Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
- Thread starter
-
- #561
Mr President Malinzi
Nimesoma kwa masikitiko makubwa saana jinsi swala la Yanga kupeleka timu ya vijana lilivyokuwa handled na TFF baada ya maagizo ya katibu wa CECAFA, Mr MUSOKE.
1) Mashindano yamepangwa katika wakati mgumu, kwa timu washiriki
2) Kama nia na lengo ni kuibua wachezaji, sasa kosa la Ynga ni lipi?
3) Inamuhusu nini MUSOKE kusema haiwezekani Yanga ije na kocha mwingine?
Rejea yote haya, ni fedheha kubwa jinsi TFF ilivyolishughulikia hili swala.
Afisa wa TFF, aliyeshiriki kutoa uamuzi na kuwapeleka AZAM, anastahili kusimamishwa kazi au Ajiuzulu, haiwezekani ifike Musoke aanze kuamua jinsi ya uendeshaji na ujenzi wa soka katika taifa letu.
Hii ni aibu kwa nchi, wewe kama Rais wa TFF, onyesha kutokubali kuingiliwa katika masuala ambayo hayana sheria.
Baada ya Yanga kukataliwa Tanzania hatukuwa tayari kupoteza uwakilishi.