Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Mambo mengine tutumie akili. Titanic yenyewe ilikua kubwa kuliko hata hiyo safina. Lakini pamoja na ukubwa wote wa titanic bado haiwezi kubeba pair za wanyama wote.
 
Mkuu hizi zaweza kuwa stori za kufikirisha tu.
Hivi kwa mfano ike historia ya Mussa na wana wa Usraeli kuwatoa utumwani misri!
Baada ya kukatisha bahari ya shamu kuelekea nchi ya ahadi kwa muda wa miaka 40! kijiografia kama Dar hadi Chalinze. Inakujaje hii?
Mimi nadhani hizi ni hadithi za kiroho kwa ajili ya kusapotia ama kuelimishia matendo mengine.
Ndiyo maana kila baada ya "somo", huwa kuna kutafasiri hadithi iliyosomwa. Ingekuwa siyo hadithi, ni historia, pasingekuwa na haja ya kufasiri baada ya kusoma somo.
Hizo ni story tu zilizoandikwa na watu. Mungu hawezi kuleta vichekesho kama hivyo.
 
Hehehe hizo stori hua saingine zinanichekesha sana. Uongo mtupu. YESU alituhusia sana kuhusu Kalamu za waandishi. Na kalamu za waandishi ndio zinaleta ujinga kama huu. Sasa hebu angalia mfano wa stori kama ya mnara wa babeli. Eti mungu anaogopa watu wanajenga mnara wa kumfikia yeye mbinguni? Hii kweli si ujinga mtupu?
 
Kama ni mafuriko yalikuwa hiyo mito unataka kusema Mungu ni mwongo maana mwisho wa hiyo hadithi kuna ahadi imetolewa kuwa hakutakuja kuwa na mafuriko kama hayo tena duniani. Sasa ni mara ngapi mito inafurika na watu wanakufa hapa duniani? Ina maana Mungu alidanganya?!
Uelewa wako ni mdogo sana aliahidi hataiangamiza tena dunia kwa gharika na sio kufurika kwa mito na mabwawa unayoiona wew. Mafuriko yanatokea jangwan hapo mapipa watu wanakula bata. Hapo ndo unasema kaiangamiza dunia? Omba mungu akuongezee ufahamu kama unaamin yupo.
 
There's a BBC archeological investigative documentary CD on this subject.It's very informative the vendors at Mwenge have it,buy if will answer most of your queries
 
Back
Top Bottom