Maswali magumu ambayo wanaume huwa wanauliza wanawake

Maswali magumu ambayo wanaume huwa wanauliza wanawake

Wanaume wa Ushirombo ndo wanauliza maswali haya ya kipumbavu.
Wanaume halisi tunauliza "UNATOA HUTOI?"
 
Maswali ya wavulana hayo mnaokutanao, Mi niulize hayo yanisaidie nini (kila mtu atajifanya Gentleman hapa)
 
Yan apo sijaona swal gumu...je akikuuliza kua umewah kutoa tigo ??au siku nikitaka tigo utafanyaje?
 
hakuna demu anaejibu swa li la umri wa kutolewa bikra
 
1) Tangu uanze kujua wanaume mimi ni wangapi?

2) Aliyekutoa bikira kweli unaweza kumsahau?

3),Ulitolewa bikira ukiwa na umri gani?

4,)Mwanaume aliyekuwa nae alikukosea nini ili na Mimi nisije nikakusea kama yeye

5),Ukinikuta na mwanamke nachepuka utanifanyaje?

6)unahisi nini au unakumbuka nini au wapi unapokuwa na mimi?

7) Haya mapigo yangu ninayokupa umeyakubali kiasi gani( mapenzi)?

8) Wewe ni mzuri sijui nikufananishe na nani Hamisa,Zari,wema au Jokate? chagua mwenyewe

9) Nikikufanyia kitu fulani utanisaliti?( Labda zawadi au style fulani sita kwa sita)

10) Unaomba hela ufanyie nini?

Haya maswali huwa ni magumu kuyajibu na huwa nakereka kuulizwa maswali ya hivi
Yanasaidia ktk kupredict future😀
 
Niliwahi kuwa na Demu mmoja mchina alikuwa very open, aliniambia mabwana zake wote na kila kitu,mpaka sijui bikra kila kituu
 
Hayo ni maswali ya wavulana kwa wasichana. Na hatua inayofuata ni kukagua/kubadilishana simu.. (kumbafu)

Mwanaume maridhawa anafanya uchunguzi kwa namna sahihi na mapungufu ya mchumba ni changamoto ambayo unaitumia kuonyesha ukomavu ktk safari yenu ya mahusiano. Kuna wakati mwanaume unatakiwa utengeneze mwenza kwa hatua za makusudi ili kupata mahusiano yatakayodumu kwa muda mrefu ikibidi.

Kweli kabisa mkuu
 
Mungu mwema kunipitisha kwenye uwanamme moja kwa moja maana sinaga mda wa maswali kama hayo
 
Back
Top Bottom