Maswali fikirishi kuhusu Ubongo wa mwanadamu

Maswali fikirishi kuhusu Ubongo wa mwanadamu

?
(b)Kama hakuna kompyuta ya namna hiyo,hatuoni kwamba ni moja ya ushahidi kwamba hakuna kompyuta wala chombo chochote chenye uwezo zaidi au kufanana na ubongo?
Karibuni wanasayansi!


Nimewaza kuwa unawaza creation by an intelligent being. Watu hutumia hoja za namna hii kuthibitisha intelligent design. "unaona, binadamu hajaweza kufanya hivi, computer haijaweza kufanya hivi".

Sibadilishi mwelekeo wa thread yako. Nasema tu watu husahau maendeleo yaliyotokea kwa miaka 80 tu iliyopita. Imagine miaka 80 ijayo!

Me ndo leo nasikia E-nose. Leo Computer zinasense touch, harufu, sauti, joto, picha. Ingawa NullPointer kaelezea kuwa vingine bado sio efficient.

Kuna gari limetengenezwa huko unaweza kuliuliza directions kama "show me the nearest coffee shop". Sio "take me to XYZ coffee shop" tena.

What image comes into your head? These machines are slowly coming to life ooh...
 
Last edited:
Biology niliisoma mpaka form 4, hata zile process tano za co ordination nimezisahau, ningekusaidia sana
 
.

Ukiwa unaiangalia computer, usifikirie ina akili kama binadamu, yenyewe ni switch tu ambazo ziko either on au off, kutokana na hizo switch sisi ndio tunafanya kitu kinaitwa "abstraction" tunacommand kua ukiona kitu flani fanya kitu flani, haiwezi kwenda tofauti na tulivyosema, haina akili ya kujiamulia.

.

Sijui Kwanini hii inaonekana ni weakness. Imagine if people always behaved logically and not emotionally. Maybe this is more of an ethical question.

Ukiprogram robot ishoot mtu atakayesema tusi fulani, don't you see watukanaji wote wataisha? Watu watajizuia kutukana wakikasirishwa. Watajifunza jinsi ya Ku deal na matatizo vizuri. Some form of enlightenment. Manake tunavyojifanya tunamuelewa mtu akitukana akikasirika, tunaendekeza ulipukaji wa hasira. Oh well.....

The way a computer works is not a weakness at all on my part....
 
Last edited:
Mkuu ubongo wa binadamu unasolve hesabu mara Gogol ya ujuavyo wewe siyo kweli ety ubongo wako unazidiwa na komputer katika hesabu.chukulia mfano umeona mkia wa paka wako within millisecond unakuwa umeshagundua kuwa ule mkia ni wa paka wako..ile ni calculation ya hali ya juu imetumika pale katika speed ambayo ni mara trillion na hiyo computer.ni kwa taarifa tu kaka angu computer ambayo inaaminika ndo ina uwezo wa hali ya juu kabisa inazidiwa uwezo na ubongo wa inzi mara 10000

Mkuu kuna uwezekano mkubwa binadamu akatengeneza kifaa kinachomzidi uwezo wa kufikiri na kutenda

Tofauti ya compyuta na binadamu kwenye kujifunza na kutenda ni kwamba

Binadamu anajifunza kwa experience na kwa kutumia mifano lakini
Compyuta zinafuata formula inaitwa algorithim/zinakua programmed,yaani inaandikwa algorithim/formula ambayo kupitia hiyo au compyuta ndo inafanya kazi.

Lakini sasa changamoto inakuja siku hizi kuna compyuta zinatengenezwa mfumo.wa uelewa kama ule ule unotumiwa na ubongo wa binadamu zina uwezo wa kujifunza kwa kutumia experience na kujifunza kwa mifano zinaitwa artificial intelligent systems, hizi systems zinaelewa kama wewe unavyoelewa zinatunza kumbukumbu kama wewe na zina-akili kama wewe japo ni machine zina knowledge na wisdom katika kufanya maamuzi

Changamoto inabaki moja tu kwamba binadamu ndo.alozitengezeneza
 
Mkuu kuna uwezekano mkubwa binadamu akatengeneza kifaa kinachomzidi uwezo wa kufikiri na kutenda

Tofauti ya compyuta na binadamu kwenye kujifunza na kutenda ni kwamba

Binadamu anajifunza kwa experience na kwa kutumia mifano lakini
Compyuta zinafuata formula inaitwa algorithim/zinakua programmed,yaani inaandikwa algorithim/formula ambayo kupitia hiyo au compyuta ndo inafanya kazi.

Lakini sasa changamoto inakuja siku hizi kuna compyuta zinatengenezwa mfumo.wa uelewa kama ule ule unotumiwa na ubongo wa binadamu zina uwezo wa kujifunza kwa kutumia experience na kujifunza kwa mifano zinaitwa artificial intelligent systems, hizi systems zinaelewa kama wewe unavyoelewa zinatunza kumbukumbu kama wewe na zina-akili kama wewe japo ni machine zina knowledge na wisdom katika kufanya maamuzi

Changamoto inabaki moja tu kwamba binadamu ndo.alozitengezeneza
Computer scientists wametisha!!
One day there will be a computer with common sense ya mtu mzima, eti @NullPointer?
 
Hilo la 3 b. Pigia mstari hakuna computer wala kifaa chochote chenye akili kuliko binadamu Lakini pia hata kwa viumbe vinavyotambulika ulimwenguni binadamu anaongoza kwa akili
Mkuu nasikia kule marekani kuna viumbe wanaitwa ALLIENS wana akili zaidi ya binaadamu na ndio wanaowafundisha wamarekani technology mfano .madawa,virus vya aina zote,simu,ndege za aina zote,nk na wao wanabadilishana kupewa eneo la kujenga underground cities amerika na dunia nzima wanaichimba chini kwa chini na wanatengeneza miji ya kwao huko au ni theory tu hizo sio ukweli ?
 
kaka hilo swali lako ni pana sana na kiukwli bila kufaham anatomy na physiology ya binadamu ni kazi sana kuelezewa ukaelewa
 
Muda mwingine inabidi ukiuliza maswali kama haya utaje na umri wako na kiji background ili tujue namna ya kukusaidia ili tuwasaudie wengine walio kama wewe..

Swali lako ni zuri... Ingawa linahitaji elimu ili kulijua na haiwezi kujibiwa kwa siku moja ukawa fit kama ulivyo uliza... Ukizingatia umeliza interm of comparison....

Maana yake tunashindwa tuanze kwenye brain anatomy and physiology au tuanze kwenye hizo organs anatomy na physiology zake..

Maana mechanism ya hearing, ya scents, seeings, etc na hio ya interpretation ya brains ndo inakusumbua...

Lakini pia ili tukujibu hayo inabidi tuanze kukuelezea mtu anavyo acquires hizo senses tangu akiwa kitoto kichanga kuanzia kuona kusikia mpaka kuongea.. Then turudi kwenye kukueleza kazi za ubungo kutokana na party zake pamoja na maeneo yanayohusika na lugha , kulala kuona na kusikia nk nk... Nimengi mno inahitaji muda...

Kama uko interest na hizo mambo na umri umepita mfanye mwanao awe doctor atakueleza vizuri... Zifanye hizo kuwa story zenu utapata mwanga na majibu yote utayapata
 
Computer scientists wametisha!!
One day there will be a computer with common sense ya mtu mzima, eti @NullPointer?
Hapa kuna mambo mawili.
Moja kwa ukuaji wa teknolojia ni dhahiri kunaweza kuwa na mashine zenye ufanisi mkubwa sana mbeleni kiasi cha kutishia hata kumtawala binadamu

Mbili mashine hiyo itatengenezwa na watu, binadamu alikuwepo karne na karne dna yake ni kongwe. Binadamu ana hisia na kipaji tofauti na mashine na mwisho wa siku binadamu atakua juu ya mashine.


Wakati sayansi inazidi kuboresha mashine, sayansi hiyo hiyo imeshindwa kujibu maswali mengi juu ya binadamu, sisi ni viumbe wa ajabu sana.
 
Hapa kuna mambo mawili.
Moja kwa ukuaji wa teknolojia ni dhahiri kunaweza kuwa na mashine zenye ufanisi mkubwa sana mbeleni kiasi cha kutishia hata kumtawala binadamu

Mbili mashine hiyo itatengenezwa na watu, binadamu alikuwepo karne na karne dna yake ni kongwe. Binadamu ana hisia na kipaji tofauti na mashine na mwisho wa siku binadamu atakua juu ya mashine.


Wakati sayansi inazidi kuboresha mashine, sayansi hiyo hiyo imeshindwa kujibu maswali mengi juu ya binadamu, sisi ni viumbe wa ajabu sana.
Mbona binadamu kaweza kutengeneza mjengo mkubwa ukamuua. Itakuja kutokea hizo computer zikageuka wanadamu, of course labda uwezo wa kuzizima utakuwepo, it will be a matter of timing.

Haha zile apocalypse tunazoona kwenye movie. Exciting!!

Na usiseme science imeshindwa kujibu. Sema bado hazijajibu. Tutajua tu.
 
Mbona binadamu kaweza kutengeneza mjengo mkubwa ukamuua. Itakuja kutokea hizo computer zikageuka wanadamu, of course labda uwezo wa kuzizima utakuwepo, it will be a matter of timing.

Haha zile apocalypse tunazoona kwenye movie. Exciting!!

Na usiseme science imeshindwa kujibu. Sema bado hazijajibu. Tutajua tu.
Kuna kitu kinaitwa 'NP Complete problems'
Wanasayansi wanaamini hakuna swali lisilo na jibu bali kuna maswali haijulikani majibu yake yatapatikana baada ya muda gani.

Narudi pale pale, toka kugunduliwa moto, matumizi ya chumvi, umeme na vingine vingi binadamu bado anachunguzwa.
 
Habari wana jf
Ni njia gani yakuufanya ubongo ufikiri tofauti na uwe haraka katika kufanya maamuzi mbalimbali
 
Nashukuru sana ndugu yangu kwa ufafanuzi wako makini na mahiri,Nimejifunza mengi tu hapo.Ila kuna mahali naomba unipe ufafanuzi zaidi.Umesema kwamba kompyuta inafanya kazi kuliko mwanadamu kwa sababu ukiielekeza kitu inafanya kama inavyotakiwa;sasa huoni tayari hayo ni mapungufu makubwa kwamba ni mpaka ielekezwe na wakati mwingine uiwashe kama imezimwa ilhali ubongo wa mwanadamu unafanya kazi pasina kuelekezwa?
Labda nikusaidie kidogo.

Tukija katika process ya mtu kuitwa hadi kuitika huchukua muda mfupi. Sio hilo tu, kuna matendo mengi sana, kama jicho kujifumba haraka ipitapo kitu karibu yake, au kuachia kitu cha moto haraka, HAYA YANAKUWAJE??

Ubongo na mwili mzima unafanya kazi kwa kushirikiana mifumo ya fahamu, yaani viungo tambuzi, vinatambua mabidiliko ya nje na ndani ya mwili.
Hiwe ni joto, baridi, presha , mguso, harufu au hata badiliko la sauti.

Ubongo kiujumla huratibu taarifa zote na miitikio kwa kodinesheni ( yaani kufanya mwili mzima kuwa kama kiungo kimoja )

Kiungo husika , mfano sikio likigundua kuna badiliko la sauti, au kuna saut imesikika, baasi huandaaa taarifa haraka , ambayo husafiri kama umeme kupitia neva. Na hii upokelewa na sehemu maalumu katika ubongo, nao hutoa matekeo kwa njia ya meseji umeme kwenda sehemu husika kwa uharaka zaid.

Jibu lako, ni taarifa hizi husambazwa kwa njia ya umeme na mwitikio hupokelewa kwa njia ya umeme, kupitia neva za fahamu (Neva ni seli maalumu zinazo safirisha taarifa kama umeme ).


_______ ,_________________________________

Kompyuta, imegeza vitu vingi kama utendaji wa ubongo lakini imekosa maaumuzi ( Ndio maana huitwa DUMB MACHINE )

Ubongo ni hai , una huwezo wa kujipooza, kuji repair, na kujiweka sawa, pia kuendana na mazingira ( ndio maana hata unaweza kaa macho siku mbili bila kulala, lakini huwezi huitwa AMINA wakati wew ni James ukaitika )
Kompyuta haiwezi hivi, lazima iongozwe katika kazi zake na hata kujilinda piaa.

Kuhusu harufu kuna kitu kinaitwa conditioned reflex action ( matendo au mwitokeo wa mazoea )
Yaani ubongo huweza kuhusianisha harufi,sauti, kivuli, maumbile na kitu fulani kwa mazoea. Lakini sio kila muda huwa sahihi
Mfano unaweza ona kivuli kikubwa ukapata hisia na kujua anaye kuja ni bonge la mtu, kumbe ni kajitu kadogo tu.

_ , , _______________________////_/

Ubongo unauwezo wa vitu vingi sana, ila hatu tumiiii ipasavyo (tunafanya UNDER UTILISATION) hapa ndio unaambiwa binadamu pekeee aliyeweza tumia ubongo wake kwa 10% tu ni NEWTON, Hasa fatilia aliyo yafanya huyu mtu halafu unaambiwa hiyo ni 10%.


Ubongo una mengi sana.
 
Labda nikusaidie kidogo.

Tukija katika process ya mtu kuitwa hadi kuitika huchukua muda mfupi. Sio hilo tu, kuna matendo mengi sana, kama jicho kujifumba haraka ipitapo kitu karibu yake, au kuachia kitu cha moto haraka, HAYA YANAKUWAJE??

Ubongo na mwili mzima unafanya kazi kwa kushirikiana mifumo ya fahamu, yaani viungo tambuzi, vinatambua mabidiliko ya nje na ndani ya mwili.
Hiwe ni joto, baridi, presha , mguso, harufu au hata badiliko la sauti.

Ubongo kiujumla huratibu taarifa zote na miitikio kwa kodinesheni ( yaani kufanya mwili mzima kuwa kama kiungo kimoja )

Kiungo husika , mfano sikio likigundua kuna badiliko la sauti, au kuna saut imesikika, baasi huandaaa taarifa haraka , ambayo husafiri kama umeme kupitia neva. Na hii upokelewa na sehemu maalumu katika ubongo, nao hutoa matekeo kwa njia ya meseji umeme kwenda sehemu husika kwa uharaka zaid.

Jibu lako, ni taarifa hizi husambazwa kwa njia ya umeme na mwitikio hupokelewa kwa njia ya umeme, kupitia neva za fahamu (Neva ni seli maalumu zinazo safirisha taarifa kama umeme ).


_______ ,_________________________________

Kompyuta, imegeza vitu vingi kama utendaji wa ubongo lakini imekosa maaumuzi ( Ndio maana huitwa DUMB MACHINE )

Ubongo ni hai , una huwezo wa kujipooza, kuji repair, na kujiweka sawa, pia kuendana na mazingira ( ndio maana hata unaweza kaa macho siku mbili bila kulala, lakini huwezi huitwa AMINA wakati wew ni James ukaitika )
Kompyuta haiwezi hivi, lazima iongozwe katika kazi zake na hata kujilinda piaa.

Kuhusu harufu kuna kitu kinaitwa conditioned reflex action ( matendo au mwitokeo wa mazoea )
Yaani ubongo huweza kuhusianisha harufi,sauti, kivuli, maumbile na kitu fulani kwa mazoea. Lakini sio kila muda huwa sahihi
Mfano unaweza ona kivuli kikubwa ukapata hisia na kujua anaye kuja ni bonge la mtu, kumbe ni kajitu kadogo tu.

_ , , _______________________////_/

Ubongo unauwezo wa vitu vingi sana, ila hatu tumiiii ipasavyo (tunafanya UNDER UTILISATION) hapa ndio unaambiwa binadamu pekeee aliyeweza tumia ubongo wake kwa 10% tu ni NEWTON, Hasa fatilia aliyo yafanya huyu mtu halafu unaambiwa hiyo ni 10%.


Ubongo una mengi sana.
Daaah hatari sana,kwa wanao amini mungu, kuna kitabu kimoja cha dini kasema uumbaji wa mwanadamu ni kitu kidogo zaidi kuliko uumbaji wa ulimwengu ( universe) yani sayari, nyota, galaxies nk lakini binadamu wengi hawajui hilo, ila hata mimi huwa nikianza kufikiria jinsi mbingu zilivyokaa huwa nahisi kuchanganyikiwa

Unaambiwa nyota ni nyingi zaidi kuliko mchanga wa beach za baharini duniani kote

Siku moja kwenye Venus ni ndefu kuliko mwaka kwenye Venus

Nyota zote tunaziona angani ni historian yani tunaangalia miaka mingi nyuma kwa kuwa mwanga ukichukua muda mrefu kutufikia

Mtoa mada ukimaliza kusoma kuhusu ubongo jaribu pia kusoma kuhusu anga utastaajabu sana
 
hivi itakuwaje kama tutatengeneza mashine kama vile drone,inajiendesha yenyewe labda kwa kutumia solar ina maana kutakuwa hakuna haja ya yenyewe kutua chini

Baada ya kuitengeneza tuka tuka iprogram kupitia facial recognition softwares kuwa ikiona sura ya binadamu yeyote yule ipige na kuua iwe kwa kutumia radiation au missile sawa tu, sasa hapo mashine si zitatuangamiza?
 
Back
Top Bottom