Maswali kuhusu usajili wa Lameck Lawi

Inafikirisha mkuu
 
You tube wanapiga Hela sana wanatumia akili mnembo
 
Acha upuuzi wako bhana!.... mtu umfunge 6 alafu useme ulimsaidia asishuke daraja?

Eti mechi ilichezwa kimkakati, mkakati gani?
Kati yangu na wewe nani ni mpuuzi wakati hata matokeo ya mechi yenyewe hauyajui
 
Coastal wameshawi kushushwa daraja na simba miaka ya nyuma coastal walikuwa wanahitaji sare tu mkwakwani mmoja wa viongozi alikua marco massanja sijui umri wako na mpira wa bongo!
 
Coastal hawawezi kuitilia ngumu Simba. Timu yenyewe msimu uliopita wa 2022-23 ilikuwa ishuke daraja kama siyo kwa msaada wa Simba kwenye ile game ya mwisho..

Naomba nifahamishe matokeo yalikuwaje kwenye hiyo mechi ya mwisho? Coastal union iliambulia kipi cha msaada kutoka Simba?
 
We ni tahira uliyekubuhuuu asee!!, coastal wakimzawadia Saido Gori zaidi ya 3.... Afu unakuja una upuuzi kama ... Shenzi Waheed.
 
Glazerbhai Mwamedi kanjibai janja2 sana.
 
Naomba nifahamishe matokeo yalikuwaje kwenye hiyo mechi ya mwisho? Coastal union iliambulia kipi cha msaada kutoka Simba?
Cha kuchekesha nyie mashabiki wa Yanga ndiyo mlikuwa mmelishikiria hili jambo kuwa mechi ilipangwa ili Saido ashinde kiatu. Kweli kila jambo lipe muda tu.
 
Cha kuchekesha nyie mashabiki wa Yanga ndiyo mlikuwa mmelishikiria hili jambo kuwa mechi ilipangwa ili Saido ashinde kiatu. Kweli kila jambo lipe muda tu.
Hayo ndio matokeo? Lete hiyo mechi unayozungumzia matokeo iliisha kwa ngapi ngapi?
 
Hayo ndio matokeo? Lete hiyo mechi unayozungumzia matokeo iliisha kwa ngapi ngapi?
Na wewe ni mmojawapo kama hao wenzio wanaosema Coastal alifungwa 6?

Kwa hiyo tunakubaliana ile mechi haikupangwa na kuwa Saido alishea kihalali kiatu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…