DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
- Thread starter
- #21
Anabidi kujitafakari SanaSiasa za uchawa zimemuharibu kabisa. Na kwa umri aliofikia sioni akithubutu tena kuwa na hoja za kijasiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anabidi kujitafakari SanaSiasa za uchawa zimemuharibu kabisa. Na kwa umri aliofikia sioni akithubutu tena kuwa na hoja za kijasiri.
Siasa za uchawa zimemuharibu kabisa. Na kwa umri aliofikia sioni akithubutu tena kuwa na hoja za kijasiri.
Unafahamu uandishi?? Au umeamua tu kukurupuka na kumbagaza Pascal Mayalla ??Kwanza Kabisa nampogneza Ndugu Pascal Mayalla kwa kuifanya Kazi yake ya uandishi wa habari Kwa muda mrefu .
Kwa ambao tunamfahamu Pascall Mayalla wa miaka 20 nyuma ni tofauti na huyu wa sasa .
Kuna mambo matatu nimeyaona tangu mwaka 2016 tangu Pascal Mayalla aulize swali mbele ya the late JPM .
• 1 Baada ya kuuliza lile swali tata ambalo sio tu lilimfanya Mayalla kujulikana Ila lilimjengea Sana heshima kubwa kwake Ila inaonekana matokeo ya swali lake hayakuwa mazuri Sana .
Inawezekana alitishwa , inawezekana biashara zake na kampuni yake ilianza kufatiliwa n.k
Baada ya 2016 Pascal Mayalla amepoteza ule weledi wake .
Kosa kubwa alilolifanya ni kujiingiza Katika siasa za Ccm kipindi ambacho Ccm haimuhitaji, na kugombea ubunge wa Kawe pamoja na ubunge wa EAC.
Sasa baada ya kuingia Ccm bado hawampi ile heshima yake Kama Mwanahabari mkongwe na akihitaji Kuwa karibu na Mh bado hawamkubalii kirahisi
Mfano ilivyokuwa kule MBEYA.
Hivyo haya mambo yote anayoyapitia ameshindwa kujua kipi asimamie .
Ukifatilia maswali aliyomuuliza TAL juzi mbele ya Balile hayakuwa na weledi , yaani anachanganya mambo matatu Kwa wakati mmoja na kusahau maslahi ya nchi ni muhimu kuliko maslahi ya TAL
Mfano anamwambia TAL kuwa Mama alikufata Nairobi , alikubali kuonana na wewe Belgium na alimtoa Mbowe Gerezani .
Ebu jiulize haya maswali ?
Mama alienda Nairobi kumuona Lissu kitandani au alienda katika kuapishwa kwa Uhuru Kenyata ndo akapitia Kwa Lissu ?
Je Mama alienda Belgium kuonana na Lissu au alienda katika ziara yake binafsi ya kikazi Kama Rais na ndipo alionana na Lissu?
Je Mbowe kukaa gerezani Kwa mashtaka ya ugaidi ilikuwa halali na je ni Kazi ya Rais kusamehe magaidi wa hii nchi au Mbowe alikamatwa Mwanza katika harakati za kuomba madai ya katiba mpya ndo sekeseke llilianzia pale .
ukija katika wema aliofanyiwa TAL na Serikali je una uhusiano wowote na madai yake ya sasa ya NO reform NO Election.
Paskali Muda wako sasa nadhani umefika kikomo wa kuendelea kuwa mwanahabari mbobezi ili kulinda heshima yako jaribu kuandaa watu wapya ambao watavaa viatu vyako .
Maana naona tangu 2016 haujarudi katika ubora wako.
Asante
Maslahi ya nchi ya nchi na maslahi ya mtu binafsi yanafanana?Unafahamu uandishi?? Au umeamua tu kukurupuka na kumbagaza Pascal Mayalla ??
Nani kakuambia yale maswali hayana mantiki?
Masilahi ya Taifa gani anapigania? Wakati watoto wake na mkewe wako Belgium na wamepata uraia wa huko.Kwa kweli wanahabari walionyesha udhaifu sana ni kama haya yanayoendelea katika chaguzi zetu hayawaumizi hata kidogo.
Sijajua wametishwa mambo gani ila wengi wako na hofu kubwa sana. Kama Mayala naona alikaza kuonesha wema wa Mama kwa mtu mmojammoja na kuyafukia kabisa maslahi ya taifa ambayo Tundu Lisu alijitahidi kuyaeleza kwa upana sana.
Waomba tusichoke kuomba kwa ajili ya taifa letu na zaidi sana hawa waliyojitolea kuwa sauti ya ardhi hii ya Tanzania.
Mungu yupo upande wetu USHINDI unakuja
Huu utoto unaandika hapaMasilahi ya Taifa gani anapigania? Wakati watoto wake na mkewe wako Belgium na wamepata uraia wa huko.
Naye Lissu mkialianziasha anakimbilia ubalozi wowote kisha wanampakia kwenye ndege kwenda kwa shoga yake Amsterdam
Unataka niandike umama kama wewe?? Funga mapaja yakoHuu utoto unaandika hapa
Ccm matusi ndo mnaweza hongeraUnataka niandike umama kama wewe?? Funga mapaja yako
Mzee Pascal Mayalla say somethingKwanza Kabisa nampogneza Ndugu Pascal Mayalla kwa kuifanya Kazi yake ya uandishi wa habari Kwa muda mrefu .
Kwa ambao tunamfahamu Pascall Mayalla wa miaka 20 nyuma ni tofauti na huyu wa sasa .
Kuna mambo matatu nimeyaona tangu mwaka 2016 tangu Pascal Mayalla aulize swali mbele ya the late JPM .
• 1 Baada ya kuuliza lile swali tata ambalo sio tu lilimfanya Mayalla kujulikana Ila lilimjengea Sana heshima kubwa kwake Ila inaonekana matokeo ya swali lake hayakuwa mazuri Sana .
Inawezekana alitishwa , inawezekana biashara zake na kampuni yake ilianza kufatiliwa n.k
Baada ya 2016 Pascal Mayalla amepoteza ule weledi wake .
Kosa kubwa alilolifanya ni kujiingiza Katika siasa za Ccm kipindi ambacho Ccm haimuhitaji, na kugombea ubunge wa Kawe pamoja na ubunge wa EAC.
Sasa baada ya kuingia Ccm bado hawampi ile heshima yake Kama Mwanahabari mkongwe na akihitaji Kuwa karibu na Mh bado hawamkubalii kirahisi
Mfano ilivyokuwa kule MBEYA.
Hivyo haya mambo yote anayoyapitia ameshindwa kujua kipi asimamie .
Ukifatilia maswali aliyomuuliza TAL juzi mbele ya Balile hayakuwa na weledi , yaani anachanganya mambo matatu Kwa wakati mmoja na kusahau maslahi ya nchi ni muhimu kuliko maslahi ya TAL
Mfano anamwambia TAL kuwa Mama alikufata Nairobi , alikubali kuonana na wewe Belgium na alimtoa Mbowe Gerezani .
Ebu jiulize haya maswali ?
Mama alienda Nairobi kumuona Lissu kitandani au alienda katika kuapishwa kwa Uhuru Kenyata ndo akapitia Kwa Lissu ?
Je Mama alienda Belgium kuonana na Lissu au alienda katika ziara yake binafsi ya kikazi Kama Rais na ndipo alionana na Lissu?
Je Mbowe kukaa gerezani Kwa mashtaka ya ugaidi ilikuwa halali na je ni Kazi ya Rais kusamehe magaidi wa hii nchi au Mbowe alikamatwa Mwanza katika harakati za kuomba madai ya katiba mpya ndo sekeseke llilianzia pale .
ukija katika wema aliofanyiwa TAL na Serikali je una uhusiano wowote na madai yake ya sasa ya NO reform NO Election.
Paskali Muda wako sasa nadhani umefika kikomo wa kuendelea kuwa mwanahabari mbobezi ili kulinda heshima yako jaribu kuandaa watu wapya ambao watavaa viatu vyako .
Maana naona tangu 2016 haujarudi katika ubora wako.
Asante
Thread zake kipindi anajiita Pasco zilikuwa na hoja nzito kweli kweli.Pascal amewahi kuendesha kipindi cha KITI-MOTO ambacho kilimpa umaarufu Sana
So na ukisoma makala zake za nyuma jamaa alikuwa very smart katika sehemu zote zinazohusu habari
Mkuu, katika ile press, Mh. Lisu alikuwa kama vile ana toa darasa kwa waalikwa kuhusu " somo la Haki za Raia wa Tanzania kwa Mujibu wa Katiba ya yao"Kwa kweli wanahabari walionyesha udhaifu sana ni kama haya yanayoendelea katika chaguzi zetu hayawaumizi hata kidogo.
Sijajua wametishwa mambo gani ila wengi wako na hofu kubwa sana. Kama Mayala naona alikaza kuonesha wema wa Mama kwa mtu mmojammoja na kuyafukia kabisa maslahi ya taifa ambayo Tundu Lisu alijitahidi kuyaeleza kwa upana sana.
Waomba tusichoke kuomba kwa ajili ya taifa letu na zaidi sana hawa waliyojitolea kuwa sauti ya ardhi hii ya Tanzania.
Mungu yupo upande wetu USHINDI unakuja
Hivi hawana umoja wao kama wanahabari ili waweze kujitetea pale wanapovamiwa na wenye hila za kuwaharibia heshima ya taaluma yao?Kati ya tasnia ambazo zipo hoi, na akili zao zimenyakuliwa na CCM, ni tasinia ya habari.
Wengi wameamua kuwa machawa. Na siku zote, hakuna chawa mwenye akili timamu. Kuwa chawa, ni lazima kichwani uwe umevurugika kwanza.
Bei ya Lissu sh ngapi?Kila mtu ana bei yake.
Inaonekana ni uhai. Si unakumbuka tukio la kumiminiwa makumi ya risasi.Bei ya Lissu sh ngapi?