Maswali ambayo Pascal Mayalla amemuuliza Tundu Lissu, nimeona ni muda sahihi Pascal ku-step down.!

Maswali ambayo Pascal Mayalla amemuuliza Tundu Lissu, nimeona ni muda sahihi Pascal ku-step down.!

Masilahi ya Taifa gani anapigania? Wakati watoto wake na mkewe wako Belgium na wamepata uraia wa huko.

Naye Lissu mkialianziasha anakimbilia ubalozi wowote kisha wanampakia kwenye ndege kwenda kwa shoga yake Amsterdam
Mkuu, ukiona Members JF wana jadili mambo ya msingi kwa manuufaa ya Nchi na wewe unaona kabisa yapo juu ya uwezo wako, tafadhali pita tu polepole nenda tu Tiktok utawakuta wenye level yako.
 
Niliwahi kuandika mahali kuhusu ubora wa mtu unavyo pimwa.

Kwa sasa Paskal anaomgozwa na malengo yake kiuchumi na kisiasa na sio weredi kama hapo awali. Anapo yaendea haya yanaamua afanye Nini na aweupande gani. Paskal ameona akiwa Upande wa maslahi yake ambayo nimeyataja basi atakua bora.

Sisi tunapima weredi wa Paskal VS malengo yake.

Paskal akijitazama anajiona yeye ni bora anayofanya kuendea Malengo yake.Ila weredi unamkataa Paskal.

Utaona siku akipata nafasi kuuliza swali kwa viongozi wa Chama tawala.Hapo Ndio utajua Paskal amechagua upande gani.
 
Kwanza Kabisa nampogneza Ndugu Pascal Mayalla kwa kuifanya Kazi yake ya uandishi wa habari Kwa muda mrefu .

Kwa ambao tunamfahamu Pascall Mayalla wa miaka 20 nyuma ni tofauti na huyu wa sasa .

Kuna mambo matatu nimeyaona tangu mwaka 2016 tangu Pascal Mayalla aulize swali mbele ya the late JPM .

• 1 Baada ya kuuliza lile swali tata ambalo sio tu lilimfanya Mayalla kujulikana Ila lilimjengea Sana heshima kubwa kwake Ila inaonekana matokeo ya swali lake hayakuwa mazuri Sana .

Inawezekana alitishwa , inawezekana biashara zake na kampuni yake ilianza kufatiliwa n.k

Baada ya 2016 Pascal Mayalla amepoteza ule weledi wake .

Kosa kubwa alilolifanya ni kujiingiza Katika siasa za Ccm kipindi ambacho Ccm haimuhitaji, na kugombea ubunge wa Kawe pamoja na ubunge wa EAC.

Sasa baada ya kuingia Ccm bado hawampi ile heshima yake Kama Mwanahabari mkongwe na akihitaji Kuwa karibu na Mh bado hawamkubalii kirahisi

Mfano ilivyokuwa kule MBEYA.

Hivyo haya mambo yote anayoyapitia ameshindwa kujua kipi asimamie .

Ukifatilia maswali aliyomuuliza TAL juzi mbele ya Balile hayakuwa na weledi , yaani anachanganya mambo matatu Kwa wakati mmoja na kusahau maslahi ya nchi ni muhimu kuliko maslahi ya TAL

Mfano anamwambia TAL kuwa Mama alikufata Nairobi , alikubali kuonana na wewe Belgium na alimtoa Mbowe Gerezani .

Ebu jiulize haya maswali ?

Mama alienda Nairobi kumuona Lissu kitandani au alienda katika kuapishwa kwa Uhuru Kenyata ndo akapitia Kwa Lissu ?

Je Mama alienda Belgium kuonana na Lissu au alienda katika ziara yake binafsi ya kikazi Kama Rais na ndipo alionana na Lissu?

Je, Mbowe kukaa gerezani Kwa mashtaka ya ugaidi ilikuwa halali na je ni Kazi ya Rais kusamehe magaidi wa hii nchi au Mbowe alikamatwa Mwanza katika harakati za kuomba madai ya katiba mpya ndo sekeseke llilianzia pale .

Ukija katika wema aliofanyiwa TAL na Serikali je una uhusiano wowote na madai yake ya sasa ya NO reform NO Election.

Paskali Muda wako sasa nadhani umefika kikomo wa kuendelea kuwa mwanahabari mbobezi ili kulinda heshima yako jaribu kuandaa watu wapya ambao watavaa viatu vyako .

Maana naona tangu 2016 haujarudi katika ubora wako.

Asante
Huyo ni miongoni nwa wapumbavu wachache wanaojali matumbo yao
 
Mkuu, ukiona Members JF wana jadili mambo ya msingi kwa manuufaa ya Nchi na wewe unaona kabisa yapo juu ya uwezo wako, tafadhali pita tu polepole nenda tu Tiktok utawakuta wenye level yako.
Unaweza wewe ndiyo ukawa na matatizo ya mtindio wa ubongo. Endeleeni kumsikiliza huyo, hamtoboi
 
Kwanza Kabisa nampogneza Ndugu Pascal Mayalla kwa kuifanya Kazi yake ya uandishi wa habari Kwa muda mrefu .

Kwa ambao tunamfahamu Pascall Mayalla wa miaka 20 nyuma ni tofauti na huyu wa sasa .

Kuna mambo matatu nimeyaona tangu mwaka 2016 tangu Pascal Mayalla aulize swali mbele ya the late JPM .

• 1 Baada ya kuuliza lile swali tata ambalo sio tu lilimfanya Mayalla kujulikana Ila lilimjengea Sana heshima kubwa kwake Ila inaonekana matokeo ya swali lake hayakuwa mazuri Sana .

Inawezekana alitishwa , inawezekana biashara zake na kampuni yake ilianza kufatiliwa n.k

Baada ya 2016 Pascal Mayalla amepoteza ule weledi wake .

Kosa kubwa alilolifanya ni kujiingiza Katika siasa za Ccm kipindi ambacho Ccm haimuhitaji, na kugombea ubunge wa Kawe pamoja na ubunge wa EAC.

Sasa baada ya kuingia Ccm bado hawampi ile heshima yake Kama Mwanahabari mkongwe na akihitaji Kuwa karibu na Mh bado hawamkubalii kirahisi

Mfano ilivyokuwa kule MBEYA.

Hivyo haya mambo yote anayoyapitia ameshindwa kujua kipi asimamie .

Ukifatilia maswali aliyomuuliza TAL juzi mbele ya Balile hayakuwa na weledi , yaani anachanganya mambo matatu Kwa wakati mmoja na kusahau maslahi ya nchi ni muhimu kuliko maslahi ya TAL

Mfano anamwambia TAL kuwa Mama alikufata Nairobi , alikubali kuonana na wewe Belgium na alimtoa Mbowe Gerezani .

Ebu jiulize haya maswali ?

Mama alienda Nairobi kumuona Lissu kitandani au alienda katika kuapishwa kwa Uhuru Kenyata ndo akapitia Kwa Lissu ?

Je Mama alienda Belgium kuonana na Lissu au alienda katika ziara yake binafsi ya kikazi Kama Rais na ndipo alionana na Lissu?

Je, Mbowe kukaa gerezani Kwa mashtaka ya ugaidi ilikuwa halali na je ni Kazi ya Rais kusamehe magaidi wa hii nchi au Mbowe alikamatwa Mwanza katika harakati za kuomba madai ya katiba mpya ndo sekeseke llilianzia pale .

Ukija katika wema aliofanyiwa TAL na Serikali je una uhusiano wowote na madai yake ya sasa ya NO reform NO Election.

Paskali Muda wako sasa nadhani umefika kikomo wa kuendelea kuwa mwanahabari mbobezi ili kulinda heshima yako jaribu kuandaa watu wapya ambao watavaa viatu vyako .

Maana naona tangu 2016 haujarudi katika ubora wako.

Asante
Comrade Pascal Mayalla kama haya ndiyo maswali uliyomuuliza Mh. Tundu Lissu, basi naungana na mtoa mada; hapa ulipuyanga Comrade. Maana hayana uhusiano na harakati za kudai uwepo wa uchaguzi huru na wa haki.
 
Tanzania bana binafsi sijaona jambo linaloweza kunishawishi kwamba mayala amewahi kuwa kwenye ubora huuo?
Nilimfahamu Kwa kutangaza saasaba na alitangaza kawaida bila maajabu yoyote!
Huyu Pasco mnamsifu kuliko hali halisi embu tujifunze Kwa wenzetu kama maana huwa tunasifia ujinga mwingi
Naunga mkono hoja huyo jamaa ni loophole hamna kitu kati wanahabari bangaifu huyo ni mmoja wao.

Huwezi kuwa mwanahabari na hapohapo chawa wa wanasiasa na hapohapo mwenyewe ni mgombea!

Shameless!!
 
Masilahi ya Taifa gani anapigania? Wakati watoto wake na mkewe wako Belgium na wamepata uraia wa huko.

Naye Lissu mkialianziasha anakimbilia ubalozi wowote kisha wanampakia kwenye ndege kwenda kwa shoga yake Amsterdam
Wewe jeshini ulienda kula ugali tu
 
Tanzania bana binafsi sijaona jambo linaloweza kunishawishi kwamba mayala amewahi kuwa kwenye ubora huuo?
Nilimfahamu Kwa kutangaza saasaba na alitangaza kawaida bila maajabu yoyote!
Huyu Pasco mnamsifu kuliko hali halisi embu tujifunze Kwa wenzetu kama maana huwa tunasifia ujinga mwingi
Mimi binafsi sijawahi muona kama ni critical thinker kupitia tu nyuzi zake za hapa jamiiforum ni wakawaida sana

Kuna mambo mengi sana kama mwandishi wa habari anachapia ilihali anatakiwa ajue
 
Kwanza Kabisa nampogneza Ndugu Pascal Mayalla kwa kuifanya Kazi yake ya uandishi wa habari Kwa muda mrefu .

Kwa ambao tunamfahamu Pascall Mayalla wa miaka 20 nyuma ni tofauti na huyu wa sasa .

Kuna mambo matatu nimeyaona tangu mwaka 2016 tangu Pascal Mayalla aulize swali mbele ya the late JPM .

• 1 Baada ya kuuliza lile swali tata ambalo sio tu lilimfanya Mayalla kujulikana Ila lilimjengea Sana heshima kubwa kwake Ila inaonekana matokeo ya swali lake hayakuwa mazuri Sana .

Inawezekana alitishwa , inawezekana biashara zake na kampuni yake ilianza kufatiliwa n.k

Baada ya 2016 Pascal Mayalla amepoteza ule weledi wake .

Kosa kubwa alilolifanya ni kujiingiza Katika siasa za Ccm kipindi ambacho Ccm haimuhitaji, na kugombea ubunge wa Kawe pamoja na ubunge wa EAC.

Sasa baada ya kuingia Ccm bado hawampi ile heshima yake Kama Mwanahabari mkongwe na akihitaji Kuwa karibu na Mh bado hawamkubalii kirahisi

Mfano ilivyokuwa kule MBEYA.

Hivyo haya mambo yote anayoyapitia ameshindwa kujua kipi asimamie .

Ukifatilia maswali aliyomuuliza TAL juzi mbele ya Balile hayakuwa na weledi , yaani anachanganya mambo matatu Kwa wakati mmoja na kusahau maslahi ya nchi ni muhimu kuliko maslahi ya TAL

Mfano anamwambia TAL kuwa Mama alikufata Nairobi , alikubali kuonana na wewe Belgium na alimtoa Mbowe Gerezani .

Ebu jiulize haya maswali ?

Mama alienda Nairobi kumuona Lissu kitandani au alienda katika kuapishwa kwa Uhuru Kenyata ndo akapitia Kwa Lissu ?

Je Mama alienda Belgium kuonana na Lissu au alienda katika ziara yake binafsi ya kikazi Kama Rais na ndipo alionana na Lissu?

Je, Mbowe kukaa gerezani Kwa mashtaka ya ugaidi ilikuwa halali na je ni Kazi ya Rais kusamehe magaidi wa hii nchi au Mbowe alikamatwa Mwanza katika harakati za kuomba madai ya katiba mpya ndo sekeseke llilianzia pale .

Ukija katika wema aliofanyiwa TAL na Serikali je una uhusiano wowote na madai yake ya sasa ya NO reform NO Election.

Paskali Muda wako sasa nadhani umefika kikomo wa kuendelea kuwa mwanahabari mbobezi ili kulinda heshima yako jaribu kuandaa watu wapya ambao watavaa viatu vyako .

Maana naona tangu 2016 haujarudi katika ubora wako.

Asante
A step down ili afanye nini

You may choose to ignore him mkuu
 
Paschal anaifanyia kazi vizuri taaluma yake. Lakini ipo shida kwa waandishi wengi. Mara nyingi hawaulizi maswali wala kujenga hoja za kutatua kero za wananchi.
 
Kwanza Kabisa nampogneza Ndugu Pascal Mayalla kwa kuifanya Kazi yake ya uandishi wa habari Kwa muda mrefu .

Kwa ambao tunamfahamu Pascall Mayalla wa miaka 20 nyuma ni tofauti na huyu wa sasa .

Kuna mambo matatu nimeyaona tangu mwaka 2016 tangu Pascal Mayalla aulize swali mbele ya the late JPM .

• 1 Baada ya kuuliza lile swali tata ambalo sio tu lilimfanya Mayalla kujulikana Ila lilimjengea Sana heshima kubwa kwake Ila inaonekana matokeo ya swali lake hayakuwa mazuri Sana .

Inawezekana alitishwa , inawezekana biashara zake na kampuni yake ilianza kufatiliwa n.k

Baada ya 2016 Pascal Mayalla amepoteza ule weledi wake .

Kosa kubwa alilolifanya ni kujiingiza Katika siasa za Ccm kipindi ambacho Ccm haimuhitaji, na kugombea ubunge wa Kawe pamoja na ubunge wa EAC.

Sasa baada ya kuingia Ccm bado hawampi ile heshima yake Kama Mwanahabari mkongwe na akihitaji Kuwa karibu na Mh bado hawamkubalii kirahisi

Mfano ilivyokuwa kule MBEYA.

Hivyo haya mambo yote anayoyapitia ameshindwa kujua kipi asimamie .

Ukifatilia maswali aliyomuuliza TAL juzi mbele ya Balile hayakuwa na weledi , yaani anachanganya mambo matatu Kwa wakati mmoja na kusahau maslahi ya nchi ni muhimu kuliko maslahi ya TAL

Mfano anamwambia TAL kuwa Mama alikufata Nairobi , alikubali kuonana na wewe Belgium na alimtoa Mbowe Gerezani .

Ebu jiulize haya maswali ?

Mama alienda Nairobi kumuona Lissu kitandani au alienda katika kuapishwa kwa Uhuru Kenyata ndo akapitia Kwa Lissu ?

Je Mama alienda Belgium kuonana na Lissu au alienda katika ziara yake binafsi ya kikazi Kama Rais na ndipo alionana na Lissu?

Je, Mbowe kukaa gerezani Kwa mashtaka ya ugaidi ilikuwa halali na je ni Kazi ya Rais kusamehe magaidi wa hii nchi au Mbowe alikamatwa Mwanza katika harakati za kuomba madai ya katiba mpya ndo sekeseke llilianzia pale .

Ukija katika wema aliofanyiwa TAL na Serikali je una uhusiano wowote na madai yake ya sasa ya NO reform NO Election.

Paskali Muda wako sasa nadhani umefika kikomo wa kuendelea kuwa mwanahabari mbobezi ili kulinda heshima yako jaribu kuandaa watu wapya ambao watavaa viatu vyako .

Maana naona tangu 2016 haujarudi katika ubora wako.

Asante
Mama kutumia muda wake kwenda kumtembelea ni upendo na utu mkubwa sana. Mayalla amekosea nini, mengine ni mtazamo wako ukizingatia uko kinyume sana na hii serikali. Paschal awe na msimamo haiwezekani uikosoe CCM mara pap unataka utumie tiketi yake kupata uongozi. Paschal awe na msimamo awe mjanja.
 
Kwanza Kabisa nampogneza Ndugu Pascal Mayalla kwa kuifanya Kazi yake ya uandishi wa habari Kwa muda mrefu .

Kwa ambao tunamfahamu Pascall Mayalla wa miaka 20 nyuma ni tofauti na huyu wa sasa .

Kuna mambo matatu nimeyaona tangu mwaka 2016 tangu Pascal Mayalla aulize swali mbele ya the late JPM .

• 1 Baada ya kuuliza lile swali tata ambalo sio tu lilimfanya Mayalla kujulikana Ila lilimjengea Sana heshima kubwa kwake Ila inaonekana matokeo ya swali lake hayakuwa mazuri Sana .

Inawezekana alitishwa , inawezekana biashara zake na kampuni yake ilianza kufatiliwa n.k

Baada ya 2016 Pascal Mayalla amepoteza ule weledi wake .

Kosa kubwa alilolifanya ni kujiingiza Katika siasa za Ccm kipindi ambacho Ccm haimuhitaji, na kugombea ubunge wa Kawe pamoja na ubunge wa EAC.

Sasa baada ya kuingia Ccm bado hawampi ile heshima yake Kama Mwanahabari mkongwe na akihitaji Kuwa karibu na Mh bado hawamkubalii kirahisi

Mfano ilivyokuwa kule MBEYA.

Hivyo haya mambo yote anayoyapitia ameshindwa kujua kipi asimamie .

Ukifatilia maswali aliyomuuliza TAL juzi mbele ya Balile hayakuwa na weledi , yaani anachanganya mambo matatu Kwa wakati mmoja na kusahau maslahi ya nchi ni muhimu kuliko maslahi ya TAL

Mfano anamwambia TAL kuwa Mama alikufata Nairobi , alikubali kuonana na wewe Belgium na alimtoa Mbowe Gerezani .

Ebu jiulize haya maswali ?

Mama alienda Nairobi kumuona Lissu kitandani au alienda katika kuapishwa kwa Uhuru Kenyata ndo akapitia Kwa Lissu ?

Je Mama alienda Belgium kuonana na Lissu au alienda katika ziara yake binafsi ya kikazi Kama Rais na ndipo alionana na Lissu?

Je, Mbowe kukaa gerezani Kwa mashtaka ya ugaidi ilikuwa halali na je ni Kazi ya Rais kusamehe magaidi wa hii nchi au Mbowe alikamatwa Mwanza katika harakati za kuomba madai ya katiba mpya ndo sekeseke llilianzia pale .

Ukija katika wema aliofanyiwa TAL na Serikali je una uhusiano wowote na madai yake ya sasa ya NO reform NO Election.

Paskali Muda wako sasa nadhani umefika kikomo wa kuendelea kuwa mwanahabari mbobezi ili kulinda heshima yako jaribu kuandaa watu wapya ambao watavaa viatu vyako .

Maana naona tangu 2016 haujarudi katika ubora wako.

Asante
mayalla
 
Kwanza Kabisa nampogneza Ndugu Pascal Mayalla kwa kuifanya Kazi yake ya uandishi wa habari Kwa muda mrefu .

Kwa ambao tunamfahamu Pascall Mayalla wa miaka 20 nyuma ni tofauti na huyu wa sasa .

Kuna mambo matatu nimeyaona tangu mwaka 2016 tangu Pascal Mayalla aulize swali mbele ya the late JPM .

• 1 Baada ya kuuliza lile swali tata ambalo sio tu lilimfanya Mayalla kujulikana Ila lilimjengea Sana heshima kubwa kwake Ila inaonekana matokeo ya swali lake hayakuwa mazuri Sana .

Inawezekana alitishwa , inawezekana biashara zake na kampuni yake ilianza kufatiliwa n.k

Baada ya 2016 Pascal Mayalla amepoteza ule weledi wake .

Kosa kubwa alilolifanya ni kujiingiza Katika siasa za Ccm kipindi ambacho Ccm haimuhitaji, na kugombea ubunge wa Kawe pamoja na ubunge wa EAC.

Sasa baada ya kuingia Ccm bado hawampi ile heshima yake Kama Mwanahabari mkongwe na akihitaji Kuwa karibu na Mh bado hawamkubalii kirahisi

Mfano ilivyokuwa kule MBEYA.

Hivyo haya mambo yote anayoyapitia ameshindwa kujua kipi asimamie .

Ukifatilia maswali aliyomuuliza TAL juzi mbele ya Balile hayakuwa na weledi , yaani anachanganya mambo matatu Kwa wakati mmoja na kusahau maslahi ya nchi ni muhimu kuliko maslahi ya TAL

Mfano anamwambia TAL kuwa Mama alikufata Nairobi , alikubali kuonana na wewe Belgium na alimtoa Mbowe Gerezani .

Ebu jiulize haya maswali ?

Mama alienda Nairobi kumuona Lissu kitandani au alienda katika kuapishwa kwa Uhuru Kenyata ndo akapitia Kwa Lissu ?

Je Mama alienda Belgium kuonana na Lissu au alienda katika ziara yake binafsi ya kikazi Kama Rais na ndipo alionana na Lissu?

Je, Mbowe kukaa gerezani Kwa mashtaka ya ugaidi ilikuwa halali na je ni Kazi ya Rais kusamehe magaidi wa hii nchi au Mbowe alikamatwa Mwanza katika harakati za kuomba madai ya katiba mpya ndo sekeseke llilianzia pale .

Ukija katika wema aliofanyiwa TAL na Serikali je una uhusiano wowote na madai yake ya sasa ya NO reform NO Election.

Paskali Muda wako sasa nadhani umefika kikomo wa kuendelea kuwa mwanahabari mbobezi ili kulinda heshima yako jaribu kuandaa watu wapya ambao watavaa viatu vyako .

Maana naona tangu 2016 haujarudi katika ubora wako.

Asante
Shida ni kwamba watu wengi wanahisi chadema chini ya lisu kwamba wanadili na mtu.
Siasa ya chadema ni against mfumo mbovu wa serikali,ambapo mmiliki wa mfumo ni wananchi ambao ndo wenye uwezo wa kuubadilisha.
Sasa kuleta huruma za mtu kuja kukuona alafu taifa liachwe liangamie huo ni ujinga ambao Chadema hawautaki.
 
Kwahiyo alivyomuuliza maswali Magulufuli alijijengea heshima ila alivyomuuliza maswali lisu kajivunjia heshima?
Hebu soma tena uzi, swali lako litajijibu lenyewe through this thread.

Anyway, popote nikimuonaga Balile yupo huaga najua, hapo hakuna kitu. Jamaa nilimdharau sana kipindi cha sakata la Richmond/Dowans yeye na wenzake walivo mwitaga Dr. Harrison Mwakyembe, maswali aliokua akimuuliza Mwakyembe nikajua jamaa hana cha uzalendo wala kitu gani, watu wa type yake ni hawana uchungu na nchi hata chembe, wapo tayari hata kuona bongo inaangamia lakini wao wakiwa salama, so sishangai kwa hili linalo mshangaza mleta uzi. I think ndio maana watu wakini kwasasa wakitaka habari za kweli na uhakika, wanajikita kwenye social media na sio media rasmi kama magazeti, radio na TV, hakuna kitu kule, wahariri wao ndio hawa wanao ukerwa na personalities and not issues
 
Back
Top Bottom