales Manager pia yumo ndani, baada ya kusalimiana tukajulishwa kwamba OM (Operation Manager) kajuliswa na CEO kwamba tumepata potential customer ambaye anataka kutumia technologia yetu, yeye na Sales Manager wakatushukuru mno kwa hilo. Akaendelea kutuambia kwamba pamoja na asante hiyo ...
inaendelea....... (bado na type usiondoke)
Akaendelea kutuambia kwamba pamoja na asante hiyo tumevunja itifaki ya kampuni kwa kupeleka deal moja kwa moja kwa CEO badala ya kupitia kwake OM ambaye ndiye line manage wetu.. hii tuliambiwa mapema wakati wa orientation yetu, kwa hiyo ni lazima tuchukuliwe hatua za kinidhamu huku akitoa ka kitabu hako ka Policies & Procedures na kutuambia tusome ukurasa wa kumi ambapo ulieleza endapo mfanyakazi ambaye si wa idara ya mauzo endapo atapata mteja ama biashara je afanyaje?.
Wakati huo Sales Manager alikuwa kimya akituangalia kwa makini, tuliambiwa kama tuna utetezi wowote tuuseme muda huo kabla hatujapewa adhabu yetu ingawa aligusia kwamba adhabu inaweza kufikia hata kufukuzwa kazi..
Sikuamini... sikuamini; Yaani kumbe kujiongeza kwangu kote kule nilidhani naisaidie kampuni yangu kumbe ndiyo nimeharibu kabisa.. sikuamini.. Chumba kilikuwa na AC kali ila tulianza kutoka jasho jembamba... kabla ya utetezi nilianza kulia huku nampigia magoti OP wangu, nikaishiwa nguvu nikaanguka kwenye kapeti - mwenzangu kichwa kikaangukia meza kimyaaaa.....
..inaendelea..
Nikasikia kwa mbali OP akisema you need to see the company secretary immediate after this...wakatoka wakatuacha - tulibakia pale conference kwa muda kama nusu saa, nikazinduka nikamshtua mwenzangu nikamwambia kaka jikaze huu ndiyo ukubwa, tayari tushaingia cha kike - wamesema tukamwone secretary pale chini hatuna namna... Kosa letu kubwa tunatuhumiwa nalo kujaribu kujipatia commission bila kufuata utaratibu... tume pindisha deal kwa makusudi ili tujipatie fedha huku tukijua kufanya hivyo ni kosa kubwa.
Tulitoka huko, baadhi ya staff wakitushangaa mno kulikoni?? maana hatuwashirikisha kwa lolote kwa hiyo hawakujua what is going on...
Tulifika pale reception, tukakuta barua tayari zilishachapwa na kusainiwa tayari kwamba kwa kosa tulilofanya hatuwezi kuvumilika hivyo sisi si wafanyakazi tena wa kampuni kuanzia muda huo - tutapewa mshahara wa mwezi mmoja kama sheria inavyotaka na tunatakiwa kukabidhi vitu vya office siku hiyo hiyo na kuondoka.
Aisee nilitamani nife kabisa, niliona maisha yangu hayana maana tena - nilifikiria je ntalipaje pango, nitakula nini? maisha magumu.. kikakabidhi vitu vyao nikachukua barua yangu ya kufukuzwa nikasepa - mshikaji wangu pia hivyo hivyo tukaondoka - kabla ya kuagana kituo cha basi tukapanga tukutane kesho getoni kwangu tupange nini cha kufanya......
....inaendeea usiondoke
Tulia wewe takataka ya manispaaUmejuwa kingereza cha kuomba maji unakosoa kila kitu, kingereza ni lugha tu kama kizigua Acha upimbi
Fuso kama fuso.... Nzuri hiyo ofsaaaMaswahibu yanayomkuta Halima Mdee yalinikuta na mimi, tofauti tu yeye ni Senior na mimi nilikuwa Junior. (Soma kisa changu hiki cha ukweli kwa ufupi kabisa)
Baada tu ya kuhitimu chuo nje ya nchi miaka hiyo ya juzi kati nilirudi nchini na kupata kazi bila kuchelewa katika kampuni binafsi ya Technohama (Information Technology) katika idara ya Ufundi ( Technical Department)
Baada tu ya kukamilisha miezi sita ya uangalizi kazini na kupata barua rasmi ya kuajiriwa kuna siku katika kutimiza majukumu yangu nikakutana na mteja (CEO wa kampuni moja) akapenda sana technologia yetu na kutaka kuitumia kwenye kampuni yake, akanipa miadi niende ofisini kwake ili nimweleze vizuri namna Technologia yetu inavyofanya kazi.
Nilirudi ofisini kwetu nilimshirikisha mwenzangu tulie ajiriwa naye siku moja ili tuwe wawili tukasaidiane kumdadavulia nondo CEO huyo wa kampuni kubwa ( Ipo hadi leo); Mwenzangu akakubali. Kesho yake asubuhi tulifika ofisini kwa CEO huyo tukapokelewa vizuri na kupelekwa kwa Katibu muhtasi wake ambaye naye akatupeleka hadi ofisini kwa bosi wake. Ofisi kubwa nzuri ambayo sikuwahi kufikiri naweza kuingia, basi tukamweleza vizuri mno namna Technologia yetu inavvyofanya kazi na namna anaweza kuitumia, maana alikuwa na office Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda na Burundi. Akatuambia amepanga kutumia kama dola laki mbili kufanikisha hilo ambapo ni kama mil 460 na ushee kwa hivi kwa sasa, akatuambia tukacheki na CEO wetu ama muhusika yeyote ofisini kwetu ili aje kupanga hilo deal.
Tuliagana, akatutoa ofisini kwake hadi kwa katibu muhtasi wake na kumwambia atuangalie.... nanukuuu " Laura , Please take care of these young boys.." akafunga mlango wake akatuacha sisi na dada Laura... huku tukitaka kutoka dada Laura akafungua fridge akatupatia soda moja moja kila mtu kwa chaguo lake na tulivyomaliza akatupatia barua, kila moja ya kwake... tukashukuru tukaondoka..huku atuamini kama haya yanayotokea ni yetu sisi ama tunaota.
Tulipofika nje tuliangaliana na kuangusha kutabasamu kali kwa pamoja, nilifungua barua yangu aisee nikakuta wekundu kadhaa wamejipanga halikadhalika na rafiki yangu na yeye hivyo hivyo.... nikajua fikakwamba sasa maisha yanakwenda kutunyookea, tunapeleka dili la dola laki mbili ofisini? kweli?.... Mungu si athumani aisee.
Tulipofika ofisini moja kwa moja kwa CEO wa kampuni yetu uzuri tulimkuta- ilikuwa huwezi kuingia hovyo hovyo ila tuliweza kwa sababu CEO huyo alikuwa mtu wa kujichanganya na staff hasa vijana - tulimwomba masijala bayana wake na akaturuhusu, tukagonga tukaingia tukamwambia kuhusu deal hilo - alifurahi saana na kutuambia muda wowote tumlete mteja huyo.
Tulimpigia mteja wetu na kumwambia CEO kashakubali hivyo kesho saa tatu afike ofisini kwa ajili ya mazungumzo - kweli Kesho yake asubuhi akafika ofisini kwetu akiwa pale reception akanipigia simu, nikiwa na rafiki yangu tukashuka chini tukampokea mteja wetu na kwenda moja kwa moja ofisini kwa CEO.
Tulifika ofisi ya Masijala Bayana alituashiria kwamba twende moja kwa moja maana bosi kubwa alikuwa anatusubiria....nikiwa nimetangulia nilifungua mlango na kukutanisha macho na CEO huku nikiachia tabasabu kubwa na yeye pia.... akatupokea wote watatu tukaketi - nilifanya utambulisho mfupi kwake na baadaye mteja wetu naye alitushukuru mimi na mwenzangu kwa ufafanuzi mzuri wa namna Techologia yetu inavyofanya kazi, CEO wetu alitushukuru sisi yaani mimi na mwenzangu, akatuomba tuondoke ili sasa yeye aongee vizuri na mwenyeji wake, tulisimama tukatabasamu na kutoka ofisini kwake.
Waliongea humo kwa takibani dk 20 hivi baadaye tukamwona mgeni wetu akitoka wakiwa na CEO na kutupungia sign na dole gumba ( ofisi ya CEO ipo pembeni mwa department ya Ufundi) baada ya kama dakika tatu nikapata message toka wa mteja wetu akisema " Mr X deal done) huku X akitaja jina langu.
Nilifurahi mno mno, nikamuonyesha message rafiki yangu, aisee nikajua sasa natoka kimaisha nikiwa ningali kijana mdogo ( wakati huo nilikuwa na miaka 26 tu) maana nilijua watu wa sales huwa wakileta wateja huwa wanapata 10% ya deal zima. Nikapiga hesabu za haraka haraka nikajua tuna kama 46m commission mbele yetu ... Mungu akupe nini...
.....itaendelea baadaye.. usikose kujua nini kilifuatia kesho yake.......
ilipofika saa 11 kasoro siku hiyo hiyo kabla tu sijatoka ofisini nikapata email toka kwa Operation Manager kwamba ananiomba kuwa na mkutano naye kesho yake saa tatu kabla ya kwenda site. Nilikubali mwaliko huo kwa njia ya email. Nilimuuliza na mwenzangu na yeye akawa kapata pia email hiyo kwa hiyo tukajua kabisa kwamba sisi wote wawili tunahitajika kwa line Manager wetu hiyo saa tatu asubuhi kesho yake. hatukuwa na wasiwasi tukajua kabisa sasa mambo yameiva.... tukajua yawezekana tukaambiwa sisi ndiyo tusimamie hiyo installation yote Rwanda, Kenya, Burundi na Uganda..... nikahisi Mungu kafungua mbingu, neema imetushukia....
Saa tatu kamili tuliingia chumba cha mkutano, tukamkuta Sales Manager pia yumo ndani, baada ya kusalimiana tukajulishwa kwamba OM (Operation Manager) kajuliswa na CEO kwamba tumepata potential customer ambaye anataka kutumia technologia yetu, yeye na Sales Manager wakatushukuru mno kwa hilo. Akaendelea kutuambia kwamba pamoja na asante hiyo ...
inaendelea....... (bado na type usiondoke)
Akaendelea kutuambia kwamba pamoja na asante hiyo tumevunja itifaki ya kampuni kwa kupeleka deal moja kwa moja kwa CEO badala ya kupitia kwake OM ambaye ndiye line manage wetu.. hii tuliambiwa mapema wakati wa orientation yetu, kwa hiyo ni lazima tuchukuliwe hatua za kinidhamu huku akitoa ka kitabu hako ka Policies & Procedures na kutuambia tusome ukurasa wa kumi ambapo ulieleza endapo mfanyakazi ambaye si wa idara ya mauzo endapo atapata mteja ama biashara je afanyaje?.
Wakati huo Sales Manager alikuwa kimya akituangalia kwa makini, tuliambiwa kama tuna utetezi wowote tuuseme muda huo kabla hatujapewa adhabu yetu ingawa aligusia kwamba adhabu inaweza kufikia hata kufukuzwa kazi..
Sikuamini... sikuamini; Yaani kumbe kujiongeza kwangu kote kule nilidhani naisaidie kampuni yangu kumbe ndiyo nimeharibu kabisa.. sikuamini.. Chumba kilikuwa na AC kali ila tulianza kutoka jasho jembamba... kabla ya utetezi nilianza kulia huku nampigia magoti OP wangu, nikaishiwa nguvu nikaanguka kwenye kapeti - mwenzangu kichwa kikaangukia meza kimyaaaa.....
..inaendelea..
Nikasikia kwa mbali OP akisema you need to see the company secretary immediate after this...wakatoka wakatuacha - tulibakia pale conference kwa muda kama nusu saa, nikazinduka nikamshtua mwenzangu nikamwambia kaka jikaze huu ndiyo ukubwa, tayari tushaingia cha kike - wamesema tukamwone secretary pale chini hatuna namna... Kosa letu kubwa tunatuhumiwa nalo kujaribu kujipatia commission bila kufuata utaratibu... tume pindisha deal kwa makusudi ili tujipatie fedha huku tukijua kufanya hivyo ni kosa kubwa.
Tulitoka huko, baadhi ya staff wakitushangaa mno kulikoni?? maana hatuwashirikisha kwa lolote kwa hiyo hawakujua what is going on...
Tulifika pale reception, tukakuta barua tayari zilishachapwa na kusainiwa tayari kwamba kwa kosa tulilofanya hatuwezi kuvumilika hivyo sisi si wafanyakazi tena wa kampuni kuanzia muda huo - tutapewa mshahara wa mwezi mmoja kama sheria inavyotaka na tunatakiwa kukabidhi vitu vya office siku hiyo hiyo na kuondoka.
Aisee nilitamani nife kabisa, niliona maisha yangu hayana maana tena - nilifikiria je ntalipaje pango, nitakula nini? maisha magumu.. kikakabidhi vitu vyao nikachukua barua yangu ya kufukuzwa nikasepa - mshikaji wangu pia hivyo hivyo tukaondoka - kabla ya kuagana kituo cha basi tukapanga tukutane kesho getoni kwangu tupange nini cha kufanya......
....inaendeea usiondoke
Tulia wewe takataka ya manispaa
Operations Manager alitumia msahafu kuwafukuza kazi vijana waliyeleta mteja kwenye kampuni yake bila kuangalia aina ya kosa na athari zake kwa kampuni; hakujali wala kuangalia uzoefu wa wakosaji wahusika, hakujali historia yao ya kufanya makosa, umuhimu wao kwenye biashara, athari zinazoweza kutokana na kufukuzwa kwao kazi kwa kampuni na kwa wateja na mambo mengine
Wapo managers wengi sana wa aina hii. FUSO endelea na haka kahadithi tujue iliishaje
Fusoooooooooooo
Dah! Kampuni linapoteza MTU aliyeleta dealMaswahibu yanayomkuta Halima Mdee yalinikuta na mimi, tofauti tu yeye ni Senior na mimi nilikuwa Junior. (Soma kisa changu hiki cha ukweli kwa ufupi kabisa)
Baada tu ya kuhitimu chuo nje ya nchi miaka hiyo ya juzi kati nilirudi nchini na kupata kazi bila kuchelewa katika kampuni binafsi ya Technohama (Information Technology) katika idara ya Ufundi ( Technical Department)
Baada tu ya kukamilisha miezi sita ya uangalizi kazini na kupata barua rasmi ya kuajiriwa kuna siku katika kutimiza majukumu yangu nikakutana na mteja (CEO wa kampuni moja) akapenda sana technologia yetu na kutaka kuitumia kwenye kampuni yake, akanipa miadi niende ofisini kwake ili nimweleze vizuri namna Technologia yetu inavyofanya kazi.
Nilirudi ofisini kwetu nilimshirikisha mwenzangu tulie ajiriwa naye siku moja ili tuwe wawili tukasaidiane kumdadavulia nondo CEO huyo wa kampuni kubwa ( Ipo hadi leo); Mwenzangu akakubali. Kesho yake asubuhi tulifika ofisini kwa CEO huyo tukapokelewa vizuri na kupelekwa kwa Katibu muhtasi wake ambaye naye akatupeleka hadi ofisini kwa bosi wake. Ofisi kubwa nzuri ambayo sikuwahi kufikiri naweza kuingia, basi tukamweleza vizuri mno namna Technologia yetu inavvyofanya kazi na namna anaweza kuitumia, maana alikuwa na office Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda na Burundi. Akatuambia amepanga kutumia kama dola laki mbili kufanikisha hilo ambapo ni kama mil 460 na ushee kwa hivi kwa sasa, akatuambia tukacheki na CEO wetu ama muhusika yeyote ofisini kwetu ili aje kupanga hilo deal.
Tuliagana, akatutoa ofisini kwake hadi kwa katibu muhtasi wake na kumwambia atuangalie.... nanukuuu " Laura , Please take care of these young boys.." akafunga mlango wake akatuacha sisi na dada Laura... huku tukitaka kutoka dada Laura akafungua fridge akatupatia soda moja moja kila mtu kwa chaguo lake na tulivyomaliza akatupatia barua, kila moja ya kwake... tukashukuru tukaondoka..huku atuamini kama haya yanayotokea ni yetu sisi ama tunaota.
Tulipofika nje tuliangaliana na kuangusha kutabasamu kali kwa pamoja, nilifungua barua yangu aisee nikakuta wekundu kadhaa wamejipanga halikadhalika na rafiki yangu na yeye hivyo hivyo.... nikajua fikakwamba sasa maisha yanakwenda kutunyookea, tunapeleka dili la dola laki mbili ofisini? kweli?.... Mungu si athumani aisee.
Tulipofika ofisini moja kwa moja kwa CEO wa kampuni yetu uzuri tulimkuta- ilikuwa huwezi kuingia hovyo hovyo ila tuliweza kwa sababu CEO huyo alikuwa mtu wa kujichanganya na staff hasa vijana - tulimwomba masijala bayana wake na akaturuhusu, tukagonga tukaingia tukamwambia kuhusu deal hilo - alifurahi saana na kutuambia muda wowote tumlete mteja huyo.
Tulimpigia mteja wetu na kumwambia CEO kashakubali hivyo kesho saa tatu afike ofisini kwa ajili ya mazungumzo - kweli Kesho yake asubuhi akafika ofisini kwetu akiwa pale reception akanipigia simu, nikiwa na rafiki yangu tukashuka chini tukampokea mteja wetu na kwenda moja kwa moja ofisini kwa CEO.
Tulifika ofisi ya Masijala Bayana alituashiria kwamba twende moja kwa moja maana bosi kubwa alikuwa anatusubiria....nikiwa nimetangulia nilifungua mlango na kukutanisha macho na CEO huku nikiachia tabasabu kubwa na yeye pia.... akatupokea wote watatu tukaketi - nilifanya utambulisho mfupi kwake na baadaye mteja wetu naye alitushukuru mimi na mwenzangu kwa ufafanuzi mzuri wa namna Techologia yetu inavyofanya kazi, CEO wetu alitushukuru sisi yaani mimi na mwenzangu, akatuomba tuondoke ili sasa yeye aongee vizuri na mwenyeji wake, tulisimama tukatabasamu na kutoka ofisini kwake.
Waliongea humo kwa takibani dk 20 hivi baadaye tukamwona mgeni wetu akitoka wakiwa na CEO na kutupungia sign na dole gumba ( ofisi ya CEO ipo pembeni mwa department ya Ufundi) baada ya kama dakika tatu nikapata message toka wa mteja wetu akisema " Mr X deal done) huku X akitaja jina langu.
Nilifurahi mno mno, nikamuonyesha message rafiki yangu, aisee nikajua sasa natoka kimaisha nikiwa ningali kijana mdogo ( wakati huo nilikuwa na miaka 26 tu) maana nilijua watu wa sales huwa wakileta wateja huwa wanapata 10% ya deal zima. Nikapiga hesabu za haraka haraka nikajua tuna kama 46m commission mbele yetu ... Mungu akupe nini...
.....itaendelea baadaye.. usikose kujua nini kilifuatia kesho yake.......
ilipofika saa 11 kasoro siku hiyo hiyo kabla tu sijatoka ofisini nikapata email toka kwa Operation Manager kwamba ananiomba kuwa na mkutano naye kesho yake saa tatu kabla ya kwenda site. Nilikubali mwaliko huo kwa njia ya email. Nilimuuliza na mwenzangu na yeye akawa kapata pia email hiyo kwa hiyo tukajua kabisa kwamba sisi wote wawili tunahitajika kwa line Manager wetu hiyo saa tatu asubuhi kesho yake. hatukuwa na wasiwasi tukajua kabisa sasa mambo yameiva.... tukajua yawezekana tukaambiwa sisi ndiyo tusimamie hiyo installation yote Rwanda, Kenya, Burundi na Uganda..... nikahisi Mungu kafungua mbingu, neema imetushukia....
Saa tatu kamili tuliingia chumba cha mkutano, tukamkuta Sales Manager pia yumo ndani, baada ya kusalimiana tukajulishwa kwamba OM (Operation Manager) kajuliswa na CEO kwamba tumepata potential customer ambaye anataka kutumia technologia yetu, yeye na Sales Manager wakatushukuru mno kwa hilo. Akaendelea kutuambia kwamba pamoja na asante hiyo ...
inaendelea....... (bado na type usiondoke)
Akaendelea kutuambia kwamba pamoja na asante hiyo tumevunja itifaki ya kampuni kwa kupeleka deal moja kwa moja kwa CEO badala ya kupitia kwake OM ambaye ndiye line manage wetu.. hii tuliambiwa mapema wakati wa orientation yetu, kwa hiyo ni lazima tuchukuliwe hatua za kinidhamu huku akitoa ka kitabu hako ka Policies & Procedures na kutuambia tusome ukurasa wa kumi ambapo ulieleza endapo mfanyakazi ambaye si wa idara ya mauzo endapo atapata mteja ama biashara je afanyaje?.
Wakati huo Sales Manager alikuwa kimya akituangalia kwa makini, tuliambiwa kama tuna utetezi wowote tuuseme muda huo kabla hatujapewa adhabu yetu ingawa aligusia kwamba adhabu inaweza kufikia hata kufukuzwa kazi..
Sikuamini... sikuamini; Yaani kumbe kujiongeza kwangu kote kule nilidhani naisaidie kampuni yangu kumbe ndiyo nimeharibu kabisa.. sikuamini.. Chumba kilikuwa na AC kali ila tulianza kutoka jasho jembamba... kabla ya utetezi nilianza kulia huku nampigia magoti OP wangu, nikaishiwa nguvu nikaanguka kwenye kapeti - mwenzangu kichwa kikaangukia meza kimyaaaa.....
..inaendelea..
Nikasikia kwa mbali OP akisema you need to see the company secretary immediate after this...wakatoka wakatuacha - tulibakia pale conference kwa muda kama nusu saa, nikazinduka nikamshtua mwenzangu nikamwambia kaka jikaze huu ndiyo ukubwa, tayari tushaingia cha kike - wamesema tukamwone secretary pale chini hatuna namna... Kosa letu kubwa tunatuhumiwa nalo kujaribu kujipatia commission bila kufuata utaratibu... tume pindisha deal kwa makusudi ili tujipatie fedha huku tukijua kufanya hivyo ni kosa kubwa.
Tulitoka huko, baadhi ya staff wakitushangaa mno kulikoni?? maana hatuwashirikisha kwa lolote kwa hiyo hawakujua what is going on...
Tulifika pale reception, tukakuta barua tayari zilishachapwa na kusainiwa tayari kwamba kwa kosa tulilofanya hatuwezi kuvumilika hivyo sisi si wafanyakazi tena wa kampuni kuanzia muda huo - tutapewa mshahara wa mwezi mmoja kama sheria inavyotaka na tunatakiwa kukabidhi vitu vya office siku hiyo hiyo na kuondoka.
Aisee nilitamani nife kabisa, niliona maisha yangu hayana maana tena - nilifikiria je ntalipaje pango, nitakula nini? maisha magumu.. kikakabidhi vitu vyao nikachukua barua yangu ya kufukuzwa nikasepa - mshikaji wangu pia hivyo hivyo tukaondoka - kabla ya kuagana kituo cha basi tukapanga tukutane kesho getoni kwangu tupange nini cha kufanya......
....inaendeea usiondoke
Habari za siku mkuu?
Vipi mtazamo wako kuhusu kikosi cha kina LBJ, watarudia ubingwa?
Poa Mkuu za kwako? Nimeshangaa sana jinsi Clippers walivyozembea na kummpoteza yule defender mzuri sana. Kuumia kwa Clay pia ni pigo kubwa sana. Kama Lakers watakuwa healthy msimu wote sioni timu ya kuwasimamisha kwani sasa wamekuwa wazuri zaidi kuliko msimu uliokwisha.
Niko powa mkuu. Reports nyingi zinaonesha Kawhi na George walikuwa wanapewa upendeleo sana, na ndiyo chanzo cha jamaa kuondoka maana alikuwa haelewani nao.
Mpaka sasa naona Clippers hawajapata PG wa kueleweka, sijui itakuwaje.
Klay kuumia kwake imeniuma kiasi kwa kukosa game za ushindani, ila kishabiki nafurahi maana natamani LBJ apate tena ubingwa.
Nakumbuka jamaa aliwahi kusema hovyo kuhusu huo upendeleo wa Kahwi na George lakini naona akanyamazishwa haraka. Nilikuwa naisubiri game ya Lakers na GSW kwa hamu kuu on Xmas day kama sikosei ila haitakuwa na ushindani nilioutegemea.