Maswali magumu ambayo wanaume huwa wanauliza wanawake

Maswali magumu ambayo wanaume huwa wanauliza wanawake

1) Tangu uanze kujua wanaume mimi ni wangapi?

2) Aliyekutoa bikira kweli unaweza kumsahau?

3),Ulitolewa bikira ukiwa na umri gani?

4,)Mwanaume aliyekuwa nae alikukosea nini ili na Mimi nisije nikakusea kama yeye

5),Ukinikuta na mwanamke nachepuka utanifanyaje?

6)unahisi nini au unakumbuka nini au wapi unapokuwa na mimi?

7) Haya mapigo yangu ninayokupa umeyakubali kiasi gani( mapenzi)?

8) Wewe ni mzuri sijui nikufananishe na nani Hamisa,Zari,wema au Jokate? chagua mwenyewe

9) Nikikufanyia kitu fulani utanisaliti?( Labda zawadi au style fulani sita kwa sita)

10) Unaomba hela ufanyie nini?

Haya maswali huwa ni magumu kuyajibu na huwa nakereka kuulizwa maswali ya hivi
[emoji30] [emoji30] [emoji31] [emoji31] [emoji30]
 
Kwanza swali la 2 liwe la 1
Hila kuhusu bikira lina umuhimu sana kwa mila zetu za kiafrika
 
Mwanaume anayemuuliza mwanamke hayo maswali atakuwa na chembechembe za kike katika ubongo wake
 
Aisee, kumbe huwa yanaumiza. Lakini kwa nini hayo maswali yawe ya upande mmoja pekee? Ke kwa nini msichague baadhi ya maswali na kuwauliza Me ili kuona reaction/response ikoje.

Ingawa naona mengine hayana maana zaidi ya kujitafutia presha bure, umempenda amekubali, assume wewe ndio mwenyewe jilie vitu, hayo ya huko nyuma kama ulishindwa kuyatafutia majibu walau kimya wewe mwenyewe basi tena, haisaidii kitu.

Pole cutelove , naamini wamekusoma, hawatakuuliza tena. Kama vipi ukitaka kuanzisha mahusiano mapya, mwekee masharti mezani, mfano sitaki kuulizwa maswali 1-20, na wewe mueleze hutamuuliza pia, then afanye uamuzi.
 
Hua katika vitu sipendi nikuulizwa na kuuliza habari za ex, Mimi tunaanzia pale tunapokutana kwenda mbele
 
Back
Top Bottom