Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Nani aliye andika Biblia?Kama Mungu hayupo ,jibu haya maswali
31 “Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia?
Waweza kulegeza kamba za Orioni?
32 Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake,
au kuongoza Dubu na watoto wake?
33 Je, unajua sheria zinazotawala mbingu?
View attachment 2604212
Sent using Jamii Forums mobile app