D
Deleted member 486990
Guest
[emoji30] [emoji30] [emoji31] [emoji31] [emoji30]1) Tangu uanze kujua wanaume mimi ni wangapi?
2) Aliyekutoa bikira kweli unaweza kumsahau?
3),Ulitolewa bikira ukiwa na umri gani?
4,)Mwanaume aliyekuwa nae alikukosea nini ili na Mimi nisije nikakusea kama yeye
5),Ukinikuta na mwanamke nachepuka utanifanyaje?
6)unahisi nini au unakumbuka nini au wapi unapokuwa na mimi?
7) Haya mapigo yangu ninayokupa umeyakubali kiasi gani( mapenzi)?
8) Wewe ni mzuri sijui nikufananishe na nani Hamisa,Zari,wema au Jokate? chagua mwenyewe
9) Nikikufanyia kitu fulani utanisaliti?( Labda zawadi au style fulani sita kwa sita)
10) Unaomba hela ufanyie nini?
Haya maswali huwa ni magumu kuyajibu na huwa nakereka kuulizwa maswali ya hivi