Maswali kuhusu usajili wa Lameck Lawi

Maswali kuhusu usajili wa Lameck Lawi

Inafikirisha mkuu
Umeuliza maswali mazuri.

Binafsi naona inashangaza sana kuona mchezaji akisajiliwa kwa maneno tu kupitia vyombo vya habari. Tena kwa timu kama Simba! Yaani tusimuone akiwa amevaa jezi ya timu yao, na pia akionekana kusaini mkataba!!

Na kwa nini wenye mchezaji wao wapinge kuhusu huo usajili? Nini kimejificha nyuma ya pazia?
 
Umeuliza maswali mazuri.

Binafsi naona inashangaza sana kuona mchezaji akisajiliwa kwa maneno tu kupitia vyombo vya habari. Tena kwa timu kama Simba! Yaani tusimuone akiwa amevaa jezi ya timu yao, na pia akionekana kusaini mkataba!!

Na kwa nini wenye mchezaji wao wapinge kuhusu huo usajili? Nini kimejificha nyuma ya pazia?
You tube wanapiga Hela sana wanatumia akili mnembo
 
Acha upuuzi wako bhana!.... mtu umfunge 6 alafu useme ulimsaidia asishuke daraja?

Eti mechi ilichezwa kimkakati, mkakati gani?
Kati yangu na wewe nani ni mpuuzi wakati hata matokeo ya mechi yenyewe hauyajui
 
Coastal hawawezi kuitilia ngumu Simba. Timu yenyewe msimu uliopita wa 2022-23 ilikuwa ishuke daraja kama siyo kwa msaada wa Simba kwenye ile game ya mwisho.

Kuhusu kutovaa jezi, inawezekana ni ishu za jezi mpya hazijatoka na kutotaka kumvalisha jezi za msimu ulioisha.

Ninachoona ni yale yale ya Kibu. Kuna watu ndani ya klabu si watu wema kwa maendeleo ya timu, wanaweka mazingira ya wachezaji kudai pesa nyingi zaidi ya wanazostahili ama kukomoa mtu/watu au kupiga pesa. Hili jambo linanichukiza sana.
Coastal wameshawi kushushwa daraja na simba miaka ya nyuma coastal walikuwa wanahitaji sare tu mkwakwani mmoja wa viongozi alikua marco massanja sijui umri wako na mpira wa bongo!
 
Coastal hawawezi kuitilia ngumu Simba. Timu yenyewe msimu uliopita wa 2022-23 ilikuwa ishuke daraja kama siyo kwa msaada wa Simba kwenye ile game ya mwisho..

Naomba nifahamishe matokeo yalikuwaje kwenye hiyo mechi ya mwisho? Coastal union iliambulia kipi cha msaada kutoka Simba?
 
Coastal hawawezi kuitilia ngumu Simba. Timu yenyewe msimu uliopita wa 2022-23 ilikuwa ishuke daraja kama siyo kwa msaada wa Simba kwenye ile game ya mwisho.

Kuhusu kutovaa jezi, inawezekana ni ishu za jezi mpya hazijatoka na kutotaka kumvalisha jezi za msimu ulioisha.

Ninachoona ni yale yale ya Kibu. Kuna watu ndani ya klabu si watu wema kwa maendeleo ya timu, wanaweka mazingira ya wachezaji kudai pesa nyingi zaidi ya wanazostahili ama kukomoa mtu/watu au kupiga pesa. Hili jambo linanichukiza sana.
We ni tahira uliyekubuhuuu asee!!, coastal wakimzawadia Saido Gori zaidi ya 3.... Afu unakuja una upuuzi kama ... Shenzi Waheed.
 
Maswali muhimu ya kujiuliza juu ya usajili wa LAMECK LAWI.

1). Kwanini SIMBA watambulishe picha za wanyama badala ya picha ya mchezaji husika.

2). Kwanini SIMBA wamtambulishe LAWI katikati ya SENKYU zao hali ya kuwa inaonekana bado hawajamaliza kutoa SENKYU Klabuni mwao. SIMBA walikuwa na haraka gani au kuna kitu wamekihisi juu ya LAWI?.

3). Kwanini SIMBA kwenye hili tangazo lao wameweka majina mawili tu, LAMECK LAWI, na sio majina matatu, LAMECK ELIAS LAWI?.

Nini kipo nyuma ya pazia juu ya usajili wa LAMECK LAWI?.

Janja janja hii Sasa hapa ndo MWAMED Kasema anasajiri mwenyewe mwaka huu.

Kwanini Wanasimba tunachezewa hivi? Ndo kwanza usajiri wa Kwanza tutaona na kusikia mengi.
Glazerbhai Mwamedi kanjibai janja2 sana.
 
Naomba nifahamishe matokeo yalikuwaje kwenye hiyo mechi ya mwisho? Coastal union iliambulia kipi cha msaada kutoka Simba?
Cha kuchekesha nyie mashabiki wa Yanga ndiyo mlikuwa mmelishikiria hili jambo kuwa mechi ilipangwa ili Saido ashinde kiatu. Kweli kila jambo lipe muda tu.
 
Cha kuchekesha nyie mashabiki wa Yanga ndiyo mlikuwa mmelishikiria hili jambo kuwa mechi ilipangwa ili Saido ashinde kiatu. Kweli kila jambo lipe muda tu.
Hayo ndio matokeo? Lete hiyo mechi unayozungumzia matokeo iliisha kwa ngapi ngapi?
 
Hayo ndio matokeo? Lete hiyo mechi unayozungumzia matokeo iliisha kwa ngapi ngapi?
Na wewe ni mmojawapo kama hao wenzio wanaosema Coastal alifungwa 6?

Kwa hiyo tunakubaliana ile mechi haikupangwa na kuwa Saido alishea kihalali kiatu?
 
Back
Top Bottom