Hakuna kocha mwenye akili timamu akamuacha mchezaji kama RASHID MANDAWA na MALIMA BUSUNGU!Hawa chipukizi nimewaona games 5 kwa kuwafuatilia wanajua sana!Lkn huyu chizi aliyetuletea Malinzi anaachwa ateue apendavyo!
Kocha mwe hu huyu
Malinzi unatakiwa kufanya maamuzi magumu kwenye hii Taifa Stars
Ndumbalo awe katibu wa tff!!! mmmmmh hapa tz tumekosa watu wa kutuongozea taasisi zetu, hivi unategemea nin siku ndumbalo akija kuwa katibu mkuu wa tff??Mabadiliko yapo njiani!
Uchaguzi ujao Athman Nyamlani Rais wa TFF na Dr Ndumbaro Katibu mkuu
Jamal Malinzi hamna lolote
Ndumbalo awe katibu wa tff!!! mmmmmh hapa tz tumekosa watu wa kutuongozea taasisi zetu, hivi unategemea nin siku ndumbalo akija kuwa katibu mkuu wa tff??
Ila yote kwa yote Malinzi tumekuchoka fanya maamuz magumu ulinusuru soka letu.
njia yakufikisha ujumbe ni kususa kwenda kuangalia hilo li team la kocha fake mwenye madharau au kwenda na kuwashangilia Nigeria na Misri watakapoangusha kiama kwa timu ya kina john boko...hahahahahahahahahaaaaa
Mabadiliko yapo njiani!
Uchaguzi ujao Athman Nyamlani Rais wa TFF na Dr Ndumbaro Katibu mkuu
Jamal Malinzi hamna lolote
Jamal Malinzi , fire Taifa Stars coach or be prepared to be fired.
TZ vs Pharaoh
TZ vs Nigeria
Unaenda uwanjani kuona nn labda?Kuona rasta za Kiemba au?Team mwaka wa pili sasa wa Malinzi uharo mtupu
Ndumbalo awe katibu wa tff!!! mmmmmh hapa tz tumekosa watu wa kutuongozea taasisi zetu, hivi unategemea nin siku ndumbalo akija kuwa katibu mkuu wa tff??
Ila yote kwa yote Malinzi tumekuchoka fanya maamuz magumu ulinusuru soka letu.
Yaani tusubiri hadi uchaguzi ujao? hivi wanachama wa TFF (waliomchagua Malinzi) hawawezi kumpigia kura ya kutokuwa na imani na Malinzi
Jamal Malinzi , fire Taifa Stars coach or be prepared to be fired.
He will be fired thru the ballot box na siku siyo mbali sana aisee!
Kocha kamleta hata Mbeya City hawezi fundisha huyu,hana mbinu yyt na ndiyo maana Mozambique walimfukuza mapema tu
He will be fired thru the ballot box na siku siyo mbali sana aisee!
Kocha kamleta hata Mbeya City hawezi fundisha huyu,hana mbinu yyt na ndiyo maana Mozambique walimfukuza mapema tu