Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Hii ina tofauti gani na deci
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapeli ni illegal Busness au Scheme, But alliance ni Real World BusnessNipe tofauti kati ya utapeli na yaliyomo Alliance In. Motion global.
Hivyo hiyo Aim global inauza share zake maana yake ni Public Limited Company? Je! Imesajiliwa kwenye soko la hisa?Kuna tofauti gani kati ya kushirikishwa kuwekeza kwenye Kampuni kama hii na Matangazo wanayotoa watu wa Makampuni kama Vodacom kushawishi watu kununua share ?.
Hujanielewa ndugu nimekujibu kwamba all business ni matangazo kwanini matangazo ya Alliance yanakushangaza as if ndo business ya kwanza kutangaza?Hivyo hiyo Aim global inauza share zake....?? Maana yake ni Public Limited Company..?? Je! Imesajiliwa kwenye soko la hisa..??
Hujanielewa ndugu... nimekujibu kwamba all business ni Matangazo... Kwann Matangazo ya Alliance yanakushangaza as if ndo business ya kwanza kutangaza?
Jibu maswali haya, acha kuruka ruka wewe..Hivyo hiyo Aim global inauza share zake....?? Maana yake ni Public Limited Company..?? Je! Imesajiliwa kwenye soko la hisa..??
Hujanielewa ndugu... nimekujibu kwamba all business ni Matangazo... Kwann Matangazo ya Alliance yanakushangaza as if ndo business ya kwanza kutangaza?
Umeulizwa swali kwa kiswahili unajibu kwa kiingereza !!!!/Main
Earning is a progress...Earning thats much even more is the business plan(How the company compensate you). But sio kama unaanza na kuanza kulipwa that much... We all start from the scratc... then income ina increase more n more
Unaweza ukaambiwa uende ofisini kwao kwa majibu zaidi.Jibu maswali haya, acha kuruka ruka wewe..
Hujanielewa maelezo yangu ilikuwa ni kwann unashangazwa na swala la Alliance kufanya matangazo hali ni kila kampuni linafanyaHivyo hiyo Aim global inauza share zake....?? Maana yake ni Public Limited Company..?? Je! Imesajiliwa kwenye soko la hisa..??
Jibu kwanza maswali yake ndio tuendelee na mjadala,Hujanielewa... Maelezo yangu ilikuwa ni kwann unashangazwa na swala la Alliance kufanya Matangazo hali ni kila kampuni linafanya
Kama unaelewa kwanini makampuni yanafanya advertisement then una majibu. Tofauti ya MLM Companies ni kwamba wao wanafanya direct personal advertisements na sio through mediaJibu kwanza maswali yake ndio tuendelee na mjadala,
Nadhani nimeongea kwa kiswahili fasaha na umenielewa..
It's a direct selling Company so kuna revenue from selling that is where member get paidAIM global inapata vp faida ambayo kupelekea kulipa watu??
You don't knw what you are sayingJamani ogopeni utapeli ...
Hii ni ponzi scheme, ponzi scheme yoyote duniani na mbinguni ni scam " Utapeli" ..
Natoa rai mpuuzeni huyu na aina zozote za Network market mtakuja kulia.
Msiseme sikuwaambia
Nafikiri wew ni J.F Exprt Member right ? Maaana maswali yako hayana tija. Ni kama skio la kufa hata huwezi kusikia dawa. Englsh reply haijawa shida kwa aliyeuliza. Wew uko gizani. Sio lazima kumsukuma mtu huko.Umeulizwa swali kwa kiswahili unajibu kwa kiingereza !!!!/