NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Sio 50% tena jamani.Kingine mkuu make sure mtihani uwe mgumu au simple pambana ufikishe 55 mkuu ndo iwe Kama pass mark Yako chini ya hapo ni majanga Kama mpo wengi kwenye hiyo kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio 50% tena jamani.Kingine mkuu make sure mtihani uwe mgumu au simple pambana ufikishe 55 mkuu ndo iwe Kama pass mark Yako chini ya hapo ni majanga Kama mpo wengi kwenye hiyo kazi
Shukran mkuu,hii experience yako mwajiri alikua nani?Make sure upitie overview concept of auditing.
Vitu kama types, forensic audit, frauds,materiality,procedures za auditing usisahau ku cover.
Pia na assurance services mkuu.
Finally,I wish you all the best comrade [emoji4].
Mkuu Kuna watu Wana 50 na wanaliwa kichwa Tena usiombe uwe kwenye kada yenye practical Kuna watu Wana achwa Wana 80 kwenda oral mkuuSio 50% tena jamani.
Apambanie kubwa ili changamoto zikitokea ashuke hadi hiyo 50%Sio 50% tena jamani.
Kweli kabisa mkuu maana nimeona TSN juzi wamechukua watu wenye 75%+ kwenda kwenye oral.Apambanie kubwa ili changamoto zikitokea ashuke hadi hiyo 50%
Mkuu tafuta B3 na C2 za NBAA.Wekeni hayo maswali basi
Noma sana.Kweli kabisa mkuu maana nimeona TSN juzi wamechukua watu wenye 75%+ kwenda kwenye oral.
Kikubwa kujiandaa mapema mkuu.Noma sana.
Mwenyewe kuna nafasi nimeapply huko bado sijaona shortlisted ila hizi alama za juu zimeanza kuniogopesha[emoji3][emoji3][emoji3]
Ahsante sana mkuu, ngoja niendelee kuomba miujiza ya shortlist kwanza, msuli wa siku ya pepa huwaga akili inakuwa active ingawa kuna risk kubwa ya kuvepesha madesaKikubwa kujiandaa mapema mkuu.
Piga msuli wa kutosha.
Ila naona maswali ya saili Kama nne hivi zilizopita yame base kwenye kada husika,ko jikite kidogo kwenye kada yako though utumishi hawatabiriki.
Juu ya yote kila la heri boss.