Ningekuwa mm ni
Jamal Malinzi tungebadili katiba ya TFF ili kila kilabu kiwe na team za vijana!Jumamosi kama Yanga na Simba zinacheza kwenye game ya ligi basi Ijumaa Yanga na Simba vijana lzm zicheze!Jumatano kama Azam anacheza na Stand ya Shinyanga huko Mwadui basi teams zao za vijana lzm zicheze siku moja kabla ya mechi ya wakubwa!!
Haya ya TFF kusimamia eti teams za watoto hayana maana yyt ile na yanakupotezea muda tu!Kuendeleza soka la TZ linahitaji ubunifu na wala sio kazi kubwa kama akina Malinzi wanavyo taka tuamini!Malinzi na wenzake hawapendi ushauri na ukiwashauri wanahisi kama umewaonea!
Uingereza FA kuanzisha programmes za watoto hali inaruhusu maana wana gym zao,wana academies zao,wana viwanja vyao,wana bajeti kubwa na wana wataalam wao!!Uanzishe soka la vijana kwa kocha Madadi?Bajeti ipo wapi?Gym na academies je?