Maswali na ushauri kwa Malinzi

Lesotho 1-0 Malinzi na Kocha wako inatosha umechemka bring back our Kim
 
Malinzi Malinzi kwanini ulimtoa Kim?....

Ile timu ilikuwa inavutia kuangalia pasi..tik Taka kama Barcelona. Siielewi Malinzi alikula Maharage ya Wapi kumfukuza Kim?

Hizo laana ha ubaguzi zimewarudi.

Na Bocco kawalima kwamba viongozi TFF hamna.

Yaaani tumetoka bila points. Nakumbuka timu ya Kim ilivyokuwa Nzuri.Burundi Rwanda tulikuwa tunajipigia.


Football ilikuwa Bomba.
 
Malinzi kwa aibu uliyotupa sitokusamehe. Msamaha utaupata utakapo achia hicho kiti.
 
Malinzi mzee wa hekima hakosolewi huyu, sasa tunasuburi tuone mwsho wake, uongozi mbovu, timu mbovu, mipango mibovu alafu atakuja na majibu rahisi kama mlenda kilaza mkubwa huyu
 
Hongera sana bwana malinzi kwani team imetolewa kishujaa huko bondeni baadaya lesotho kutufunga kwa taaaabu sanalakini cha muhimu ni kwamba toka uingie madarakani mechi za stars zinaonyeshwa live, hongera sana, hakuna kama wewe:becky:
 
Malinzi wa kupiga chini kaleta Siasa zake za Bukoba kwenye mpira, kaondoa Benchi looooote la ufundi, kaondoa watu ambao wamesomeshwa, kaondoa ofisi, yaani kaleta figisufigisu hata hamu ya Taifa stars hakuna tena.team Kocha anachagua wachezaji ana ana doo hata akiwa mgonjwa inabidi aende tu.

TENGA we miss Youuuu.
 
Malinzi mzee wa hekima hakosolewi huyu, sasa tunasuburi tuone mwsho wake, uongozi mbovu, timu mbovu, mipango mibovu alafu atakuja na majibu rahisi kama mlenda kilaza mkubwa huyu

This is what we get from Jamal Malinzi !Nilipo mchachamalia alipo teua ndugu zake tu TFF wengi hamkunielewa lkn sasa mnanielewa!

Juzi kaandika twita kama Taifa Stars imeboreka sana sababu games zote zinaonyeshwa live,ona sasa madudu aliyo andika leo!
 

Attachments

  • 1432363791611.jpg
    56.6 KB · Views: 158
Last edited by a moderator:

Nilisafiri kwenda kuona Stars ugenini Senegal na baadae Ivory Coast kwa kweli Stars ya Maximo na Kim iliacha gumzo huko kwa soka la hali ya juu!

Ukawa unaona kabisa kuwa sasa tuna future nzuri sababu kila game mpya vijana wakawa wanabadilika!Tulianza kurudi ktk ubora wetu

Kaja huyu mkabila mzozo mtupu!Stars hii hata Mbeya City hawawafungi
 
Nimegundua uwezo wa Malinzi in Mdogo Sana. Sijui waliingiaje Mkenge kumchagua.

Tweets Zaky zinaonyesha yupo Mweupe Sana kichwani
 
J Malinzi maombi ya azamfc na yanga kutaka kuzidisha wachezaji wa kigeni mbona hamlitolei jibu kwa nini mda unaenda wachezaji wanagharamikiwa kukaa kwenye mahoteli naomba ulitolee ufafanuzi mapema
 

Huyu jamaa ni zigo lingine

hivi watanzania tuna laana gani...kila kitu hatuwezi

Malinzi ajitathimini akae pembeni...Ni busara pia

We miss you Tenga
 
Nilisafiri kwenda kuona Stars ugenini Senegal na baadae Ivory Coast kwa kweli Stars ya Maximo na Kim iliacha gumzo huko kwa soka la hali ya juu!

Kim Paulsein Alikaa na Timu ya Tanzania kwa zaidi ya miaka mitano

Amekaa na timu ya vijana wakati maximo akiwa kocha wa timu ya wakubwa

Amewalea vijana ikawa ni timu kali sana

Akapandishwa timu ya wakubwa....Mnakumbuka yale Mashindano ya Challenge yaliyopita yaliyofanyika Nairobi---Stars ilikua moto....timu ilikua inazidi kuelewana...mpira unaonekana....ilibaki tu kujenga mbinu za ufungaji

Akaja huyu Mkabila kamtimua Kim bila sababu za Msingi

Amemleta huyu hohehahe Nooj...Niambieni tangu amekuja amefanya nini kwenye timu yetu?

Malinzi uondoke tu....Itakuwa ni hekima kwa manufaa ya soka letu......Taifa ni muhimu kuliko wewe.....uwezo wako umefika mwisho...Tupishe Jamal Malinzi
 
Last edited by a moderator:
J Malinzi chondechonde tuomba ufanyike uchunguzi wa kina kuna figisufigisu mkataba wa ramadhani singano mesi kwa timu yake ya simba uhuni huu lazima ukomeshwe
 
hata aje nani pale tff hatuwezi kufuzu mashindano yoyote kwa sasa, malinzi mnamuonea tu, tena tatizo kubwa ni team nyamlani ndio inahujumu soka letu
 
nimemsikia kaka wa mesi na mesi singano spoti ya clouds kweli inasikitisha jamani simba mbona mnauhuni
kama mchezaji wa kitanzania simba iogopeni kama ukoma inawakomoa wachezaji
 
Hongera Jamal Malinzi nimeona Tanzania tumepewa uenyeji wa Afcon 19..under 17...
 

Attachments

  • 1432798290219.jpg
    124.8 KB · Views: 161
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…