Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
Kesi kama hizi ndo CMA wanazipenda sana.Operations Manager alitumia msahafu kuwafukuza kazi vijana waliyeleta mteja kwenye kampuni yake bila kuangalia aina ya kosa na athari zake kwa kampuni; hakujali wala kuangalia uzoefu wa wakosaji wahusika, hakujali historia yao ya kufanya makosa, umuhimu wao kwenye biashara, athari zinazoweza kutokana na kufukuzwa kwao kazi kwa kampuni na kwa wateja na mambo mengine
Wapo managers wengi sana wa aina hii. FUSO endelea na haka kahadithi tujue iliishaje