Maswali ambayo Pascal Mayalla amemuuliza Tundu Lissu, nimeona ni muda sahihi Pascal ku-step down.!

Kwahiyo alivyomuuliza maswali Magulufuli alijijengea heshima ila alivyomuuliza maswali lisu kajivunjia heshima?
🀣🀣 emu weka hapa swali aliloulizwa jpm na swali aliloulizwa lissu.
TUjadili hoja yako mkuu
 
Thinking great way.. A very good analysis
 
Heshima na tamaa haviishi nyumba moja Mwl Nyerere from Mzee Makamba sijui ntaka kusema nini
 
Ila ndugu unakera sana. Umelewa milk πŸ₯›. Jasho la Watanganyika
One wako. Ukiendelea nitafunga nimuombe. Mwenyezi Mungu aondoke na wewe
Nitakufa tu wakati wangu ukifika lakini siyo kwa mapenzi ya wewe pimbi
 
Masilahi ya Taifa gani anapigania? Wakati watoto wake na mkewe wako Belgium na wamepata uraia wa huko.

Naye Lissu mkialianziasha anakimbilia ubalozi wowote kisha wanampakia kwenye ndege kwenda kwa shoga yake Amsterdam
Ujinga ulioambatana na utoto ndio unaotuletea hapa. Kuwa na akili japo kiduchu basi
 
Maya
Mkuu, katika ile press, Mh. Lisu alikuwa kama vile ana toa darasa kwa waalikwa kuhusu " somo la Haki za Raia wa Tanzania kwa Mujibu wa Katiba ya yao"
Mayalla ana akili sana. Ni kwamba anasapoti sana movement ya Lissu. Ndio maana Pascal Mayala akamuliza Tundu Lissu maswali mepesi sana ambayo hata mwanasiasa mchanga angeyajibu kwa ufanisi mkubwa. Nia ya Pascal ni Lissu awe juu, mama abwagwe
 
He is totally tired.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…