screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Hajakwambia mafuta ni tatizo kwake, wabongo mbona mnaendekeza njaa?Kwa km 40 daily! Tafuta gari ya cc 660- 1400.
Mfano Suzuki Jimny, Jimny wide, Terrios kid, Vitz, Ist etc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajakwambia mafuta ni tatizo kwake, wabongo mbona mnaendekeza njaa?Kwa km 40 daily! Tafuta gari ya cc 660- 1400.
Mfano Suzuki Jimny, Jimny wide, Terrios kid, Vitz, Ist etc.
😀😀😀😀Hajakwambia mafuta ni tatizo kwake, wabongo mbona mnaendekeza njaa?
Hapana mkuu, nilisema kuwa na mambo mengine ambayo wadau wataona inafaa. So sio mbaya kama yeye ameshauri upande wa mafuta pia.Hajakwambia mafuta ni tatizo kwake, wabongo mbona mnaendekeza njaa?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hajakwambia mafuta ni tatizo kwake, wabongo mbona mnaendekeza njaa?
Hahaaa. Kigoda [emoji28] [emoji28]Kama yupo mdau anayetumia gari hiyo anaweza kufunguka zaidi hasa upande wa confortability maana gari zingine ukipanda kama upo kwenye kigoda maana vikiingia shimoni usasikilizia mgongoni. Hahaha
Ahahahaaa rav 4 au Suzuki escudo kama mabenchi ya kwenye kahawaKama yupo mdau anayetumia gari hiyo anaweza kufunguka zaidi hasa upande wa confortability maana gari zingine ukipanda kama upo kwenye kigoda maana vikiingia shimoni usasikilizia mgongoni. Hahaha
Amani iwe kwenu wadau. Nimejichanga na nataka kununua gari aina ya Toyota Voltz kwa matumizi ya nyumbani. Itakuwa ikitumiwa zaidi na wife kwenda job na kurudi umbali wa takriban km 40 kwa siku (kwenda na kurudi)
Naomba ushauri juu ya uimara wa hiyo gari, upatikanaji wa spear parts na mambo mnayoona yanafaa kuyajua.
Natanguliza shukrani.
Mkuu hii ID#imekaaje? Ndo na wewe unapewa commission sio?Ukiagiza kupitia Beforward kwenye BF Supported I.D weka 500291 utapata punguzo kwenye gharama za kununua gari
![]()
![]()
![]()
Umetoka japani, kampuni ya Toyota na haili sana wese injini yake ni cc_986.
Odometer yake ni 0 kabisa.
Full A/C...!!
Inaenda kwa 17m tu za madafu.