Habari yakoUnadhani muoshwa huoshwa
DuhSasa hiv bebe zetu wanatumia hedhi cup hizo taulo awazitaki
Teknolojia inakuwa mkuu😂😂 alinionyesha jinsi kilivyo na kinavyowekwa hiv viumbe tuviheshimu
Wanachomeka sana vitu huko chini duhTeknolojia inakuwa mkuu😂😂 alinionyesha jinsi kilivyo na kinavyowekwa hiv viumbe tuviheshimu
Wanavijua wenyewe. Ila binafsi mama mtu alivyonionyesha na kilivyo at least kuliko hizi tauloWanachomeka sana vitu huko chini duh
Huyu atakuawa hajapewa pedi zake za misimu miwili na ndio maana tunashindwa kumuelewa ana makasiriko.Hebu fafanua vizur boss. Sijaelewa wanafanyaje
kinakuwaje hcho mkuuWanavijua wenyewe. Ila binafsi mama mtu alivyonionyesha na kilivyo at least kuliko hizi taulo
kinakuwaje hcho mkuu
kinakuwaje hcho mkuu
Sasa hiv bebe zetu wanatumia hedhi cup hizo taulo awazitaki
niko nae hapa hakijui na sijawahi kumuon akikitumiaMUULIZE mchumba wako au mke kama unaye, wanavijua kinakuwa kama kikapu halafu KWA chini kina ncha jinsi walivyo ki craft kinafiti kabisa hata mwanamke akiwa anacheza cheza wewe MUULIZE bebe pembeni hapo lazima awe anakijua
Hiyo ni tech mpya?Teknolojia inakuwa mkuu😂😂 alinionyesha jinsi kilivyo na kinavyowekwa hiv viumbe tuviheshimu
Sijajua ILA wanawake wengi wanatumia haswa Dar vinakuwa design. Hiyo anavijua huyo anakuzingua tuniko nae hapa hakijui na sijawahi kumuon akikitumia
Najua basi huenda ikawa ya Mda mimi binafsi nimeona KWA mtu wangu sijui sasa kama ya Mda au mpyaHiyo ni tech mpya?