Maswali 2 ya Luhanga Mpina kwa Raisi Samia

Maswali 2 ya Luhanga Mpina kwa Raisi Samia

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
1. Unarudisha hudumu ngorongoro bila kumwajibisha aliyeziondoa?

2.Unsasfirisha mwili wa kijana wa aliyeuwawa bila kumwajibisha alimuuwa ?

USSR
 

Attachments

  • Screenshot_20240824-140508.jpg
    Screenshot_20240824-140508.jpg
    198.3 KB · Views: 2
Hii nchi nachukia viongozi wake kuliko wale wakoloni waliofurushwa...
Sawa serikali inamdai mwalimu kwakumsomesha chuo LAKINI ndiyo inamkata mshahara mpaka unabaki chini ya 1/5??
Huu si tuu upumbafu wahali ya juu bali ni ushetani wa viwango vibaya!!
I hate you stupid leaders and I wish you nothing than but he'll life like your fellow Sat'an!! And I mean it.
 
Hii nchi nachukia viongozi wake kuliko wale wakoloni waliofurushwa...
Sawa serikali inamdai mwalimu kwakumsomesha chuo LAKINI ndiyo inamkata mshahara mpaka unabaki chini ya 1/5??
Huu si tuu upumbafu wahali ya juu bali ni ushetani wa viwango vibaya!!
I hate you stupid leaders and I wish you nothing than but he'll life like your fellow Sat'an!! And I mean it.
Pole sana teacher, unafundisha masomo gani?
 
Kuna ombwe la uongozi,uongozi imekuwa dhana ya uchawa na uchawi pale ofisi kuu
 
Hii nchi nachukia viongozi wake kuliko wale wakoloni waliofurushwa...
Sawa serikali inamdai mwalimu kwakumsomesha chuo LAKINI ndiyo inamkata mshahara mpaka unabaki chini ya 1/5??
Huu si tuu upumbafu wahali ya juu bali ni ushetani wa viwango vibaya!!
I hate you stupid leaders and I wish you nothing than but he'll life like your fellow Sat'an!! And I mean it.
Hapo ulikuwa unamaanisha nini bro?
 
Maswali ya Luhaga Mpina ni mazuri lkn bahati mbaya yameelekezwa kwa kichwa mbovu hana ubongo wa kuyajibu
 
Namjibia yule ni mkwe wangu, unataka wajukuu wafe njaa?
 
Back
Top Bottom