Kwanini wanagawa mara moja tu kwenye shule husika na hawarudi tena kuwapa mwenzi unaofuata?Kwa uelewa wangu mdogo naamini wanafanya hivyo kwa sababu kama tatu hivi,
1. Kutoa mrejesho kwa jamii / Taasisi zilizotoa pesa kufadhili zoezi hili.
2. Kuongeza uelewa wa jamii kuhusu tatizo lililopo hasa kwa wanafunzi walio katika mazingira magumu.
3. Kuvutia zaidi taasisi / jamii kuchangia zaidi ili taulo hizi zifikie walengwa wengi zaidi.
Wanawake wengi???Sijajua ILA wanawake wengi wanatumia haswa Dar vinakuwa design. Hiyo anavijua huyo anakuzingua tu
Kitu kama hicho, ila wanawake wa ofisin, chuo wanavitumia sanaTatizo naona kama hazifahamiki sana kwa jamii, ila ni nzuri sana sana na hasa kijijini itawasaidia sana.
Nenda maofisini usikie stori za wanawake, au wanachuoWanawake wengi???
Ulishafanya tafiti au ni kwa demu wako tu. Mi nipo dar na sijawahi kukikna wala kusikia
PoaHabari yako
Siku zote alieshiba hawezi kujua shida anzopitia mwenye njaaNi uzembe wa hizo familia, tuwe wakweli kwenye hili
Mkuu unahitaji elimu zaidi kugusu haya mambo.Kwanini wanagawa mara moja tu kwenye shule husika na hawarudi tena kuwapa mwenzi unaofuata?
Dah... ubarikiwe sana hata jana mimi nliona mahali yule dad wa LAVY PAD kule njombe kwenye shule moja eti ana Gawa bure huku akiwa amezungukwa na wana habari nlijiuliza maswali mengi sana .... ivi nikweli sisi wazazi tumeshindwa kuwanunulia wane tu pedi za 3000 kwa mwezi au kuna jambo nyuma ya hizi dramaJe, wanaogawa Pedi za Kike lengo lao huwa ni lipi?
Je, huwarudia waliowapa na kuwapa tena?
Je, ni kweli wazazi wanashindwa nunua pedi za 1500-3000 mara moja kwa mwezi?
Je, serikali ina mpango gani katika kuhusishwa kwenye huo ugawaji?
Je, wahusika sio kwamba wanataka watumia wasichana kupata pesa kutoka kwa wafadhiri?
Kwanini wawarekodi wanaopewa msaada?
Kwanini wanalia kuwa Kodi iondolewe wakati wao wanakuja ziuza kwa bei zile zile?
Je, tujiandaeje kama taifa ili tuweze ondoa hilo tatizo?
Kuna wakati aliondolewa kodi ili zishuke bei, badala yake akauza bei ile ile. Serikali ikaamua rudisha kodi akalalamika.Dah... ubarikiwe sana hata jana mimi nliona mahali yule dad wa LAVY PAD kule njombe kwenye shule moja eti ana Gawande bure huku akiwa amezungukwa na wana habari nlijiuliza maswali mengi sana .... ivi nikweli sisi wazazi tumeshindwa kuwanunuloa wanetu pedi za 3000 kwa mwezi au kuja jambo nyuma ya hizi drama
I miss you