Ahaa sawa, ni jambo jemaNimeanza kula tizi mkuu
Ndio, ingawa hilo ni tundu la sindano upande wanguUliziomba na wewe?
Kwa nin mkuu?
Nishaanza kukisahili mwenyewe najiona kisoda.Kwa nin mkuu?
Mchumi II nahitaji pia maswali wadau yanayoulizwa oral au written for area of concentration...Hv hzo Ajira za LGA na MDA wanaweza kuita Usaili kwa intake/batch moja maana zile kazi nyingi(yaan simaanishi nyingi kwa idadi, Ila kada ni tofauti tofauti) so Kuna possibility ya mkeka wa Usaili kuwa na watu zaidi ya 50,000
Waliowahi kupanda kizimbani ngoja waje kutupa muongozoHv hzo Ajira za LGA na MDA wanaweza kuita Usaili kwa intake/batch moja maana zile kazi nyingi(yaan simaanishi nyingi kwa idadi, Ila kada ni tofauti tofauti) so Kuna possibility ya mkeka wa Usaili kuwa na watu zaidi ya 50,000
Jamii forum wadau wachache sana wenye moyo wakusema Nini hutoka hasa ukikuta mtu naye kaomba kazi uliyoomba na akawa na experience ya interview huwa wanakausha sijui ili wewe ukafeli yeye apite au mwingine kama alifeli bas hataki wewe ukatoboeWakuu,temeni madini basi
Kabisa yaniJamii forum wadau wachache sana wenye moyo wakusema Nini hutoka hasa ukikuta mtu naye kaomba kazi uliyoomba na akawa na experience ya interview huwa wanakausha sijui ili wewe ukafeli yeye apite au mwingine kama alifeli bas hataki wewe ukatoboe
Noma kikubwa kuomba mungu uwe selected tu ukapate uzoefu mwenyewe huko ili next time unajua nn hutoka mfano kwa mie Mambo ya IT now najua ni mwendo wa multiple choice questions tu huko so kazi kibao wanatoa multiple choice questions so nikupitia Kila kitu tuKabisa yani