Afrikasana
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 320
- 288
- Thread starter
-
- #21
Wataongea uharo hata wakipewa hiyo chance,wakaetu kimya na roho zao mbaya wakisubiri utenguziEspecially continues walio pata kwenye batch ya mwisho hamna alie pewa pesa zake.sasa nashangaa kutoka mwezi wa 11 hadi leo Office kama iyo ina shindwa vipi kuwahisha mambo ..hili ni jipu kweli
Hivi hamna mfanyakazi wa bodi humu ajibu
Kweli mtumbuaji hayupoDawa ya majipu ni kuyatumbua tu, hakuna namna. Tatizo sasa hakuna mtumbuaji na anayeweza kufanya hivyo anayaangalia tu. Ile wetu usaha ukianza kuvuja!
Kweli mtumbuaji hayupoDawa ya majipu ni kuyatumbua tu, hakuna namna. Tatizo sasa hakuna mtumbuaji na anayeweza kufanya hivyo anayaangalia tu. Ile wetu usaha ukianza kuvuja!
Mpaka kufikia leo January 9/2022 baadhi ya wanachuo hawajapewa mikopo tangia wamefungua vyuo yani wengine wanakaribia kusaini awamu ya pili wapewe fedha,wengine walisha saini ila hawajapewa fedha zao za awamu ya kwanza mpaka sasa. Je wewe mzee unataka nini hasa kwa watoto wa wanaume wenzio?
Je kama unawatoto au wajukuu waliopo masomoni hujawapa pia hela za kujikimu kwa miezi miwili sasa?
Hivi hizo hela kama zingekua za kwako siungetaka kusujudiwa kabisa?
Naomba kukuuliza hivi nikwanini unampangia mtu mkopo,unamsainisha kisha humpatii haki yake?
Hivi nikwanini wanachuo ambao hamkuwapa mkopo mwaka wa kwanza na mkaanza kuwapa mkopo mwaka wa pili hamtaki kuwapa malimbikizo ya mwaka wa kwanza?
Au wewe mzee ni mwanasiasa unapenda sana kuona maandamano ya watoto maskini hapo kwenye ofisi za bodi?
Hivi mzee unadhani wewe utaishi milele hapo bodi?
Au una maagano gani na mamlaka iliyo kuteua?
Kama huogopi mamlaka ya uteuzi umeiweka mkononi je Mungu humuogopi?
Mzee unakera sana,nielewe nikisema unakera. Wewe mzee ni jipu haiwezekani unakaa na fedha za wanachuo karibia miezi miwili huwapi.
Au hata wewe hujala na kunywa muda wote huo?
Hivi hiyo ni roho ya mzazi wa kitanzania kweli ambaye ameenda shule?
Tofauti yako msomi wewe na asiyesoma au asiyejua umuhimu wa elimu ni ipi?
Mzee ninayo maswali mengi lakini ngoja nikuache uendelee kuyatafakari hayo.
Jambo la ajabu huyo mama anayejiita Veronica Nyahende nae anasema eti bodi itaanza kutoa mikopo ndani ya masaa 24. Hivi huyo anafanya watu ni mazuzu?
Miezi miwili hutoi hela leo unahadaa watu na habari za masaa 24? Masaa 24 unayajua au unayasikia?
Miezi miwili umeshindwa masaa 24 utayaweza?
Wewe mama huwezi kuwa serious
Hiyo bodi imejaa majipu matupu kuanzia makao makuu mpaka wasimamizi wa kanda hadi vyuoni. Simu hampokei mkipigiwa
Mmejaa harufu za rushwa hata yatima na maskini pia mnatamani wawape rushwa ndio mtimize wajibu
MAMLAKA HUSIKA ONDOENI HAO WAZEMBE WAMEVIMBIWA VIYOYOZI
Hilo pia linawezekana ila kama zimewekwa fixed account itakua ni hao bodi.sometimes hua ni tatizo la chuo na sio board, nakumbuka nilikua nasoma DMI wale wahindi walikua wanaweka hela kwenye fixed account. Mnasaini then mtasubiri, mtalia hadi machozi yakauke ndio mnawekewa fedha zenu
Halafu wanajisifu eti wameongeza idadi ya wanufaika.Yani tatizo Ni kubwa kwa vyuo vyote. Hapa UDSM Hali sio nzuri. Kama pesa hakuna wangesema. Bodi imeonesha udhaifu mkubwa Sana.
sometimes hua ni tatizo la chuo na sio board, nakumbuka nilikua nasoma DMI wale wahindi walikua wanaweka hela kwenye fixed account. Mnasaini then mtasubiri, mtalia hadi machozi yakauke ndio mnawekewa fedha zenu
Shida pia ni haya matoto huko vyuoni. Hayagomi wala hayaandamani. Ile migomo yetu way back ilikuwa na tija sana japokuwa wengine ilitugharimu kwa kiasi fulani
ELEWA KWAMBA KUNA BAADHI HAWAJAPEWA HATA BOOM MOJA NA WALISHA SAINIKwa Sasa pesa haijawekwa mkuu. Ni vyuo vyote vya umma na binafsi.
SERIKALI IMTAFUTE WA KUWAJIBIKA. AU WOTE WANAFANYIA FEDHA ZA WANUFAIKA BIASHARA.Mara nyingi kucheleweshwa kwa hizo fedha inasababishwa na chuo. Unakuta mtu kwenye form aliandika anasoma miaka mitatu, akifika chuo anabadili anaenda kozi ya miaka minne. Mwaka wa tatu wanakoma kumpa hela. Mpaka waje kuhakikisha bado ni mwanafunzi sio jambo la haraka.
Vyuo vingine kama NIT ukipata supp unachelewa sana kupata mkopo. Wao wanafanya sup baada ya field kuisha, matokeo mpaka yaje kufika bodi vyuo vilishafunguliwa.
Vyuo vingine wazembe tu. Mbona Tumaini ya DSM huwa wanawahi kupata. Yani vyuo vingine wanafunzi wanasubiri zaidi ya siku 10 ila Tumaini wako kasi kwenye hela za watu.
Alafu sio kazi rahisi kutoa hizo hela mara zote kwa wakati. Tukubali tu sometimes kuna changamoto kidogo
Mara nyingi kucheleweshwa kwa hizo fedha inasababishwa na chuo. Unakuta mtu kwenye form aliandika anasoma miaka mitatu, akifika chuo anabadili anaenda kozi ya miaka minne. Mwaka wa tatu wanakoma kumpa hela. Mpaka waje kuhakikisha bado ni mwanafunzi sio jambo la haraka.
Vyuo vingine kama NIT ukipata supp unachelewa sana kupata mkopo. Wao wanafanya sup baada ya field kuisha, matokeo mpaka yaje kufika bodi vyuo vilishafunguliwa.
Vyuo vingine wazembe tu. Mbona Tumaini ya DSM huwa wanawahi kupata. Yani vyuo vingine wanafunzi wanasubiri zaidi ya siku 10 ila Tumaini wako kasi kwenye hela za watu.
Alafu sio kazi rahisi kutoa hizo hela mara zote kwa wakati. Tukubali tu sometimes kuna changamoto kidogo
Wengine tangu wafungue vyuo hawajapewa.Mkuu ulichosema Ni kweli, lakini kwa tukio la Sasa pesa haijawekwa vyuo vyote. Watu wamesin Ni wiki ya pili Sasa lakini pesa hamna.
Je kwanini bodi haiwapi wanachuo hela za mwaka wa kwanza ambao wapo mwaka wa pili.Mara nyingi kucheleweshwa kwa hizo fedha inasababishwa na chuo. Unakuta mtu kwenye form aliandika anasoma miaka mitatu, akifika chuo anabadili anaenda kozi ya miaka minne. Mwaka wa tatu wanakoma kumpa hela. Mpaka waje kuhakikisha bado ni mwanafunzi sio jambo la haraka.
Vyuo vingine kama NIT ukipata supp unachelewa sana kupata mkopo. Wao wanafanya sup baada ya field kuisha, matokeo mpaka yaje kufika bodi vyuo vilishafunguliwa.
Vyuo vingine wazembe tu. Mbona Tumaini ya DSM huwa wanawahi kupata. Yani vyuo vingine wanafunzi wanasubiri zaidi ya siku 10 ila Tumaini wako kasi kwenye hela za watu.
Alafu sio kazi rahisi kutoa hizo hela mara zote kwa wakati. Tukubali tu sometimes kuna changamoto kidogo
Kama nataka kukuelewa hivi.....!Mtawaonea bure tatizo ni fedha hazipo!